IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 541
Hivi Kingai, Godluck, Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI, Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata?
Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.
Je, tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi?
Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima. Imekaaje hii. Napata Kigugumizi. Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi?
Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.
Je, tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi?
Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima. Imekaaje hii. Napata Kigugumizi. Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi?