Kama sio Mke wako, whatever she think about you ni Pesa zako tu.
Atakutafutia sababu tu akupate.
Ukisikia anakwambia Baby nina hamu na wewe tutaonana lini? Basi My friend amemisi kukukwapua pesa zako baada ya kuona umejikalia kimya.
Watch your Money usija kubaki unalaumu serikali kwa maisha...
In 2010, a black Nigerian couple living in London gave birth to a whitè, blond haired, blue eyed baby who become known as “The Miracle baby”.
When Angela Ihegboro first saw her newborn daughter, she was, “speechless.” “She's a miracle baby,” the 35-year-old mother said, “But still, what on...
Nimefurahi sana kuona huyu Mwanasheria na member wa chama chetu pendwa cha UWABATA akisimamia Ilani bila ya kuyumbishwa na Binti huyu.
Umoja wa Wanaume Bahiri Tanzania (UWABATA).
Jua kali mida ya mchana kuelekea al asiri, mwamba mmoja anaonekana akiongea na simu yake ya mkononi,na hakika amezama hasa katika maongezi yake.
Wazee wa Cuba huwa hatukawii kung'amua kwamba kuna kitu hakiko sawa kwa jinsi mwamba alivyokuwa anaongea, ilinichukua sekunde zisizo zidi thelathini...
Jamaniiiiii my baby Sis is back!
Nilikumiss sana mdogo wangu, Mwehu wangu, welcome back my lovely Sis, ur such a beautiful soul.
Kwa mtazamo wa nje una mapepe mengiiiii ila in reality una Moyo wa dhahabu, walio karibu na wewe watashuhudia hili.
Juzi niliona I'd mpya imechangamka inaitwa...
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua hiki kizazi cha hawa Baby Boomers (watu waliozaliwa mwishoni mwa miaka ya 1940 na mwanzoni mwa miaka ya 1960 i.e 1946-1964), ni kizazi cha watu wabinafsi kuwahi kutokea duniani.
Wengi wao, katika nchi nyingi ikiwemo Tanzania, walipoingia tu kwenye...
Ikitokea leo hii ndoa zote zikavunjwa hlf mkapewa hiyari ya kurudiana na baby wako kwa aliye tayari.
Je utakuwa tayari kurudiana na huyo baby wako?
**Mabarubaru peni na karatasi ziwe karibu mchukue notes apa.
Haya haya sasa, mimi kila nikiamka asubuhi, mume ananiambia morning babes!
I love you, na mabusu tele, mwaaaah!
Sasa sijui upande wako ukiamka kunakuwaje? Unaamka na stress za kausha damu (Marejesho/madeni)? Kuwa mkweli basi tuambie, ni stress au mabusu?
Msiopata mabusu asubuhi nawasalimu kwa...
Hii ni Crossover SUV, Tena ni subcompact Luxury cross over kutoka BMW, Yani Baba Mama Watoto walitaka kupata SUV ndogo na luxury inayotumia mafuta vizuri ndo X1 akazaliwa, saa andaa kifungua kinywa then kaa nikupe madini ya hii gari..
2009 ndo BMW X1 amezaliwa na alitambulika kama moja ya SUV...
Watu wengi walio katika mahusiano hutumia sana neno baby (mainly in happy times) lakini ni wachache sana wanajua maana ya kumuita mwanadani wako "baby". ukishaelewa maana ya kumuita mwenza wako baby basi utafurahia maisha ya mahusiano yako, hasa wote mkiwa mnafahamu hilo
Sasa je nini maana ya...
Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala sijakusahau
Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie)
Umetoroka kwenu
Umenifuata home...
Ili penzi la ukweli baby nipe tu
Na ukinikuta nimelala unakuja juu
Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu
Na ukinikumbatia moyo unadunda
puuh
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Kazi njema baby 💕💕💕🥰
I know we can't be together right now, we're just too far apart, and I understand that. I also know that logically you will probably never actually see this letter, either. But the same part of me that knows we will be together always, regardless of the way things are right now, believes you...
The 34-year-old singer from Barbados had her baby boy on May 13, according to a report from TMZ.
The Savage x Fenty designer and the 33-year-old DMB singer have yet to confirm the baby's arrival and the site did not yet have news on a name.
The last time the cover girl was seen out in public...
Habari mzazi,
Je, umekuwa na majukumu mengi na ukatamani upate mahali sahihi ambapo wanalea watoto wadogo wenye umri chini ya miaka miwili (2)?
Ikiwa unaishi maeneo ya Bunju, Boko, Mabwepande, Mapinga au maeneo yaliyo karibu na Bunju basi unaweza fika kwenye shule yetu inayoitwa Mchamungu Day...
Msanii tajwa fani ya muziki na filamu Baby Madaha aelezea changamoto zinazoua wasanii ktk fani zao ni za kimfumo.
Baby Madaha anashangaa kuwa msanii wa umri wa miaka 36 hapa Tanzania anahesabika ni kama gari la namba plate TZA wakati huko Marekani ya Kaskazini, Latin Amerika Ulaya, Mashariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.