kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Zipo Taarifa kwamba Mahita Junior amefiwa na mtoto Arusha na watazika Morogoro kesho, je Taarifa hizi Zina ukweli? Nini chanzo?
If so,poleni familia
If so,poleni familia
Bado sana laana hapa hapa tulishawaambia hizo damu za watu wasio hatia hazitaawaacha salama bado kingai sirro na wengine wote kina j4......Zipo Taarifa kwamba Mahita Junior amefiwa na mtoto Arusha na watazika Morogoro kesho, je Taarifa hizi Zina ukweli? Nini chanzo?
If so,poleni familia
Ange kufa yeye. Si ndio hadi kizazi cha nne?? Mtu una peleka malaana nyumbani kwako kwa mambo ya hovyo kabisa.Zipo Taarifa kwamba Mahita Junior amefiwa na mtoto Arusha na watazika Morogoro kesho, je Taarifa hizi Zina ukweli? Nini chanzo?
If so,poleni familia
Na tuta sali usiku na mchana. Mungu wa mbinguni atajibu kabla jua halija tua. Hawawezi kuwatesa Watanzania kwa interest zao za hovyo.Tusihusishe matatizo ya familia,hasa vifo(natural deaths) na kesi hii. Family yote inalia hasa mama mtoto. Hata Mbowe alifiwa na kakake,mama mkwe nk, huwezi kusema ni laana ya sabaya/chacha wangwe...
Kuna watu wao wanaamini kifo ni laana, wamesahau kabisa kua tumezaliwa ili tufe na haijalishi umri wala hali yako kiafya, maana unaweza Mtu kalazwa ICU lakini anapona wakati kuna Mtu mzima na afya yake anakufa!! Kila nafsi itaonja umauti!!Tusihusishe matatizo ya familia,hasa vifo(natural deaths) na kesi hii. Family yote inalia hasa mama mtoto. Hata Mbowe alifiwa na kakake,mama mkwe nk, huwezi kusema ni laana ya sabaya/chacha wangwe...
Siku wwe ukifa au ukifiwa ndiyo utakua unajisemea kinafiki,"kifo ni mpango wa Mung"!!Na tuta sali usiku na mchana. Mungu wa mbinguni atajibu kabla jua hakija tua. Hawawezi kuwatesa Watanzania kwa interest zaon za hovyo.
Hata kama ni chungu tuta pasua laana ziwa andame mashariki na magharibi, kusini na kaskazini. Mungu wa sasa ni kijana sana. Tuna muomba akatuonekanie kwenye hii kesi ya Mbowe, kila alie weka fitna na Mungu akamuonyeshe ukuu wake na hasira zake.
Potelea mbali. Kuna adhabu za Mungu ili ujutie unayo watendea wenzako. Na kuna kifo kwa mipango ya Mungu. Mie nikifiwa ni mpango wa Mungu.Siku wwe ukifa au ukifiwa ndiyo utakua unajisemea kinafiki,"kifo ni mpango wa Mung"!!
Gaidi mbowe amefiwa na kaka,dada,shemeji kwani yeye alitoa ushahidi gani wa uwongoLaana ya kutoa ushahidi wa uwongo itawatesa sana.
Mungu awasamehe!
Tusihusishe matatizo ya familia,hasa vifo(natural deaths) na kesi hii. Family yote inalia hasa mama mtoto. Hata Mbowe alifiwa na kakake,mama mkwe nk, huwezi kusema ni laana ya sabaya/chacha wangwe...
Ndugu za Mbowe walifariki kutokana na manyanaso anayofanyiwa ndugu yao ambaye wanayajua maisha yake ya uadilifu.Tusihusishe matatizo ya familia,hasa vifo(natural deaths) na kesi hii. Family yote inalia hasa mama mtoto. Hata Mbowe alifiwa na kakake,mama mkwe nk, huwezi kusema ni laana ya sabaya/chacha wangwe...
Na tuta sali usiku na mchana. Mungu wa mbinguni atajibu kabla jua halija tua. Hawawezi kuwatesa Watanzania kwa interest zao za hovyo.
Hata kama ni chungu tuta pasua laana ziwa andame mashariki na magharibi, kusini na kaskazini. Mungu wa sasa ni kijana sana. Tuna muomba akatuonekanie kwenye hii kesi ya Mbowe, kila alie weka fitna na Mungu akamuonyeshe ukuu wake na hasira zake.
Acha hizoBado sana laana hapa hapa tulishawaambia hizo damu za watu wasio hatia hazitaawaacha salama bado kingai sirro na wengine wote kina j4......
"Mbowe si gaidi"Gaidi mbowe amefiwa na kaka,dada,shemeji kwani yeye alitoa ushahidi gani wa uwongo
USSR