nafasi za ajira

  1. Jamii Opportunities

    Specialist: Server & Database Administrator at CRDB Bank February, 2024

    Position: Specialist; Server & Database Administrator Job reporting to: Senior Manager ICT Location: CRDB BANK Burundi S.A. No of positions: 1 Principal Responsibilities Perform daily database administration activities including configuration & monitoring, space management, capacity planning...
  2. Jamii Opportunities

    Finance and Administration Manager at HISP Tanzania February, 2024

    Job Title: Finance and Administration Manager Reporting Line: Managing Director Location: Dar es Salaam, Tanzania, Job Responsibilities/Specific Duties Accounting/Finance Providing leadership, direction and management of the finance and accounting team. Providing strategic recommendations to...
  3. Jamii Opportunities

    Individual Contractor – Messenger at IRMCT January, 2024

    Call for Interest: Individual Contractor – Messenger Office: General Services Section (GSS) Location: Arusha Job Opening Number: 2024/IRMCT/REG/GSS-A/002-IC This position is subject to local recruitment. Applicants for positions of individual Contractor must be authorized to work in the duty...
  4. minh

    Natafuta ajira ya uingizaji wa taarifa (data clerk) na ukusanyaji wa taarifa (data collection)

    Habari wanajamii, naombeni connection za upatikanaji wa ajira za data clerk, data collection na zingine zinaxohusiana na maswala ya data. Ninauzoefu wa matumizi ya komputer na elimu ya diploma ya project management. Asanteni
  5. S

    kuna nafasi za AJIRA hazipaswi kuteuliwa kabisa

    Mi nazidi kuishangaa nchi yetu hii aisee Yani mteue wakuu wa mikoa, wilaya, D.E.D na wengineo huko waliokaa kisiasa siasa mfike hadi kwa nafasi zilizosomewa kabisa ? Mwambieni Mheshimiwa Rais, hakukuwa na Haja ya kuteua kwa nafasi ya Mkurugenzi wa TASAC. Hii nafasi ilipaswq iachwe vijana...
  6. Z

    Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

    Haiingii akilini NSSF wamepata wapi huu ujeuri wa kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote ili kuajiri wateule wao tu waliopewa nafasi kinyemela ya mikataba na kwa gia ya "kujitolea". Lazima nyuma yake kuna vigogo vinasukuma hii agenda nyuma ya pazia! Haishangazi yalishaanza...
  7. Jamii Opportunities

    Supervisor Exploration at AngloGold Ashanti

    Position: Supervisor Exploration Contract type & Duration: Unspecified Time Contract Reporting to: Exploration Operations Coordinator Number of Positions: One (01) Location: Dodoma PURPOSE OF THE ROLE: Support the Exploration Manager Tanzania by providing a comprehensive support service for...
  8. Jamii Opportunities

    Assistant Finance Manager at BRAC

    Position: Assistant Finance Manager Location: Country Office Dar es Salaam Job Responsibilities 1. To supervise all Divisional Accounts Managers/Regional Accounts Manager Activities and ensure strong controls on cash, inventory, and other assets. 2. To provide necessary assistance and direction...
  9. benzemah

    TANAPA yatangaza nafasi za ajira

    Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limetangaza nafasi za ajira 166 kwa nafasi mbalimbali. Kiambatanisho kipo chini kwa taarifa zaidi ==== THE UNITED REPUBLIC OFTANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.JA.9/259/01/A/306...
  10. comte

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yatangaza nafasi za ajira 524

    MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imetangaza nafasi za ajira 524 ili kujaza nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na nafasi 206 za maofisa wasimamizi wa kodi. Tangazo la TRA limeorodhesha idadi ya nafasi hizo na vigezo kwa waombaji na kwa ujumla waombaji wanapashwa kuwa tayari kufanya kazi popote pale...
  11. C

    Watu 8,476 kusaka nafasi 42 za ajira zilizotangazwa na Bunge

    Hii habari iko kwenye gazati la Nipashe, kama ni kweli hiyo hali anatupa taswira gani katika soko la ajira? Hi ni timing bomb, kuna haja ya vyuo kubadili mitaala ya kozi zisizokuwa na soko kwenye market yetu. ====== Tume ya Utumishi ya Bunge imetangaza ajira za kada mbalimbali ambapo walioitwa...
  12. benzemah

    NIDA yakanusha kutangaza nafasi za ajira, tuepuke matapeli

    Kufuatia uwepo wa taarifa za baadhi ya wananchi hususani kutoka Zanzibar kupigiwa simu na watu wasiowajua wakiwafahamisha kuwa wanatafutwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ili waajiriwe na kuwataka wananchi wanaowapigia simu wawatumie tarifa zao na pesa ili kuwasaidia kupata ajira...
  13. NALIA NGWENA

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kujiunga na Jeshi kwa Vijana ambao wametumikia au wamefanya mafunzo ya kujitolea katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa miaka miwili kisha wakarejeshwa majumbani. Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano, Luteni Kanali...
  14. Ahmet

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimetangaza nafasi 221 za ajira katika kada mbalimbali

    Chuo Kikuu cha Dodoma kupitia utumishi kimetangaza nafasi 221 za ajira. Watu mbalimbali wanatakiwa kujaza nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na Tutorial Assistants, assistant lecturers, lecturers, technicians, transcribers n.k katika fani mbalimbali. Wenye sifa nafasi hii. Hivi lilikuwa ni...
  15. Serengeti DC

    Nafasi za kazi 1241 Jeshi la Magereza

    Kamishna Jenerali wa Jeshi La Magereza anatangaza Nafasi za Kazi 1241- za kujiunga na Jeshi kwa Mwaka 2022. Mwisho wa kutuma Maombi Tarehe 15 .JUNI.2022 --
  16. sky soldier

    Wazanzibar wengi wameanza kuwa na sifa za kuajirika, wapewe 25% za nafasi za ajira na sio 21%

    kwa sasa nadhani wengi mmekuwa mashuhuda wa matokeo ya form 4 na form 6, hapo zamani ufaulu ulikuwa ni mdogo sana, si ajabu kukuta darasa zima lina division 4 na 0 pekee, Na linapokuja swala la ufaulu basi zanzibar ilikuwa ikishika mara kwa mara namba za mwisho, wazanzibar wengi walikuwa...
  17. Masokotz

    Unaweza kuzalisha ajira kwa ajili ya vijana 5 wa kitanzania?

    Habari za wakati Kufikiria sio kazi rahisi,ni kazi ambayo ina ugumu wake. Je unafikri unaweza kuzalisha ajira kwa ajili ya vijana 5 wa Kitanzania katika eneo ulipo?Je ajira utakayowapatia itakuwa na sifa gani,utawalipa kiasi gani,itakuwa na faida gani kwa jamii inayokuzunguka? Zingatia kwamba...
  18. L

    Mchango wangu kuhusu nafasi za ajira kwenye taasisi za muungano

    Makubaliano yanasema kwenye taasisi na wizara zote za Muungano ajira iwe Zanzibar 21% na Tanzania 79%. Issue hapa naona haijakaa sawa maana mzanzibari anaweza kuingia kwa hizo 21% lakini pia hiyo asilimia 21% ikijitosheleza anaweza kuingia kwenye taasisi hiyo hiyo kama Mtanzania maana nae ni...
Back
Top Bottom