Baba kutaka kutawala vya Mtoto

Surya

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
8,378
12,573
Naomba wajuzi mje mniongezee hekima hapa kidogo uwenda yangu imepunguka..

Katika jamii zetu kuna vijana ambao wanafanikiwa kujipatia kipato na kuanza maisha...

Katika utafutaji inaweza kuwa ajira serikali au ujasilia mali, mvutano unaanza kwa mtoto na baba (na mimi ni baba ajae) hasa wazazi wa kiume wamekua na lawama kwamba watoto wanawasahau.

Mazingira ni Mengi tofauti,
Kwenye maisha kijana kujitafuta hadi kujipata kimaisha lazima unakuwa na watu nyuma waliokushika mkono na kuwa Washauri wako wa karibu, watu hao ni ngumu sana kuwasahau na nilazima utazidi kushirikiana nao.

Niliyoyaona kwenye jamii yetu,

Badala ya watoto kugombania mali za baba, sasa ni wazazi na ndugu kugombani anachokipata mtoto.
Sio wazazi wote wapo hivo, lakina naanza kukutana na wazazi ambao, tamaa na ndoto zao wanataka kuzifikia kupitia hela za watoto wao bila kujali wewe mtoto unahitaji nini na unahitaji kuwekeza wapi.

Mzazi akipewa chochote na mtoto anaona hakitoshi kapewa kidogo, anataka ajue unaingiza sh. ngapi kwa siku, unatumia sh. ngap na nani unamgawia...
Bora huyo mtoto ambae unataka kumuongoza hivo ungemlea malezi ambayo na wewe ulimshirikisha kila jambo lako na mawazo yako.

Unakuta mzazi hataki mtoto akaribie kitu chake binafsi lakini cha mtoto baba anataka akifanyie anavyotaka kama ni chake, ?

Niulize ndivyo inavyotakiwa,..?
Ushauri wa baba ni ushauri wa Mungu wa pili ? Je kama mnatofautiana imani na mzazi wako inakuaje ?

Utashangaa baba aliyetelekeza mke na mtoto anataka apendwe na mtoto hivi inawezekana vip ??

Hata ukilaani mwanao hakujali, hiyo laana itafika kweli ?
 
Naomba wajuzi mje mniongezee hekima hapa kidogo uwenda yangu imepunguka..

Katika jamii zetu kuna vijana ambao wanafanikiwa kujipatia kipato na kuanza maisha...
Bora sasa wawe wazazi.

Shida inakuja kwa hawa walezi wamekulea na mwisho wanatamani kukutawala kwa jina la tusingekuwa sisi asingekuwa hivi .

Kijana amka hakuna cha laana wala bibi yake laana simamia misimamo ya maisha yako maana kesho yako unayo wewe sio wazazi wala walezi

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Ukiona mzazi anakukosea, usisite kumuambia.

Dhana ya 'mkubwa hakosei' ni upotoshaji.

Baba aliyekutelekeza akirudi, mtunze tu hakuna shida.
Bora ingekua huyo mlezi au mzazi ana shida kweli ya kiuchumi, hakuna cha shida ni tamaa tu anataka ya bia na huku na yeye mshahara anao.

Lakini anaona hela yako utaichezea mpe yeye aipangie cha kufanya.
 
Bora sasa wawe wazazi .
Shida inakuja kwa hawa walezi wamekulea na mwisho wanatamani kukutawala kwa jina la tusingekuwa sisi asingekuwa hivi .

Kijana amka hakuna cha laana wala bibi yake laana simamia misimamo ya maisha yako maana kesho yako unayo wewe sio wazazi wala walezi

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
usinunue Meza ndani kwako ety unatunza hela ya kumfurahisha mzazi au mlezi kwanza

Au sisi wengine hatujui nafasi ya mzazi ?
Kuwa mzazi mtu anajiona Mungu..?

Cha ajabu sehemu ulizo anguka zote yeye aliishia kutukana tu.

Unakuta mzazi ana wake wengi na ana kunywa pombe, ila anataka watoto wasiishi kama yeye ila wampe tu hela ya starehe zake.
 
Kama baba ajae jifunze Kwa kina Manji jinsi utajiri unavyo endelea kizazi na kizazi.
Family business ni Bora kuliko degree Kwa mtoto.
Wekaza Kwa wajukuu na huto ingia ktk matatizo na watoto wako.
Wazazi ni jukumu la watoto so waandae mapema wakulee kesho
 
Yaani umenilenga hayo maneno haipiti wiki au mwezi lazima nitamkiwe
Unafikiri bila sisi ungekuwa hapo ulipo neno "Bila sisi" yaan wanajikuta Kama vile wao ndiyo Mungu
Bora sasa wawe wazazi .
Shida inakuja kwa hawa walezi wamekulea na mwisho wanatamani kukutawala kwa jina la tusingekuwa sisi asingekuwa hivi .

Kijana amka hakuna cha laana wala bibi yake laana simamia misimamo ya maisha yako maana kesho yako unayo wewe sio wazazi wala walezi

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Yaani umenilenga hayo maneno haipiti wiki au mwezi lazima nitamkiwe
Unafikiri bila sisi ungekuwa hapo ulipo neno "Bila sisi" yaan wanajikuta Kama vile wao ndiyo Mungu
Pole sana walezi wanaboa na ni bora wakawa upande wa baba ila sio hao wa ujombani .

Wengine labda alikununulia kakiatu wakati unaanza darasa la pili ila anakumbushia mpaka leo una watoto pia .

Aisee saidia mlezi pale mambo yako yakiwa sawa nayo iwe kwa kupenda isiwe shuruti maana hata wasingekusaidia daima Mungu akuwahi kumuacha mja wake wao wajue iliandikwa iwe hivyo upite kwao kama daraja ila sio kuwa wao ndiyo wenye hatima yako .

Pole sana , walezi wanasababisha mpaka watu wanawakumbuka wazazi wao waliotangulia kisa hizi porojo za BILA SISI .

Wameenda mbali wanahitaji wajue mpaka mshahara wako ni kiasi gani mpaka muda mwingine wanakupigia kukuuliza mshahara bado ?

Aisee dada au kaka amka kesho yako ni sasa rafiki yangu hao ndugu zako au walezi au wazazi wako na wewe kwasasa kwenye vijihela unavyopata ila ukizikosa hakuna wakukupa mtaji wala kukuambia kuwa tulikufelisha sisi ila wataanza dharau mshenzi .

Amka kijana wakati ni sasa .

Asante

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana walezi wanaboa na ni bora wakawa upande wa baba ila sio hao wa ujombani .

Wengine labda alikununulia kakiatu wakati unaanza darasa la pili ila anakumbushia mpaka leo una watoto pia .

Aisee saidia mlezi pale mambo yako yakiwa sawa nayo iwe kwa kupenda isiwe shuruti maana hata wasingekusaidia daima Mungu akuwahi kumuacha mja wake wao wajue iliandikwa iwe hivyo upite kwao kama daraja ila sio kuwa wao ndiyo wenye hatima yako .

Pole sana , walezi wanasababisha mpaka watu wanawakumbuka wazazi wao waliotangulia kisa hizi porojo za BILA SISI .

Wameenda mbali wanahitaji wajue mpaka mshahara wako ni kiasi gani mpaka muda mwingine wanakupigia kukuuliza mshahara bado ?

Aisee dada au kaka amka kesho yako ni sasa rafiki yangu hao ndugu zako au walezi au wazazi wako na wewe kwasasa kwenye vijihela unavyopata ila ukizikosa hakuna wakukupa mtaji wala kukuambia kuwa tulikufelisha sisi ila wataanza dharau mshenzi .

Amka kijana wakati ni sasa .

Asante

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Asante Mkuu, Hawa wazazi, walezi na ndugu ni changamoto sana.
 
Pole sana walezi wanaboa na ni bora wakawa upande wa baba ila sio hao wa ujombani .

Wengine labda alikununulia kakiatu wakati unaanza darasa la pili ila anakumbushia mpaka leo una watoto pia .

Aisee saidia mlezi pale mambo yako yakiwa sawa nayo iwe kwa kupenda isiwe shuruti maana hata wasingekusaidia daima Mungu akuwahi kumuacha mja wake wao wajue iliandikwa iwe hivyo upite kwao kama daraja ila sio kuwa wao ndiyo wenye hatima yako .

Pole sana , walezi wanasababisha mpaka watu wanawakumbuka wazazi wao waliotangulia kisa hizi porojo za BILA SISI .

Wameenda mbali wanahitaji wajue mpaka mshahara wako ni kiasi gani mpaka muda mwingine wanakupigia kukuuliza mshahara bado ?

Aisee dada au kaka amka kesho yako ni sasa rafiki yangu hao ndugu zako au walezi au wazazi wako na wewe kwasasa kwenye vijihela unavyopata ila ukizikosa hakuna wakukupa mtaji wala kukuambia kuwa tulikufelisha sisi ila wataanza dharau mshenzi .

Amka kijana wakati ni sasa .

Asante

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
ukianguka sehemu ni lawama mwanzo mwisho na matusi juu, lakini ukiinuka kidogo wanalalamika huwajali na huwapendi
 
Utashangaa baba aliyetelekeza mke na mtoto anataka apendwe na mtoto hivi inawezekana vip ??
Kuna mzee mmoja anapambania sana hii kwa wanae aliowatelekeza miaka 20 iliyopita, na analazimisha kibabe lakini wanasema cha kurithi ni mara 3 zaidi, watoto wake hawasikii chochote wala lolote.
 
Niterekezwe na mzazi alafu aniombe msaada...hakuna Cha msaada hata punje.

Ni wajibu wa mzazi kulea mtoto na sio lazima Kwa mtoto kumsaidia mzazi ,ni busara tu na sio lazima.

Ukitoka kwenye familia ya kimasikini ukaendeleza kutoa Kwa kuogopa lawama na wewe utakuwa maskini na siku ukiishiwa pia watakusema na kukucheka.
 
Niterekezwe na mzazi alafu aniombe msaada...hakuna Cha msaada hata punje.

Ni wajibu wa mzazi kulea mtoto na sio lazima Kwa mtoto kumsaidia mzazi ,ni busara tu na sio lazima.

Ukitoka kwenye familia ya kimasikini ukaendeleza kutoa Kwa kuogopa lawama na wewe utakuwa maskini na siku ukiishiwa pia watakusema na kukucheka.
sure
 
Back
Top Bottom