Wapo wapinzani Wanadai kuna Kura za Mchongo. Lakini Tume HURU ya Uchaguzi inatumia mfumo Bora wa Biometric Voter System kuandikisha, kuhuisha taarifa za mpiga kura na kuhakiki taarifa hizo siku ya kupiga Kura haya yote yanafanyika ili kuhakikisha Kura zote ni halali. Tunawapongeza Tume Huru kwa...
Wakuu, habarini za saizi, kama mada inavyojieleza hapo juu, nina ujuzi na programu ya QGIS (Quantum Geographic Information System) . naombeni mnisaidie ni namna gani naweza kupata kazi hizi za GIS. je hapa Dar kuna kampuni lolote linalohusiana na haya mambo ya GIS? kama lipo, naombeni mnisaide...
Introduction
The integrity and effectiveness of Tanzania’s tax administration system depend heavily on the consistent and faithful application of tax laws. In recent years, however, several judicial decisions particularly at the level of the Court of Appeal have raised serious concerns about...
Hapa nakunywa konyagi kubwa nikawa nawaza mawazo haya. Hebu kama wadau wa JF tuzungumze ukweli ambao wengi wanaogopa kuusema kuhusu hii mada:
“CCM ina uwezo wa kumvua mtu roho yake ya kweli bila hata kutumia bunduki.”
Binafsi nimeona kwa uelewa wangu hawa content creator wa jf kama
Robert...
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Serikali ya Watu China imezindua mfumo wake wa kufanya malipo GLOBAL DIGITAL PAYMENT NETWORK na kuukwepa mfumo wa Marekani wa SWIFT ambao Marekani anautumia kama silaha dhidi ya washindani wake kiuchumi na Kijeshi
BIG BREAKING! 🚨💵🪦
CHINA LAUNCHES GLOBAL DIGITAL PAYMENT NETWORK...
HLS ( HOTEL LOCKING SYSTEM).
Hii ni system inayotumika katika vyumba vya hoteli na lodge.
Ni maalum kwa ajili ya milango inayofunguka Kwa kadi.
System hii inakupa option ya ku-create kadi ya kufungua Mlango iweze kutumika ktk muda ambao mteja amelipia chumba, mfano mteja kalipia chumba siku...
1. TO BE HUMBLE PERSON ( kuwa mtu mnyenyekevu na mwadilifu ).
Katika mafunzo ya "dao - self defense system" kuna kanuni tano za kujilinda ambazo ni lazima kila mwanafunzi wa DAO ajifunze ili kuongezea ufahamu katika elimu yake ya kujilinda. kanuni namba moja ya kujilinda inasema kuwa...
In-Depth Investigation of Moving Averages for Trading Systems
Introduction:
After two decades immersed in the ebb and flow of financial markets, I've seen countless trading strategies rise and fall. Moving averages, in their myriad forms, remain a cornerstone of technical analysis. However...
Wako hoi kiuchumi ,taabani kifedha.
Makao makuu ya Chadema yana ukata na njaa kali....mara wanakimbilia ubalozi wa Norway tusipate misaada (dola milioni 7.)kila fiscal year.Mara uchaguzi mkuu usiwepo ,kumbe yote ni "nakama" ,waya mkali ,ulofa hapo makaoni.
Makamu Mwenyekiti ndg.Lema anawayawaya...
Sasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .
Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.
Ukitaka kutoa msaada...
Tunafunga CCTV camera, alarm systm, Electric Fence, Remote gates nk
Tunafunga camera za ulinzi majumbani, maofisini, mashuleni, hospitali, migodini, mashambani nk.
Tunaunga mifumo yote kwenye sjmu ya mkononi hivyo utaweza kuona matukio yote kwenye simu yako ukiwa popote pale.
Tunafunga fensi...
Najua kuna vijana wengi wana mawazo yao lakini changamoto huwa ni fedha.
Ningependa kujua ni wapi naweza kupata fursa ya kuweza kuhudhuria maonyesho ya projects zinazodeal na mambo ya computers, simu, apps, n.k.
Kwa sasa nipo Njombe, huku ni bila bila. sehemu ya karibu nayohisi kuna hayo mambo...
Habari wana JF
Solar power system yenye uwezo wa kuwasha nyumba nzima inauzwa TShs7.5M. Maongezi yapo
Specifications 5kw inverter, 10kw battery and 2,000watts solar panel zenye ukubwa sawa na ceiling board yaan 1.2m X 2.4m
Ni mpya kabisa kutoka China bado kwny box kama inavyoonekana.
Ipo Tabata...
THE NEW POLITICAL SYSTEM FOR AFRICA
NAME: The Ubuntu Sovereign System (USS)
"Ubuntu" is an African philosophy meaning "I am because we are"—emphasizing unity, responsibility, and justice.
The Ubuntu Sovereign System (USS) is a political system designed for Africa, merging religious values...
Guys Leo nimeona nizungumzie kuhusu air defense system ambazo Rwanda Wana deploy.
Asilimia kubwa ya system ambazo ziko public Rwanda anazinunua zinatoka Russia lakini watz wengi wamekua na hofu kwamba Rwanda anakuwa more strong zaidi ya Tanzania na kubwa ambacho pia wengi hawaelewi ni...
Mzee Jengua: "HAPA NI MJINI, UKIONA MTU ANAMEZA KITU AMBACHO HAJANUNUA BASI NI MATE YAKE MWENYEWE"
Cha msingi linda utu na legacy yako, hivyo vikisha tiki, then jifunze wengine wana fanya nini, kifanye ila katika utofauti unaoendana na matakwa na matarajio ya walaji.
Unapofanya vile vile...
Wataalamu,nilikuwa nauliza inawezekana
kutengeneza mfumo kwa kutumia WordPress kwa ajili ya kuplace order!
Unahizi functionalities!
• Wafanyakazi wa ofisi wanaweza kuweka maombi(order placing) ya vitu vinavyotakiwa kununuliwa mtandaoni.
• Mtu wa manunuzi (procurement) anaweza...
Sote tunaona!
Kwa hali ilivyo sasa, endapo hatujapata Katiba Mpya sasa inayowawekea Viongozi wa kisiasa speed governor huku ikiweka nguvu kubwa kwenye mifumo ya nchi kuendesha na kuamua masuala ya msingi kuna wasiwasi mkubwa sana nchi yetu kuenda kuwa failed state miaka michache ijayo.
Kwa...
Kilicho andikwa hapa Kina ukweli WA asilimia mia.
Anasema " What could be a better prank than making people study for 20 years then never giving them jobs"?
Haya Sasa twende Kazi , kimbia haraka Sana kamtoe mtoto wako shule ya EM mrudishe Kayumba.
Thank me later 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Habari wote,
kazi yetu ni kutengeneza mifumo ya Computer.
Kwa sasa nawaletea mfumo ambao unasimamia na kurekodi maswala yote ya mikataba pamoja na kesi.
Kwa makampuni ambayo yanakua na mikataba mingi ambayo ina expiry date,basi hiii itakusaidia kuweka kumbukumbuku zote za mikataba,ukiweza pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.