Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!
Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.
Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Dar es Salaam. Mkaguzi wa Polisi, Mahita Omari Mahita ameieleza Mahakama kuwa walifanikiwa kumtia mbaroni mshtakiwa wa pili, Revocatus Everist Muyella katika kesi ya mauaji ya Aneth Msuya, baada ya askari mmoja kumuomba lifti amkampeleka hadi kituo cha polisi.
Mahita alieleza mbinu hiyo jana...
Hata waisrael walifikia kipindi kuchoka na shida wanazopata safarini kuelekea kaanani walitamani Musa awarudishe Misri kwa farao utumwani walipata mahitaji muhimu.
Kama uhai na utu wa mwanadamu una thamani Tanzania, ni vema hawa watu wanne, Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita, wangekamatwa kwaajili ya kuwafanyia uchunguzi wa kijanai kuhusiana na mazingira yanayowazunguka kuhusu kuwatesa watu, kuwateka, kuwapoteza na hata mauaji.
Majina haya manne...
Hivi Kingai, Godluck, Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI, Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata?
Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.
Je, tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi?
Mbona...
Kwema wana jf taifa kubwa
Naitwa makolelo
Mkazi wa dar
Elimu diploma
Uzoefu
Store keeper kampuni ya jiangxi Mwaka mmoja
Shop manager fashion shop
Revenue collector municipal
Cashier
Site foremen supervising 10 labour
Natafuta kazi yoyote ya kuingiza riziki na nimuuguze mama angu Kitu hiki...
Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Sebastian Madembwe alitoa ushahidi wake. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.
=======
Jaji ameingia Mahakamani Kesi namba 16 ya Mwaka 2021...
Kwa Mlolongo wa kesi ya Mbowe na wenzake jinsi ambavyo imeibua hisia za watanzania kua iko siasa na chuki ndani yake, nimelazimika kuuliza maswali haya kwa sababu kadha wa kadha ikiwemo kuwapiga na kuwaumiza walinzi wa Mbowe na wenzinge haijulikani walipo hivi sasa.
Najua kabisa bila shaka kua...
Kiuhalisia ni kuwa ushahidi lazima uwe na relevant fact juu tuhuma husika.
Kwamba shahidi wa kwanza na wa pili wameonyesha kuchemka kwa kutokuwa na relevent facts, hii bado ni mbichi sana. Tuache kupiga kelele za kishamba.
Ushahidi ni suala jumuishi, leo ushahidi wa shahidi namba moja mnaweza...
Mahakama ndio chombo huru ambacho kinatoa haki hapa nchini kwetu.
Tuondoe ile dhana potofu kuwa kuna mkono wa Ccm kwenye kesi ya Mbowe.
Tunaona mashahidi wakipigwa maswali mpaka wanaomba po.
Kwa namna wanavyotepeta basi tuamini kuwa msingi wa uhuru wa mahakama upo kwa kasi ya 4g hapa Tanzania.
Wakili msomi Peter Kibatala V/S Mtoto wa IGP Mahita.
KIBATALA: Inspekta Mahita nimekufuatilia wewe ndiye ulikuwa arresting Officer?
MAHITA: Sahihi.
KIBATALA: Kazi ya Kingai ilikuwa nini?
MAHITA: Alikua Mkuu wa Msafara.
KIBATALA: Mkuu wa msafara ni role gani kwenye arresting?
MAHITA: Kimya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.