Mungu na Binadamu tumegawanyika mara tatu

Surya

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
8,379
12,574
Katika maisha ya duniani Binadamu toka kuzaliwa kwake anaishi maisha ya kujifunza.
Vyanzo vya maarifa vinajulikana, na milango ya kupokea ni milango yote ya fahamu.
The more you know the more you function.

Twende kwenye mada, short and clear bila kutoa reference.

Binadamu au Mtu kagawanyika mara tatu.
● Mtu ni roho anayo nafsi anakaa ndani ya mwili.

● Mungu ni roho na nafsi yake ni nafsi takatifu anaye mwana wa pekee mwenye mwili.

Mungu
i. Roho
ii. Roho mtakatifu ni nafsi yake
iii. Yesu ni mwanawe wa pekee mwenye mwili.

Mtu
i. Roho.
ii. Nafsi
iii. Mwili.

Mtu yeyote akitaka kumuona Mungu kwa macho ya mwilini basi atatakiwa kumtizama Yesu, mwili wa kwanza ambao Roho ya Mungu imeingia.

Haya ni majibu ya Yesu baada ya mwanafunzi kutaka amuone Mungu kwa Macho ya nyama.

Yohana 14:9
[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Na Mwana wa pekee Ambaye ni Yesu ndiye anakalia kiti cha Kifalme alichorithi kwa Baba yake.

Waebrania 1:8
[8]Lakini kwa habari za Mwana asema,
Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele;
Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili.

Hakika Mungu wetu ni mkuu na waajabu.
Karibuni wote katika ufalme wake kwa kumwamini mwana wake aliye mrithi wa yote.

Warumi 14:17
[17]Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu.

Huko mbinguni hakuna kula kujenga mwili, wala kufanya mapenzi (sex) wala kulewa pombe. Usidanganyike na Elimu za kizushi.
 
Yesu hatunaye sasa physically,so kwa maelezo yako hatuwezi kumuona Mungu maana Yesu aliondoka mapema sana karne ya kwanza after his death.Je,kwa maelezo yako waliokuepo kipindi cha Yesu walimuona Mungu?
 
Yesu hatunaye sasa physically,so kwa maelezo yako hatuwezi kumuona Mungu maana Yesu aliondoka mapema sana karne ya kwanza after his death.Je,kwa maelezo yako waliokuepo kipindi cha Yesu walimuona Mungu?
Yohana 14:9
[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Ukimuona mwanawe Yesu Umemuona Baba wa roho zetu.

Alipaa na mwili wake..

Marko 16:19
[19]Basi Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni, akaketi mkono wa kuume wa Mungu.
 
Yohana 14:9
[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Ukimulna mwanawe Yesu Umemuona Baba wa roho zetu.

Alipaa na mwili wake..

Marko 16:19
[19]Basi Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni, akaketi mkono wa kuume wa Mungu.
Jibu la swali langu sidhani kama ni hili.Hapa naona vifungu vingi kutoka katika biblia lakini nataka kujua ni kweli waliokuwepo kipindi cha Yesu walimuona Mungu?Ukweli ni kwamba Mungu anaonekana katika Yesu kupitia ujumbe(mafundisho) nasio eti kumuona kwa macho Yesu umemuona Mungu(hizi zitakuwa ndoto za abunwasi).Jesus had spirit of God and not his physical body.

Remember:hakuna mwenye uwezo wa kuona - spiritual make up of human being except God.We spiritually agree that we see God throughJesus only by accepting his message and not otherwise.
 
Jibu la swali langu sidhani kama ni hili.Hapa naona vifungu vingi kutoka katika biblia lakini nataka kujua ni kweli waliokuwepo kipindi cha Yesu walimuona Mungu?Ukweli ni kwamba Mungu anaonekana katika Yesu kupitia ujumbe(mafundisho) nasio eti kumuona kwa macho Yesu umemuona Mungu(hizi zitakuwa ndoto za abunwasi).Jesus had spirit of God and not his physical body.

Remember:hakuna mwenye uwezo wa kuona - spiritual make up of human being except God.We spiritually agree that we see God throughJesus only by accepting his message and not otherwise.


unaweza kuonana na mama yako ukiwa uchi?
 
ulishawai kusikia mtu anasema NIMEONA UBUNIFU/UWEZO/JITIHADA zako?
Ndio,ubunifu unaonekana katika physical object au katika namna ambayo utafanikisha jambo fulani(but it is about imagination,so it might be real or unreal),uwezo au jitihadi ni unreal concepts(I mean they are not tangible) but guess what? swali mbona jepesi, ni kweli waliomuona Yesu walimuona Mungu pia?(forget about imagination and faith) jibu swali?
 
Jibu la swali langu sidhani kama ni hili.Hapa naona vifungu vingi kutoka katika biblia lakini nataka kujua ni kweli waliokuwepo kipindi cha Yesu walimuona Mungu?Ukweli ni kwamba Mungu anaonekana katika Yesu kupitia ujumbe(mafundisho) nasio eti kumuona kwa macho Yesu umemuona Mungu(hizi zitakuwa ndoto za abunwasi).Jesus had spirit of God and not his physical body.

Remember:hakuna mwenye uwezo wa kuona - spiritual make up of human being except God.We spiritually agree that we see God throughJesus only by accepting his message and not otherwise.
Unataka kujua kama waliokuwepo kipindi cha Yesu walimuona Mungu. ?

Filipo aliomba kumuona Baba na akaoneshwa. Otherwise kama huamini andiko la biblia.
 
Ndio,ubunifu unaonekana katika physical object au katika namna ambayo utafanikisha jambo fulani(but it is about imagination,so it might be real or unreal),uwezo au jitihadi ni unreal concepts(I mean they are not tangible) but guess what? swali mbona jepesi, ni kweli waliomuona Yesu walimuona Mungu pia?(forget about imagination and faith) jibu swali?
we talk about faith.
sisi sote hatukuwepo, kuna maandiko tu.
 
we talk about faith.
sisi sote hatukuwepo, kuna maandiko tu.
Asante sana hapa sasa tunaelewana and don't forget no one has ever seen God(religion) and faith is believing that God does exit(Not because we have seen him but we have the spirit that guides us to believe so)
 
Asante sana hapa sasa tunaelewana and don't forget no one has ever seen God(religion) and faith is believing that God does exit(Not because we have seen him but we have the spirit that guides us to believe so)
Wameandika wapi ? kwamba hakuna aliyemuona Mungu.

Hizi ni pumba zako binafsi

there is the eye of the spirit
 
Mungu kabla hajaumba mbingu na nchi alikuwa wapi? na ikawezekana vipi aingie ktk mbingu alizoumba yeye mwenyewe?

Aliyemuumba mwanadamu ni nani? Kati ya hao wa3

Mnasema Mwanadamu(mtu) kaumbwa kwa mfano wa Mungu je huo mfano ni upi ilihali Mungu hana mwili na Roho yake ni Tofauti na roho za wanadamu? Je kufanana huko kumetoka wap?

Je lengo ka kumuumba mwanadamu ni lip dunian kama kumuabudu Mungu mbona analojeshi lake huko mawingun sjui mbinguni kuna maelfu ya hao malaika wanaomsifu na kumuabudu 24hrs why ajitese kuumba viumbe dhaifu vimuabudu kwa kuvilazimisha?

Kama tumeumbwa kwa udongo je Udongo gani ulitumika kumuumba mwanadamu mpka wawe rangi tofauti je adamu na eva walikuwa rangi gani? Na ikawezekana vip utofauti wa rangi za wanadamu ulitokea ilihali hakukuwa na Muingiliano wa jamii mbili za rangi tofauti, yaan biblia inatuambiwa watu weusi wametokana na uzao wa Ham je ingewezekanaje Nuhu mtu mweupe azae mtu mweusi? Je kuna muujiza wa mtu mweupe kisayansi kuzaa mtu mweusi pasipo na muingiliano wa mwanamke/mwanaume mweusi+mweupe kati yao ili kuwepo uchotara kutokea?.

Kama Mungu anasema Yeye ni mwana pia ndiye Roho kwanin huyu Mungu mwana aliyekuja dunian alikuwa akiomba kwa Mungu ambaye ndie yeye mwenyewe? Yaani ajiombe yeye mwenyewe?

Huyo Mungu wenu kama alikuja kutukomboa kwaajili ya dhambi why tunaendelea kutenda na kwanini alijitoa sadaka yeye mweyewe isipokuwa angemuangamiza muanzilishi wa dhambi(shetan)?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom