Binafsi siri ya kuwa mtu makini na mwenye misimamo yangu binafsi ni baada ya kugundua taarifa nyingi ambazo watu wanazibeba kuwa ndio kweli mara nyingi si si za kweli.
Wrong information
Unakuwa mjinga na mtumwa bila kujijua.
Nina swali, mnipe majibu kupitia Biblia ambayo na mm nimeisoma...
Bwana ee kijana wa watu kwenye pita pita hapa na kule huu mtaa ninao kaa bwana vimbwanga vingi.
Niliwaambia kipindi kile mazingira ya geto yalivyo, zimejaa bitch zinawasha ni upupu, aisee nashukuru nilifanikiwa kuhama salama.
Sasa kuna sehemu naendaga kunywa bia moja ya kutafutia hamu ya kula...
Sitazungumzia Mungu kanibariki kwa kiasi gani, kwa kifupi naweza kusema, I am blessed 🤗🤩
Mitihani ni mingi maishani lakini baada ya kufaulu mitihani hiyo, tunalipwa sawa na elimi zetu.
nikutonye. Maandiko yanasema hivi...
hakuna aliyeacha wazazi, ndugu, nyumba, watoto kwa ajili ya (kazi ya...
This life is so fucking terrible, people love,
Crayz Love
but behind Love there's Money.
Money.
To find money, you need time,
na mtaji wa kwanza ni Afya na Akili.
Health mind
Even your father can just use you, only to fulfill his own desire.
Oky all of us we Love.
What you Love ?
You...
Kabla sijasema hili la kwanza la kupendwa na Single mother, niseme kwamba, mimi ndie yule ambae niliwahi kukataliwa na single mother.
Mambo ni mengi sababu ni nyingi..
Lakini soon nataka niandike uzi kuhusu Ndoa na Mahusiano, kuna mambo wanaume tunatakiwa kuwekana sawa.
Naamini mtazamo wangu...
Naomba wajuzi mje mniongezee hekima hapa kidogo uwenda yangu imepunguka..
Katika jamii zetu kuna vijana ambao wanafanikiwa kujipatia kipato na kuanza maisha...
Katika utafutaji inaweza kuwa ajira serikali au ujasilia mali, mvutano unaanza kwa mtoto na baba (na mimi ni baba ajae) hasa wazazi wa...
Iko hivi Mungu ni upendo,
A material which create God is Love.
Kama huna upendo wewe ni bure kabisa.
Mungu anawapenda watu wote wanao mjua na wasio mjua, wenye akili na wasio na akili wote Mungu anawapenda..
Upendo una sura pana, Mzazi akimchapa mtoto unaweza fikiri anachuki nae, lakini ni...
Nafungua ukurasa huu tujadiliane watu wote, wake kwa waume.
Wanasiasa, wafanyabiashara, Watumishi wa Mungu wote na hata wapagani Karibuni tuelekezane kwa upole na amani.
Hakikisha unamfundisha mwenzio kwa uwazi, kwa upendo wote bila makasiriko.
Nimesema shule nikimaanisha sehemu ya kujifunza...
Material create God is LOVE, Mungu ni pendo.
Mapenzi ni hisia kama huna hisia njoo tukuombee.
Kuna story nimeitoa kwenye maandiko matakatifu ikieleza Mwanamke ni nani kwa Mwanaume.
Palikuwa na watu wawili katika mji mmoja; mmoja wao alikuwa tajiri, wa pili maskini. Yule tajiri alikuwa na...
Aina mbili za ndoto ni :-
i. Symbolic dream (yenye fumbo)
ii. Reality dream (isiyo na fumbo)
Tangu nilipoanza kufatilia na kuandika ndoto zote ninazozipata ndoto hii ya simu kupasuka kioo ilikua ndio ndoto ya kwanza yenye fumbo mimi kung'amua kuwa napewa ujumbe gani.
Kuna mambo mengi ambayo si...
Kwanini nasema life is spiritual..
Kila jambo linaanzia rohoni
Usipoishugulisha akili (nafsi) yako kujua hivi vitu jiandae kuwa mtumwa, tena mtumwa haswa
Mtumwa wa mapenzi, mtumwa kifedha, na mtumwa kimaamuzi.
Mtu ni
i. Roho +
ii. Nafsi +
iii. Mwili.
Akili (mind) inakaa katika Nafsi, na...
Aisee nisiposema nitakuwa mbinafsi ..
Mazingira niliyonayo sijui ni wangapi wanaweza toboa hii life style
Kwanza Mama mwenye nyumba wangu anamiliki Bar na hana mume, sasa bitch zinazopishana hapa ni kasheshe,
Na mm ndio huwa nafungua geti mala nyingi..
Wauza bia wapo wawili wanakujaga kulala...
Nina mada mbili leo acha niziseme tu maana binafsi zinanikwaza sana na kunifanya nione dunia imejaa maadui na watu wabaya.
Tumekuwa na kawaida ya kutoa lawama na kashfa kwa serikali, lakini Watanzania naomba tukumbuke kuwa waliokaa kwenye uwongozi ni sisi hao hao Watanzania
Tamaa ya fedha...
Kuna Baa moja hapa nimezama na mim kwa leo, yani wanaume wote counter tumenuna tupo buyu, bar ina wanawake wengi saana lakini tunaziangalia tu zikijipitisha hakuna cha kuwaita wala kuwasemesha.
Mimi ni nani nianze kusaliti kambi na huku hela ngumu balaa
😁😏😏😏
Kati ya ndoto ambazo ni rahisi kupata tafsiri yake basi ni zile ndoto unapokutana na watu wa usalama katika ndoto.
Mambo ni mawili, polisi anaweza kuwa upande wako (polisi mzuri) au polisi anaweza kuwa against na wewe (police mbaya).
Police mzuri - Malaika.
Police mbaya - Majini (roho chafu...
Kabla sijaenda kwenye lengo kuu la mada hii nielezee kwanza Worldcoin ni nini ?
Cypto/Cryptocurrency ni nini ?
na mahusiano yake na AI robot.
Baadhi ya member wa JF nimeona wakigusia mada hii kwa sehemu ndogo..
Worldcoin ni nini?
Worldcoin ni jukwaa la utambuzi wa kidijitali ambalo linalenga...
Katika maisha ya duniani Binadamu toka kuzaliwa kwake anaishi maisha ya kujifunza.
Vyanzo vya maarifa vinajulikana, na milango ya kupokea ni milango yote ya fahamu.
The more you know the more you function.
Twende kwenye mada, short and clear bila kutoa reference.
Binadamu au Mtu kagawanyika...
Mtu ni roho anayo nafsi na anakaa ndani ya mwili.
Roho na Nafsi vikiumwa na mwili nao unaumwa.
Sikuwahi kufikiri ninaweza kufanya kazi ya kusikiliza wagonjwa na kuwatibia kwa kuwapa matibabu ya dawa na ushauri.
Doctor's skills imenisaidia sana kuanza kupenda ukaribu na watu jambo ambalo...
Maisha ya mtu na mtu hapa duniani na utawala wa nchi, unamahusiano sana na Mungu ni nani kwetu.
Isaya 49:15
Je! Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe.
Mungu anasema hawezi kukusahau wewe, pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.