In religion, a prophet is an individual who is regarded as being in contact with a divine being and is said to speak on that entity's behalf, serving as an intermediary with humanity by delivering messages or teachings from the supernatural source to other people. The message that the prophet conveys is called a prophecy.
Claims of prophethood have existed in many cultures throughout history, including Judaism, Christianity, Islam, in ancient Greek religion, Zoroastrianism, Manichaeism, and many others.
Let's make this clear once and for all.
When Jehovah said;
Isaiah 44:6
[6]Thus saith the LORD the King of Israel, and his redeemer the LORD of hosts; I am the first, and I am the last; and beside me there is no God.
But also when Jesus said in revelation;
Revelations 1:17-18
[17]...And he laid...
Ndugu zangu. Narudia tena kwa mara nyingine. Usicheze kabisa na mtu aliebarikiwa na Mungu.
Kind David, the King of the United Kingdom of Israel and Judah alikuwa muuaji lakini alikuwa chaguo la Mungu.
Baadhi ya watu walimuita mtu wa damu " bloody man" ( 2 Samuel 8) lakini Mungu alimpenda...
Mitaani huwaga kuna kamsemo maarufu sana :
" Dada angu wewe:
1. Huna tako ( shape)
2. Huna sura
3. Huna kazi.
4. Hujasoma.
5.Huna biashara.
6.Huna danga.
7. Hupati psi psi mtaani.
Halafu tangazo la mganga linapita unajifanya hutaki kuchukua namba za simu..
Nimeiona hali hii kwenye comments...
Haya back to the point.
1. KWANINI MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA TATOO NYINGI HIVYO?
Majibu yangu: Mtumishi wa Mungu alijichora hizo tatoo katika kipindi ambacho bado hajaokoka.
2. KWANINI MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA RASTA KAMA BOB MARLEY?
Majibu yangu : Mtumishi wa Mungu kuwa na Rasta sio...
Last week niliandika Uzi hapa kuhusu namna unavyo weza kutengeneza pesa, network na connection kwa kufanya kazi ya KUBADILISHA UPEPO kuhusu watu wanao tuhumiwa au nyooshewa vidole na jamii kuhusu mambo mbalimbali.
Leo nimefanya jambo hilo kwa vitendo na nimekuwa monetary rewarded.
Ni hivi...
Manabii na Mitume wengi walikuwa ni watu wa Kutenda miujiza mikuu ya kudhihirisha uwepo wa MUNGU mkuu.
Mfano;
1. Musa: Alitenganisha Bahari kuwaokoa wanaisraeli.
2. Eliya: Alifufua mtu aliyekufa
3. Elisha: Alifufua mtu aliyekufa na kuponya waliugua
4. Yesu: Huyu alifanya makuu mengi sana...
"Nilikuwa katika maombi katika misitu ya Kibaha, Mungu aliniuliza unaona nini, nikajibu naona kitu, mawe ya moto mawe yenye moto yamegeuka kuwa mekundu yakija Tanzania" - Prophet Sanga.
"Mwaka 2023, huu ni mwaka gani!? Mwaka 2022, sasa mwaka 2023 kwenda 2024, zaidi mwaka 2023 naona watu kutoka...
Prophet Seguye wa Kivule kituo cha Matembele ya Pili ni mkuu wa huduma ya Kisima cha Mpenyo.
Amekuwa maarufu hivi karibuni kwa kutoa maelekeo ya wanaoenda kuombewa kwake waende na nywele zao ndani ya vitambaa.
Naomba mwenye historia yake ama waliphudumiwa naye tuweze kumfahamu zaidi
Bwana Yesu asifiwe?
Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo...
Mhubiri wa Kimataifa kutoka nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu kama TB Joshua amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 57
Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma ya kichungaji katika Kanisa lake Jijini Lagos
Ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN)...
HERE'S ARCHBISHOP HARRISON NG'ANG'A PROPHECY
"Currently, the best businesses are owned by Kikuyus. The biggest churches, best cars, most successful and educated people, and even the president, are from our land. It rains more in Mt Kenya region than in any other place But, if you don't change...
Mengi yalisemwa kuhusu YEYE pale aliposhambuliwa kwa jaribio la kioga ili kuweza kupoteza maisha yake. Zilijengwa hoja hafifu ili kuhalalisha udhalimu ule, kumbe wabaya wake hawakutambua ili mbegu iote ni lazima ichimbiwe ardhini na kisha imee na hatimaye iweze kugeuka kuwa mche na baadaye mti...
Wakuu habari za asubuhi,
Leo nikiwa nacheck kideo home Kuna Channel ya WRM tv nikaona ngoja nione huwa kuna vipindi gani humo, ndo nikamuona huyo sijui Mchungaji au sijui Nabii ama Mtumishi.
Basi alikuwa anatoa maombi yani anaomba anasema kama unataka kuwa bilionea Basi nyoosha mikono juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.