Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,334
- 5,838
Beki huyu kisiki ndiyo litmus paper ya nini na vipi beki wa kulia anavyotakiwa acheze
Anakaba,ana dribble,anafanya interceptions za mashambulizi ya wapinzani,anashuka na kupanda kirahisi kwenye flank yake bila kumhatarisha kipa wake.
Yao Yao ndo SI Unit ya beki wa kulia aweje
Anakaba,anapunguza anapiga kanzu,matobo na kutoa assists kama zote
Na kama Hilo halitoshi anadeliver more than what is needed of him
Anascore,tena goli zuri la kiwango cha FIFA,
Ana assists 3 na goli moja alilolifunga dhidi ya JKT Tanzania
Nishawaambiwa hizi namba zinareflect matokea yajayo ya Yanga kimataifa.
#Mpira bila mbeleko inawezekana
Anakaba,ana dribble,anafanya interceptions za mashambulizi ya wapinzani,anashuka na kupanda kirahisi kwenye flank yake bila kumhatarisha kipa wake.
Yao Yao ndo SI Unit ya beki wa kulia aweje
Anakaba,anapunguza anapiga kanzu,matobo na kutoa assists kama zote
Na kama Hilo halitoshi anadeliver more than what is needed of him
Anascore,tena goli zuri la kiwango cha FIFA,
Ana assists 3 na goli moja alilolifunga dhidi ya JKT Tanzania
Nishawaambiwa hizi namba zinareflect matokea yajayo ya Yanga kimataifa.
#Mpira bila mbeleko inawezekana