Alibaba Group Holding Limited (also known as Alibaba Group and as Alibaba) is a Chinese multinational conglomerate holding company specializing in e-commerce, retail, Internet, and technology. Founded on 4 April 1999 in Hangzhou, Zhejiang, the company provides consumer-to-consumer (C2C), business-to-consumer (B2C), and business-to-business (B2B) sales services via web portals, as well as electronic payment services, shopping search engines and cloud computing services. It owns and operates a diverse array of businesses around the world in numerous sectors, and is named as one of the world's most admired companies by Fortune.At closing time on the date of its initial public offering (IPO) – US$25 billion – the world's highest in history, 19 September 2014, Alibaba's market value was US$231 billion. It is one of the top 10 most valuable and is the 59th biggest public companies in the world by Global 2000 list. In January 2018, Alibaba became the second Asian company to break the US$500 billion valuation mark, after its competitor Tencent. As of 2018, Alibaba has the 9th highest global brand valuation.Alibaba is the world's largest retailer and e-commerce company, is on the list of largest Internet companies and artificial intelligence companies, is one of the biggest venture capital firms, and one of the biggest investment corporations in the world. The company hosts the largest B2B (Alibaba.com), C2C (Taobao), and B2C (Tmall) marketplaces in the world. Its online sales and profits surpassed all US retailers (including Walmart, Amazon, and eBay) combined since 2015. It has been expanding into the media industry, with revenues rising by triple percentage points year on year. It also sets the record on the 2018 edition of China's Singles' Day, the world's biggest online and offline shopping day.
Wakuu kama Mada tajwa hapo juu inavojieleza, wakati napitia Facebook Marketplace nimegundua kuna bidhaa zina bei ya chini sana Dubai.
Mfano: Hiyo tecno 106, ina 12k China alibaba, ina 25k up to 35k Bongo lakini kilichonivutia zaidi ni ina AUED 1 , sawa na Tsh.700 yaani 0.7k Dubai.
Facebook...
Wakuu nilikuwa napitia bei za vitochi vya Nokia alibaba naona ni ndogo sana
nawaza nijaribu japo kwa piece 4 , ila sina uzoefu wowote naombeni muongozo wakuu
Ningependa kutoa somo la bure kwa wale ambao wanawaza jinsi gani wanaweza kuanza kuagiza bidhaa kutoka china.
Bidhaa hizi ni za jumla kwa ajili ya biashara.
Utaagiza moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji.
Kupitia uzi huu utaweza kuona bei halisi za bidhaa pamoja na kujua ni jinsi gani...
Habari za siku wadau wa JF,
Moja kwa moja kwenye mada,
Katika pita zangu huko mtandaoni katika masoko mtandao kama AliExpress na Alibaba nimekutana na hii bidhaa, bidhaa nauhitaji nayo lakini namna na taratibu za kuiagiza ndio naona kipengele ukizingatia ni mara ya kwanza kwenye hizi mambo za...
Itifaki ikiwa imezingatiwa, rejea kichwa cha habari.
Ndg zangu ktk jitihada za kupambana huku shambani nakwamishwa na ukosefu wa maji.
Nimejaribu kueasiliana na wachimbaji wa visima virefu, bei zao zinaweza kuzidi urefu wa mlima Kilimanjaro.
Katika kuzuru huku na huku nikakuta sana za kazi...
Hellow,
Mlio wahi kuagiza vitu kupitia alibaba hali ipoje je ni kweli bei ina uhalisia na je mzigo uwa unachukua muda gani kukufikia yaani ki ujulma nataka kujua zaidi usalama uaminifu na muda wakupokea mzigo.
Tunapozungumzia soko la biashara ya mtandao wa internet duniani, basi bila shaka nchi ya kwanza inayokuja kwenye vichwa vya watu wengi ni China. Kwa sasa China imeliteka soko hili na kuwa kinara duniani, ikizalisha karibu asilimia 50 ya miamala duniani.
Soko la biashara ya mtandaoni la China...
Wakuu nimeongea na seller alibaba kama watatu nataka kuagiza smartwatch 30 pcs akanipa mchanganuo wa cbm 30*5.65=169.5usd naona kama gharama kubwa zaidi ya bei ya bidhaa au mimi ndo sijaelewa maana ni mgeni kwenye sbm nimeshazoea kuagiza AliExpress
Je kuna njia yoyote naweza kutumia kupunguza...
Jack Ma ameonyesha uwezekano wa kuwa msomi na tajiri pia kinyume cha tunavyoamini hapa kwa wasomi hawezi kuwa matajiri
---
Jack Ma, the billionaire co-founder of Alibaba who disappeared from public life in 2020, has taken up a teaching role in Japan
Alibaba co-founder Jack Ma has joined Tokyo...
Nimekuwa nikiagiza mizigo AliExpress kwa muda Sasa ,, nataka tumia alibaba kwa baadhi ya mizigo
Nimechat na seller kanitumia link na nili inquiry logistics company akanipa cheapest Ni Dola 30USD
Njia za Alibaba zinaonekana Ni fast Sana Ila Zina Bei Sana
Nasikia Kuna silent ocean nisaidieni...
Wakuu,
Katochi kangu kameanguka na kupasuka kioo..Najua Kariakoositakipata kwahyo Nina mpango wa kuagiza China, wapi ni salama zaidi na uhakika kupata bidhaa kati ya Aliexpress na Kikuu?
Aliexpress sina experience nao lakini naona ndiyo wanavyo vingi na pia bei zao ni ndogo lakini sijajua issue...
Bondia Karim Mandonga amefanikiwa kupata ushindi wa pointi dhidi ya Alibaba Tarimo katika pambano la uzito wa kati lisilo la ubingwa la Raundi 4.
Akizungumza baada ya ushindi huo Mandonga amesema alichoahidi amekitimiza kwa kuwa mpinzani wake hakuw ana uwezo wa kupigana naye.
Upande wa Alibaba...
Wadau naombeni nisiwe na mambo mengi naombeni kujua yeyote aliyewahi agizia mzigo Alibaba ulimfikia vipi na ofisi za agent zao hapa Dar zipo wapi?
Mimi nina experience na Kikuu nimeagiza sana na kupokea mizigo yangu mara ya mwisho nilinunua mzigo wa Million 1,200,000/= nilifanya maana ofisi zao...
Kwa nini China inashindwa kudhibiti mtandao huu Alibaba kwa sasa! soko kubwa lipo china ndio chimbuko la mtandao huu?
Yani kama ufahamu ujuzi wa kutumia mtandao huu,unaweza kulia kilio cha mvua kabisa.
Alibaba kama china na tajiri wao isipoweza kuzibiti basi kunaweza kusababisha china na...
Nimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nahitaji kuagiza machine ya incubator hivyo kuna duka wanahitaji kuniuzia hiyo machine lipo China kupitia alibaba ebu nipeni uzoefu mliowahi kuagiza MZIGO nje ya nchi kupitia alibaba
Kwa wazoefu wa kununua bidhaa kutoka Alibaba au Ebay nielekeze inakuaje na gharama zipoje mpka nipate mzigo wangu.
Nataka kununua flat screen alibaba nimeona bei zao ni rahisi sana, anaefahamu anieleweshe kidogo hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.