single mother

A single parent is a person who lives with a child or children and who does not have a spouse or live-in partner. Reasons for becoming a single parent include divorce, break-up, abandonment, death of the other parent, childbirth by a single person or single-person adoption. A single parent family is a family with children that is headed by a single parent.

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kabla hujamuoa single Mother jitahidi mjue aliyezaa naye. Kama amekuzidi kipato sitisha mahusiano haraka. Sababu ni hizi;

    KABLA HUJAMUOA SINGLE MOTHER JITAHIDI MJUE ALIYEZAA NAYE. KAMA AMEKUZIDI KIPATO SITISHA MAHUSIANO HARAKA. SABABU NI HIZI; Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Kwa Sisi Watibeli Tunaoa wanawake ambao wako Proudly kuwa na Sisi. Yaani wakiwa kwao jina letu linavuma, wanatutaja kwa mazuri...
  2. Mijadala Migumu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

    Kazi yangu ni bodaboda, na nilijuana na huyu single maza kupitia kazi yangu hii, maana yeye anafanya kazi bar hivyo uwa anatoka usiku sana, basi akachukua namba yangu ikawa kila usiku anapiga simu nimfate mda wa kutoka kazinina mazoea yakaanzia hapo. Baba mtoto wake ni dereva wa halmashauri...
  3. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa Umemuoa mzazi mwenzangu (Single mother) Na ukakubali kumlea mtoto wangu; sasa ni kwanini unipangie namna ya Kumuona mtoto na mzazi mwezangu?

    Narudia kusema tena hili kwa sauti kubwa HAKUNA MWANAMKE ANAWEZA KUZAA NA MWANAUME ASIYEMPENDA HAYUPO. Sasa kama umekubali kuishi naye na hata kumlea mtoto wetu pamoja na mzazi mwenzangu na unajua wazi Sheria ya nchi inaniruhusu kuonana na mtoto wangu kila ninapohitaji kuonana naye na hata...
  4. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kuachana na Single Mother bila kuumiza hisia zake?

    Wakuu tayari kishanilamba Huyu single mother ashaanza kuniletea mapicha picha aisee kila rangi naiona Inafikia muda ananizuia nisimtumie mama yangu hela. Nilidhani nimepata mke ama kweli nimeamini kuwa single mother hawaolewi. Mabro na dadaz naombeni ushauri wenu. Namuachaje huyu kiumbe...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mamaake ni Single Mother lakini kamkataza asioe Single Mother

    MAMAAKE NI SINGLE MOTHER LAKINI KAMKATAZA ASIOE SINGLE MOTHER. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Rafiki Yangu wa shule(A'Level) na chuo kikuu amenipigia akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa. 2. Kitabia ni Mpole, sio mtu wa maneno mengi. Mtu wa Amani, asiyetaka vuruguvurugu. Sio mtu wa...
  6. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimezama kwenye mapenzi na single mother

    Wadau natumai mko poa kabisa na wale wagonjwa wote Mungu awape uponyaji. Kufupisha habari mimi ni kijana ambaye nipo kwenye 3rd floor agewise kipindi bado nasoma sikuwa mtu wa mademu sana mara nyingi watu waliniita baba paroko au kwa sasa church boy. Najuta kwanini nimejitunza miaka yote 10...
  7. Think2

    JamiiForums Tanzania Wazo la kuanzisha kituo cha kulea watoto wa single mother ili kuwapatia malezi ya baba ambayo wameyakosa kwa muda mrefu

    Kituo kitapokea watoto wote wasiokuwa na baba au wasioshi na baba zao kutokana na migogoro ya kifamilia tumepqnga kutatua changamoto ya kimalezi ili kunusuru maadili ya taifa ili kwa kuwapatia malezi ya baba ambayo wameyakosa kwa muda mrefu kwaio sisi tutaitwa baba zao walezi. Kwanini wazo...
  8. Back N days

    JamiiForums Tanzania Nimesikiliza wimbo wa rockabye(2016) wa clean bandit sikuwai jua kumbe unaongelea Suala la Single mother

    Call it love and devotion Call it the mom's adoration (foundation) A special bond of creation, hah For all the single moms out there Going through frustration Clean Bandit, Sean-Da-Paul, Anne-Marie, sing, make them hear She works the night by the water She's gone astray, so far away from her...
  9. Nonji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single mother ananing'ang'ania

    Habari wana jamii, Mimi ni mume wa mke mmoja na kutokana mambo ya kazi Sikai na familia yangu mkoa mmoja hapo ni mikoa ya jirani kidogo kama mwendo wa masaa manne kwenda. Maisha haya nimeyaanza muda kidogo tangu 2022 lakini nimekuwa nikijaribu kujicontrol kuepuka vishawishi vya kuingia kwenye...
  10. RRONDO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu Single Mothers

    Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me. One of my ex is a single mother. She has one lovely boy! From what i see her go through, my admiration and respect for her goes higher each day. Single...
  11. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Single mother mwenye mtoto 1 anahitaji mwanaume mwenye hofu ya Mungu swala5 na awe msomi wa Quran.

    Kazi kwishaaa....mtu Mmoja ajitokeze akamfute machozi huu single mama Haya wadau nimewarahisishia badala ya kwenda huko fb issue ishie hapa tu wenzetu swala Tano mnahitajika. Ila single mother kwa mashart mmezidi haya mashart ni ngumu sana kuambiwa na Binti asiye used. Anyway kimfaacho mtu ni...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, hizi ni hisia au uhalisia kuwa Single Mothers wanapenda kuringishia watoto wao Kwa wanaume smart na wanaoonekama watulivu wasio na heka heka

    Single mother anaweza kupanga sehemu ya kuishi au kufanya biashara (chumba, frame au apartment) na watu wanaomzunguka wasijue kuwa ana mtoto. Mtoto anaweza kuwa anaishi kwa ndugu au sehemu nyingine kwa muda. Baadaye akikutana na mwanaume ambaye anaonekana smart, anajiheshimu, anavutia na yuko...
  13. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi baadhi ya wanaooa Single mothers wakiwa sio single fathers huwa Wana ujasiri wa aina gani?

    Habari wanajf Huwa ninashangaa kuona kijana asiye na mtoto hujitwisha mzigo mkubwa wa kiasi hicho. Mimi nimewahi kudate na single mother muda wa miaka Kama 2 hivi niliona rangi zote kwa kweli na sio single mother wa Kwanza na karibia wote wana changamoto zinazofanana. Mwaka wangu wa Kwanza...
  14. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya kisheria unayotakiwa kuyajua kabla haujaamua kumuoa single mother

    Kwenye sheria hazitumiki hisia, kinachoangaliwa ni kile kilichoandikwa kwenye vitabu. Hivyo maamuzi yoyote utakayofanya hata kama ni kwa nia nzuri lazima ujue kuna consequences zake. Kumbuka kwenye sheria hauwezi kujitetea kwa kusema "nilikua sijui" Yafuatayo ni mambo ya muhimu kuyajua...
  15. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unaetaka kuanzisha familia kwa mara ya kwanza, achana na single mother

    Tusikae kimya kujifanya hakuna tatizo. Kijana wa kiume kuanza mechi tayari ashapigwa 1-0, bloodline ya ukoo inavulugika, vile vile kuna suala la co-parenting ni manyanyaso ya kihisia na chanzo cha kutiliana mashaka kwenye mahusiano/ndoa. Kuna uzi mwembamba sana unatenganisha co-parenting na...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Maisha hayahitaji haraka. Ukiona mtu au mfumo unakuhitaji uwe na haraka ujue umewekewa mtego wa kukuangamiza

    MAISHA HAYAHITAJI HARAKA. UKIONA MTU AU MFUMO UNAKUHITAJI UWE NA HARAKA UJUE UMEWEKEWA MTEGO WA KUKUANGAMIZA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Maisha ni mfumo wa kuishi bila pupa. Bila haraka. 2. Kila Jambo Lina wakati wake. Kufosi kuishi wakati wa mbele ni pupa. Ni kuyaharibu maisha...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ongeza Testosterone zako kwaajili ya nguvu na mamlaka ya uanaume wako

    ONGEZA TESTOSTERONE ZAKO KWAAJILI YA NGUVU NA MAMLAKA YA UANAUME WAKO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kadiri testosterone zako zinavyoshuka ndivyo nguvu na mamlaka yako inavyodondoka chini. 2. Kutojiamini kunaongezeka. Mwanaume mwenye testosterone ndogo(zilizochini Sana) hata kiwango...
  18. comrade_kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi awe single mother

    Sharti uwe na watoto kuanzia 3 kwenda mbeleeeeée. Ooh my god njoo pM
  19. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 inataka kunianzia vibaya; single mother niliyemuoa ameenda kwao bila kuniaga Huku akiniachia mtoto wake niliyemkuta nae!!

    Nina hasira hapa zisizomithilika😡😡😡 Hayo nimeyakuta jioni hii niliporudi kutoka shamba kupanda mahindi na mihogo. Kesho asubuhi na mapema nabeba toto lake nafuatana nalo Hadi kwao kuwakabidhi pamoja na talaka juu, tena tatu. Kuna wazo tofauti wanaJF?!!!
  20. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kwamba wanaume 3-6 wanaweza kusaidiana kwa hali na mali ili kuhakikisha unakuwa single mother

    Leo Tena. Tukiwa bado na maombelezo ya vijana wenzetu nimeona si mbaya tupate vinywaji baridi kidogo. Dada yangu sisi wanaume tunapokuwa na jambo letu huwa tunasaidiana kwa hali na mali na kwa umoja uaminifu na ushirikiano mkubwa mno! Hii wewe hujiona kupendwa sana pale unapoona kuwa mshikaji...
Back
Top Bottom