Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,334
- 5,838
Huyu ni Bingwa wa Soka la Afrika, hivyo kama ingekuwa masuala ya kisiasa tungesema huyu ndio Raia namba moja wa Afrika.
Sasa hapa Bongo Al Ahyl atakuja mara mbili, ya kwanza kucheza na Simba, na ya pili kucheza dhidi ya Yanga.
Al Ahyl kufungwa hapa Bongo siyo jambo geni, alishafungwa na Simba sana pamoja na Yanga hapa Bongo. Kwahiyo hakuna jipya, Al Ahyl hana maajabu yeyote yale hapa nyumbani.
Mwiko pekee uliyobaki kuvunjwa ni kufungwa kwake Misri na timu hizi mbili. Hivyo yeyote atayevunja huo mwiko kati yetu ndio kidume, mlumendago kwa hapa Bongo.
Kwanza atakuwa amemfunga bingwa wa Afrika na atakuwa kauvunja mwiko kwa kumfunga Al Ahyl kwake.
Nazitakia timu zote ushindi mnono.
#mpira bila mbereko inawezekana
Sasa hapa Bongo Al Ahyl atakuja mara mbili, ya kwanza kucheza na Simba, na ya pili kucheza dhidi ya Yanga.
Al Ahyl kufungwa hapa Bongo siyo jambo geni, alishafungwa na Simba sana pamoja na Yanga hapa Bongo. Kwahiyo hakuna jipya, Al Ahyl hana maajabu yeyote yale hapa nyumbani.
Mwiko pekee uliyobaki kuvunjwa ni kufungwa kwake Misri na timu hizi mbili. Hivyo yeyote atayevunja huo mwiko kati yetu ndio kidume, mlumendago kwa hapa Bongo.
Kwanza atakuwa amemfunga bingwa wa Afrika na atakuwa kauvunja mwiko kwa kumfunga Al Ahyl kwake.
Nazitakia timu zote ushindi mnono.
#mpira bila mbereko inawezekana