Kuruka na malaya ni kujiaibisha bora nipande mnazi

Surya

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
8,379
12,574
Aisee nisiposema nitakuwa mbinafsi ..
Mazingira niliyonayo sijui ni wangapi wanaweza toboa hii life style
Kwanza Mama mwenye nyumba wangu anamiliki Bar na hana mume, sasa bitch zinazopishana hapa ni kasheshe,
Na mm ndio huwa nafungua geti mala nyingi..
Wauza bia wapo wawili wanakujaga kulala kwake, na wanajua mm sina njaa njaa, sasa wameisha fanya mitego mingi sana.

Mpangaji mwingine tena wa kike anaishi mwenyewe na yeye wale wale maji mala moja.. analegeza sauti huyo hadi sio poa.

Kazi ninayofanya hata nisiseme iwe siri, lakini na huko job ni kwikwi..
na nimepakana na bar hiyo malaya wengi sana.

Picha kamili:
Kila nikiwaza kuruka na kahaba yani najisikia vibaya, naona ni kama kujiaibisha na kujitia uchafu tu.
Alafu ubaya mm kulidhika ni hadi makiss na madenda, kumnyonya mwanamke kifua hadi ashindwe kupumua hapo ndio nalidhika.
Sasa utaenda kunyonya malaya hivo kweli .. ??? Neverrrrr

Ni hatar, kwanza wengine wanakileta cha bure kabisa.

Na Mbaya zaidi mimi bado Baby boy yani mali Safi, Dhahabu kabisa na najua kutongoza sana

Usiniulize kwanini huna wa kwako official,
Future wife yupo alafu yupo mbali, na mchepuko nimekosa kabisa.
sub ya wife hakuna kabisa.

Nakutana na malaya tu wengi shazi sana
Sasa life limekua ni kupiga puchu tu mwanzo mwisho.
Nikiwaza malaya nakosa amani nao kabisa.
Nimetongoza kamoja juzi kakajaa, sasa anatuma text mm ndio sijibu, namkwepa 😁

Jana jioni nilienda kupiga glass moja, eneo fulani,
Hilo jicho naangaliwa sio poa.
Naonekana buzi la kwenda kabisa.

Kuna dada mmoja nilimpata week zimepita.. naona ndio kaanza maisha ya kupanga,
Siku namuomba namba alinijibu, usijal mm nipo tu..
One day nilimsindikiza sehemu nikachukua na namba, nikimtext hanijibu.

Hivi mke akiwa mbali mtu unafanyaje sasa ??????


Acha nipige puchu tu,
Asubuh njema wakuu.
 

Attachments

  • 255769627126_status_56101125963f481994534861b02ae74d.mp4
    1.7 MB
Acha nipige puchu tu,
NAKAZIA

mke_wangu.jpg

niko mbioni kula cha asubuhi
 
Aisee nisiposema nitakuwa mbinafsi ..
Mazingira niliyonayo sijui ni wangapi wanaweza toboa hii life style
Kwanza Mama mwenye nyumba wangu anamiliki Bar na hana mume, sasa bitch zinazopishana hapa ni kasheshe,
Na mm ndio huwa nafungua geti mala nyingi..
Wauza bia wapo wawili wanakujaga kulala kwake, na wanajua mm sina njaa njaa, sasa wameisha fanya mitego mingi sana.

Mpangaji mwingine tena wa kike anaishi mwenyewe na yeye wale wale maji mala moja.. analegeza sauti huyo hadi sio poa.

Kazi ninayofanya hata nisiseme iwe siri, lakini na huko job ni kwikwi..
na nimepakana na bar hiyo malaya wengi sana.

Picha kamili:
Kila nikiwaza kuruka na kahaba yani najisikia vibaya, naona ni kama kujiaibisha na kujitia uchafu tu.
Alafu ubaya mm kulidhika ni hadi makiss na madenda, kumnyonya mwanamke kifua hadi ashindwe kupumua hapo ndio nalidhika.
Sasa utaenda kunyonya malaya hivo kweli .. ??? Neverrrrr

Ni hatar, kwanza wengine wanakileta cha bure kabisa.

Na Mbaya zaidi mimi bado Baby boy yani mali Safi, Dhahabu kabisa na najua kutongoza sana

Usiniulize kwanini huna wa kwako official,
Future wife yupo alafu yupo mbali, na mchepuko nimekosa kabisa.
sub ya wife hakuna kabisa.

Nakutana na malaya tu wengi shazi sana
Sasa life limekua ni kupiga puchu tu mwanzo mwisho.
Nikiwaza malaya nakosa amani nao kabisa.
Nimetongoza kamoja juzi kakajaa, sasa anatuma text mm ndio sijibu, namkwepa 😁

Jana jioni nilienda kupiga glass moja, eneo fulani,
Hilo jicho naangaliwa sio poa.
Naonekana buzi la kwenda kabisa.

Kuna dada mmoja nilimpata week zimepita.. naona ndio kaanza maisha ya kupanga,
Siku namuomba namba alinijibu, usijal mm nipo tu..
One day nilimsindikiza sehemu nikachukua na namba, nikimtext hanijibu.

Hivi mke akiwa mbali mtu unafanyaje sasa ??????


Acha nipige puchu tu,
Asubuh njema wakuu.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Back
Top Bottom