vingi

Vingis Park is the largest park in Vilnius, Lithuania. Located in a curve of the Neris River, it covers 162 hectares (400 acres). A pedestrian bridge connects the park with Žvėrynas. It is used as a venue for various events, especially concerts and sports competitions. It contains a small botanical garden of Vilnius University, stadium, and an amphitheater.
The park's history dates back several centuries. In 1965, the park was renovated and adopted to the needs of mass events, such as concerts or political rallies. The amphitheater was built using the design of the modified Estonian Song Festival Grounds in Tallinn. Several major rallies and demonstrations were held there during the course of the Lithuanian independence movement of the late 1980s; a rally on August 23, 1988 drew 250,000 people.

View More On Wikipedia.org
  1. Dr Matola PhD

    Pluribus Anum, coin ya dollar ya Marekani yenye vituko vingi, je nini sababu yake kuweka emage hizi?

    Duniani kuna mambo Sana, watu wengi wakiangalia mambo yanavyokwenda sasa hivi huwa wanaamini kuwa dunia sasa imekwisha. Sasa Mimi ngoja niwaeleze dunia ndio Kwanza inaanza, utakwisha wewe tu. Je unazijuwa sarafu za dollar ya Marekani prulibus unum ambayo ndio Motto wa Marekani kwenye National...
  2. R

    Tulibomoa nyumba za wananchi Kimara -Mbezi ili matajiri wajenge vituo vya mafuta? Je, hivi vituo vingi kiasi hiki vinapataje kibali?

    Natoka Mwanza, kutoka Kibaha hadi Kimara nimeona tayari vituo zaidi ya Nane vya Mafuta vimejengwa kwenye hifadhi ya barabara. Ninaamini hivi vituo havikuwepo kwenye ramani ya barabara kwa wingi huu. Lakini pia naamini haya maeneo hayakutengwa kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya mafuta lakini kwa...
  3. N

    Muda mwingine uhalisia tunaouona sio kweli sana, hata vitu vingi vinavyotuvutia hatujui sababu hasa kwanini vimetuvutia

    Umewahi kujiuliza je? Mfano wewe ni mpenzi wa yanga au simba, ni kwanini unapenda na ni vigumu kubadilishwa mtizamo wako kiasi kwamba hata wazingue kwa kiasi kikubwa bado utazidi kutafuta namna ya kutetea ili uendelee kuipenda. Kuna case mbili fikiria alafu useme katika case ipi utabadili...
  4. MRBIASHARA

    Kwanini vifaranga vingi hufia kwenye mayai?

    (Dead in shell cases)😔⁉️ ▪️Hii ni changamoto kubwa ambayo, wafugaji wanaotumia viangulizi (Incubators) hukumbana nayo siku 21 baada ya kuweka mayai kwenye Incubators. ▪️Wafugaji na watumiaji wengi wa incubators hudhani kwamba, vifo vya vifaranga ndani ya mayai hutokana na maambukizi ya...
  5. Mhaya

    Naendelea kusisitiza, kuna vitu vingi sana vya kujifunza kupitia filamu (movies)

    Hizi muvi unazoaziangalia ndio zimekupa picha kwamba CIA ni lidude likubwa sana. Hizi muvi ndizo zinakupa maarifa kuona kila kitu kinawezekana. Kupitia muvi, wanaeneza uchoko, na kwa bahati mbaya watoto wako wakiziangalia, baadaye wanakuwa machoko. Kila propaganda duniani, huanzia kwenye muvi...
  6. matunduizi

    Kwanini vijiji vingi vya usukumani havina wezi kama kwingineko?

    Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa. Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu. Huwezi kusikia wizi wa mifugo. Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta. Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia...
  7. Surya

    Tamaa yangu siku zote ni mapenzi tu, nafurahi nimepewa vingi

    Sitazungumzia Mungu kanibariki kwa kiasi gani, kwa kifupi naweza kusema, I am blessed 🤗🤩 Mitihani ni mingi maishani lakini baada ya kufaulu mitihani hiyo, tunalipwa sawa na elimi zetu. nikutonye. Maandiko yanasema hivi... hakuna aliyeacha wazazi, ndugu, nyumba, watoto kwa ajili ya (kazi ya...
  8. GoldDhahabu

    Kwanini mkoa wa Njombe una vilima vingi?

    Nimeishi Mwanza! Nimefika Chunya mkoani Mbeya. Nimeshafika Iringa. Zanzibar napafahamu. Nimefika na maeneo mengineyo ya Tanzania. Ni mikoa miwili tu ndiyo bado sijafika: Mtwara na Lindi. Japo nimeona vilima na miinuko maeneo mbalimbali ya Tanzania, sidhani kama kama kuna inayofikia ya...
  9. MIXOLOGIST

    Ukitafakari sana vitu vingi tunavyofanya hapa duniani ni uchizi mtupu

    Wana zengwe Kuna wakati najiuliza maswali sipati majibu sahihi, mfano ukikaa sehemu ya juu(ghorofani) au ukiwa na video camera say yenye njia 16 alafu ukawa unawaangalia watu, yaani matendo yao, movements zao na harakati zao sehemu kubwa unaweza ukaona mambo mengi yanayofanyika ni ya kichizi...
  10. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    Mfahamu Mika Mwamba, Producer Mzungu aliyeibua vipaji vingi Tanzania

    MIKA MWAMBA PRODUCER ALIYEIBUA VIPAJI VYA WASANII WENGI BONGO Ngoma za huyu mwamba zilikuwa na vinanda vyenye ma-vibe ya kufa mtu: Tamara + ni wewe - Hard Mad Eno maiki - Ziggy Dee (Uganda) Nakupenda Mpenzi - Dudu Baya get down - Prezo ft Naziz (Kenya) Twenzetu - Chege Baby Gal + wange - Mad...
  11. Teslarati

    Je ni sawa mwanamke kuwa na vinyweleo vingi mikononi kama mwanaume?

    Hii kitu inanishangaza sana, nipo mkoa X ambapo ndipo makazi yakudumu yalipo ila sikai sana sababu ya kazi zangu, lakini ninakutana na mambo ambayo nadhan yanasababishwa na mabadiliko ya tabia ya nchi au sijui ni hormonal imbalance kwa wadada. Nilipoingia huu mkoa wiki 2 zimepita nilienda...
  12. Ritz

    Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

    Wanakumbi. VIFO VINGI VYA WANAJESHI WA ISRAELI, CHANZO CHAKE NI NINI? 🇮🇱🇵🇸 Watu wengi wanajiuliza kwamba tangu Jeshi la Israel litangaze kuanza kufanya operesheni ya nchi kavu “Ground Operation” wamefikia wapi wapi na uwezo wao wa kijeshi na misaada kutoka Marekani na mataifa mengine. Wiki...
  13. Jaji Mfawidhi

    Chanzo cha vifo vingi vya uzazi hiki hapa: Si afya mtoto kuzaliwa na uzito mkubwa

    Hivi karibuni kumekuwa na mjadala mkubwa mitandaoni kuhusiana na watoto wanaozaliwa na uzito mkubwa. Mjadala huu umezuka baada ya Prof. Janabi kuelezea jambo hili wakati wa uzinduzi wa Foundation ya Prof J (Joseph Haule) Jambo hili limeonekana kuzua taharuki kwa baadhi ya watu ikichukuliwa kuwa...
  14. Abou Shaymaa

    Basi Kampuni ya Baraka kutoka Newala - Dar lapata ajali na kusababisha vifo 14

    Wakuu mwenye taarifa kamili atujuze maan kuna ndugu yetu tumepewa taarifa kafariki alikuwa humo, Innalillah wainna ilayhi raajiu'uun ===== Watu 14 wamefariki dunia na wengine 26 wakijeruhiwa katika ajali iyohusisha basi la Kampuni ya Baraka Classic, yenye namba za usajili T 336 DPW, inayofanya...
  15. R

    Je, CCM ilisajiliwa UPYA ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi Julai 1992?

    Salaam, Shalom! Swali hili nimekuwa nikujiuliza kitambo sasa kuwa, Ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi July 1, mwaka 1992, CCM iliyokuwa chama pekee katika mfumo wa chama kimoja, ilipata usajili UPYA na kujitenga na kujishikamanisha na system? Maana ukikiangalia chama hiki Kwa nje ni kama chama...
  16. Mwanamayu

    Inakuwaje Makonda anatangaza kutokuwepo kwa mfumo wa vyama vingi?

    Hii namna ya uenezi inanitia hofu. Hivi adidu rejea za nafasi hiyo ndio zinamwelekeza kusema haya? Halafu wakati huo huo anazungumzia uboreshaji wa demokrasia! Upendo baina ya wana-CCM au watanzania? https://youtu.be/CwkIX4svNRk?si=R_Cl1Q9ttomNVBp-
  17. Aaliyyah

    Jinsi ya kupika makange ya samaki bila kutumia viungo vingi

    Natumain wazima na weekend inaenda vizuri Niwaletee recipe ya kupika makange ya samaki Mahitaji Samaki aliekaangwa Kitunguu maji na kitunguu swaumu nyanya za.kawaida(saga) na nyanya ya pakti,chumvi Pilpilili hoho na karot ( kata shape upendayo ) Pilipili manga kama utapendelea Nazi Kama...
  18. Prakatatumba abaabaabaa

    Ipi ni sababu kuongezeka kwa vizinga siku za karibuni kuliko miaka ya zamani?

    Ukijichanganya kutongoza Mwanamke yoyote tu, hapo utaanza kupigwa vizinga tena Kwa kulazimishwa utadhani anakudai. Hivi kwanini wanawake wamegeuka kua omba omba? Shida imekua nini? Hivi tunawezaje kupata Mwanamke wa kuoa kwenye kizazi hiki Cha omba omba? Juzi nimejaribu kutafuta wapenzi...
  19. Aaliyyah

    Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

    Natumaini mkopoa Tujifunze namna ya kupika chapati za maji Kwa njia rahisi na haraka pia ni moja ya vitafunwa ambavyo havina mambo mengi Mahitaji Ngano robo au kias unachopenda Kulingana na familia Yako Iriki au vanilla Sukari /chumvi ni vile upendavyo Yai moja au mawili Maji ya baridi Hatua...
  20. Roving Journalist

    Rais Samia apokea taarifa ya Mradi wa Skimu ya Umwagiliaji wilaya ya Nzega mkoani Tabora, leo tarehe 18, Oktoba, 2023

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea taarifa ya Mradi wa Skimu ya Umwagiliaji wilaya ya Nzega mkoani Tabora leo tarehe 18, Oktoba, 2023. https://www.youtube.com/live/PLLdAPmreBQ?si=Je1yaQd5Nk5_cf-o
Back
Top Bottom