Mo Jezi waje wajifunze apaWale wenzetu wao wanatupia viwalo ili tu kustiri maungo yao.
Ila huku kwetu tunatupia ili kuvaa
Tumewapiga uwanjani na tumewapiga mtaani
Ule uzi wa Yanga unaweza ombea kura za urais wa JMT na ukapata kwa ushindi wa kishindo
Hakuna kama Yanga
View attachment 2821862View attachment 2821863View attachment 2821864View attachment 2821864
Ndio binafsi sijaipenda... Huwa sipendi nguo yenye marangirangi mengi Tena ambayo hayajakaa kiustadi ama kiufundi! Hizo rangi mbili naona hazijakaa kiufundi but anyway mwisho wasiku wachezaji watuletee makombe nyumbani hayo mengine mbwembwe tu..Aaaahaaaa
Ile ya gold?
Naunga mkono hojaNdio binafsi sijaipenda... Huwa sipendi nguo yenye marangirangi mengi Tena ambayo hayajakaa kiustadi ama kiufundi! Hizo rangi mbili naona hazijakaa kiufundi but anyway mwisho wasiku wachezaji watuletee makombe nyumbani hayo mengine mbwembwe tu..
Ulifungwa mbili janaUtaje