The Mnazi Bay-Ruvuma Estuary Marine Park (MBREMP) was established on 1 July 2000 under Act No. 29 of 1994 of Marine Parks and Reserves of Tanzania.
The park is in the Mtwara district of Southeast Tanzania and extends to the border with Mozambique. The area is considered to have globally significant marine biodiversity values and covers 650 square kilometres, of which 33% is on land. The park extends from the northern portion of the Ruvuma Estuary to Mnazi Bay, including the headland of Ras Msangamkuu.
The environment within the park includes mangroves, rocky and sandy shoreline, mudflats, salt pans, fringing coral reefs, lagoonal patch reef, seagrass beds, three islands (Namponda, Mongo and Kisiwa Kidogo) and numerous small rocky islets.
The Park is home to nesting grounds for Green and Hawksbill turtles, and a number of marine mammals have been seen in the area including migrating Humpback whales and the Indopacific Humpback dolphin. A large population of crab-plovers led to the area being designated as an Important Bird Area (IBA) in 2001.
The area was also once home to dugongs but the last confirmed sighting was in 1992, although there have been unconfirmed sightings since.Close to 30,000 people live within the park, depending mainly on marine resources for their livelihoods; the park includes in its boundaries 11 villages and 8 sub-villages. There are few opportunities for development hence poverty is rife. This has created an over dependence on marine resources and the persistent use of destructive fishing methods.
Gas was discovered in Mnazi Bay in 1982, and wells were brought into operation in 2006. Gas from the wells is now piped to Mtwara where a gas to power plant provides electricity for the Mtwara and Lindi areas. However, the quantity of gas available is far greater and the wells have now become the focus of plans to supply power to the national grid in an attempt to relieve national power supply problems.
"Usibeze mtu kesho anaweza kuwa boss wako"
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda, leo January 16,2024 ameongea na Waandishi wa Habari katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar wakati akitoa taarifa ya ziara ya kichama ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu...
Naziuliza mamlaka za jiji la Dar es Salaam.
Inakuwaje pale stand ya Mnazi Mmoja hapajajengwa vibanda kwa ajili ya kujikinga na mvua au jua.
Naongelea hasa huku kwenye daladala za Kinyerezi, Segerea. Mburahati na vibajaji vinavyo enda city centre.
Vibanda hivi Husaidia pia mtu kupumzila pale...
BIBI TITI MOHAMED NA HISTORIA YA UWANJA WA MNAZI MMOJA 1950s
Katika uwanja huu mwaka wa 1949 walikusanyika makuli wa Bandari ya Dar-es-Salaam wanachama wa Dar-es-Salaam Dockworkers Union.
Walikusanyika hapo wakitokea kwenye ofisi ya chama chao iliyokuwa katikati ya uwanja wa wazi nyuma ya...
Awali niliona uzi humu JF kuhusu Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja iliyopo Unguja, Zanzibar, sikuamini kama ni kweli, lakini juzi(Novemba 13, 2023) nilifika hospitalini hapo ukweli ni kuwa hali ya miundombinu katika baadhi ya maeneo si nzuri.
Nilishindwa kupiga picha lakini miundombinu mingi haipo...
Aisee nisiposema nitakuwa mbinafsi ..
Mazingira niliyonayo sijui ni wangapi wanaweza toboa hii life style
Kwanza Mama mwenye nyumba wangu anamiliki Bar na hana mume, sasa bitch zinazopishana hapa ni kasheshe,
Na mm ndio huwa nafungua geti mala nyingi..
Wauza bia wapo wawili wanakujaga kulala...
Picha ya kwanza chumba cha wahudumu
picha ya pili Wodi ya wagonjwa
Pia Soma = Inasikitisha: Hali ya miundombinu baadhi ya majengo Hospitali ya Mnazi Mmoja, Unguja, Zanzibar
Pertamina Seeks Majority Share in Tanzania’s Mnazi Bay
Jayany Nada Shofa
June 22, 2023 | 3:43 pm
Foreign Affairs Minister Retno Marsudi shakes hands with her Tanzanian counterpart Stergomena Tax in Jakarta on June 22, 2023. (Photo Courtesy of the Foreign Affairs Ministry)
Indonesia is seeking...
Hilda Ngassa (90) ameuawa kwa kudaiwa kukatwa kwa panga na Yohana Luhanga (32) ambaye naye ameshambuliwa na wananchi wenye hasira kali na amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma akipatiwa matatibabu.
Inadaiwa sababu za kuuliwa kwa Hilda ni kutokana na kumkataza Luhanga asiangue...
Wafanyabiashara wa kariakoo (wananchi) wanavyofunguka kueleza kero zao kwa waziri mkuu ni kuwachana watendaji wa wizara ya fedha kinaridhisha.
Mambo mengine tulizoea kusikia kwa wapinzani ndani ya bunge kubainisha mambo ya ndani yanayorudisha nyuma shughuli za wananchi kimaendeleo.
Ila...
Kwenye mkutano wa CCM, mkutano mkubwa,.sherehe kubwa,wasaniii wengi pale,.pamoja na Zuchu. Lakini kibaka kaiba simu ya mheshimiwa.
MC akaambiwa atangaze ili simu ipatikane.
Kwa hiyo MC ametangaza:"Yupo mwanaCCM mmoja mwaminifu ameichukua simu ya Katibu Mwenezi. Tunaomba airudishe."
Naweza sema ni mzee Ruksa, Mkapa na mama Samia ndio waliokota dodo chini ya mnazi, Nyerere, Kikwete na Magufuli waliutafuta urais kwa mbinu zote chafu na safi.
Leo tumuangalia Rais Magufuli, Pompeo wa bongo alivyousaka urais kwa mbinu za chini kwa chini.
Hapo mwanzo kulikuwa na jimbo moja...
MNAZI NA WATU WENYE MAFANIKIO
Na, Robert Heriel
Maandishi ya Robert Heriel kwa Lugha ya Kiswahili. Haki zote zimehifadhiwa.
Leo tutaangazia habari ya Mti wa Mnazi na namna ulivyo na ufanano na watu wenye mafanikio. Bila shaka baada ya andiko hili tutakuwa tumejifunza mambo fulani yenye...
Amani iwe nanyi
Moja kwa moja nauendea uongozi wa EFM radio juu ya mtangazaji wao wa kipindi cha Esports anayefahamika kwa jina la Twalib Omar aka Muwa, kwa muda mrefu nimekuwa nikisikiliza kipindi chenu cha mchezo cha asubuhi, huyu mtangazaji wenu anashindwa kusimama katika professionalism ya...
UWANJA WA MNAZI MMOJA 1948
Nilipata kuandika katika moja ya mitandao ya kijamii kuwa takriban kila aliyesikika katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika yumo ndani ya Nyaraka za Sykes.
Baadhi ya wasomaji walinishambulia wakinishutumu kuwa nina mkakati wangu maalum wa kuharibu historia...
WANAWAKE KATIKA MIKUTANO YA MWANZO YA TANU MNAZI MMOJA
Peleka jicho lako upande wa kushoto utaona wanawake wamevaa mabaibui meusi.
Hawa ndiyo wanawake ambao Daisy anawahadithia katika kumbukumbu ya marehemu baba yake:
''Kitu cha kufurahisha ni kuwa hawa akina mama wa Kiislam wote walivutwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.