boy

A boy is a young male human. The term is usually used for a child or an adolescent. When a male human reaches adulthood, he is described as a man.

View More On Wikipedia.org
  1. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Nigerians Djs waanza kuipa airtime a song "Home boy" ya Civilian-Coin kwa furaha kubwa.

    Ona wanacho kufanya hawa madj wa Nigeria kutoka vituo mbalimbali vya Radio nchini mwao kwa kuinua Ngoma Home boy ya Mtanzania Civilian-Coin kwa furaha kubwa. https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=pMeRg7x9mkGaUNww
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msanii wa Kenya afariki kwa kujiua, miezi baada ya kusema “nitajiua"

    Kifo cha msanii wa Arbantone, Stoopid Boy, kimeibua mjadala kuhusu afya ya akili nchini Kenya. Taarifa za awali zinaeleza kuwa msanii huyo alifariki kwa kujiua Agosti 27, 2026. Miezi kadhaa kabla ya kifo chake, Stoopid Boy alikuwa amezungumza hadharani kuhusu depression, matumizi ya pombe na...
  3. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Utofauti wa maneno kati ya "Warmly welcome & Most welcome" na Celebrate & Enjoy" kwenye wimbo "Home boy wa Civilian-Coin"

    https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=O5Lb8BTks6Wrp8QD
  4. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Ema ze boy alishangaa kuona Shehe Mwaipopo akitishia kuwaumiza watu na kikund chake alafu hachukuliwi hatua yoyote

    Elewa neno ema ze boy, King Kong III
  5. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Ni unyama, ndivyo unavyoweza kusema baada ya House Girl, mtoto wake kukatwakatwa kwa mapanga na House Boy kisa mapenzi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamsaka kijana mmoja aliyetajwa kwa jina la Emmanuel Elisante Mariki, mkazi wa kijiji cha Lyasongoro, kata ya Marangu, Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kujeruhi watu wawili . Tukio hilo limetokea usiku wa saa kumi na nusu alfajiri ya Agosti 24 katika kijiji...
  6. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin azindua mavazi rasmi yaitwayo "African map wear" au " Home boy gear"

    Civilian-Coin Msanii wa Hip Hop/RnB kutoka African-Tanzania amezindua mavazi ya aina yake yaitwayo "African map wear" au "Home boy gear" ambayo yametokana na wimbo wake uitwao "Home boy" alioutoa mwezi Jana na ndio umebeba jina la Albam. T-Shirt na blausi zote zimefanywa na C-C Digital Pro.
  7. F

    JamiiForums Tanzania "Ema The Boy" komalia hapo hapo. Hakuna kung'atuka, Waswahili wasituvurugie nchi yetu

    Kuna kila dalili ya Ema The Boy kung'atuliwa ila ni namna na wakati sahihi wa kumng'atua ndiyo Kizungumkuti. Inadaiwa katumiwa rafiki yake Jasusi Kutoka TISS, Ema kamjibu kawaambie waliokutuma "Mimi sio mwepesi na sio Mwoga" Habari zikarudishwa kwa Mtuma mjumbe kuwa Kasema never. Komalia...
  8. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania D.Trump Invites California Teen Lifeguard Who Rescued Boy To White House!

    jioneeni wenyewe "beach boys" wa USA wanavyofanya mambo makubwa ku-save life vs tanzagiza vijana wote wanapoteza ujana wao wakishinda kwenye boda boda mpaka wanazeeka, boda boda ni lost generation. huyo dogo aliyeokolewa alikuwa na miaka 10 ...
  9. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania T-shirts za Home boy gear (African map wear) zimeanza KUINGIA mitaani

    Watch
  10. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Ni fursa ya Wanasiasa kumuona "Home Boy" bila link

    Tazama.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa kizazi cha utandawazi 90s, 2000s most cant raise boys to be men, hatua za haraka zinahitajika kuokoa vizazi vijavyo

    Ni aina ya wanawake ambao wengi hawana hata mafundisho ya kitamaduni ya kuwa mama mlezi, at least hapo zamani yalikuwa yanasaidia kina mama kukuza watoto wa kiume, mfano siku hizi Mama anaoga na mtoto wake wa kiume mwenye miaka 8 wakiwa uchi bafuni, anabadili nguo za ndani mbele yake, kwake...
  12. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Ile video ya 'Home Boy' by Civilian-Coin imeachiwa rasmi(full video-HD)

    For Promo only. https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=WFtATkgwuApVX0J3
  13. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Video ya home boy itatoka lini?

    Iko njiani. Watch trailer yake:
  14. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Kwa ma-home boy karibuni tumkaribishe mdau wetu Civilian-Coin

    https://youtu.be/deSgpkA4dOE?si=br2WFO93GAOXGbGu
  15. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Stepmother Arrested Over Death of Two-Year-Old Boy in Buikwe

    Police in Buikwe District are investigating the death of a two-year-old child after his body was discovered inside his parents' home in Kiyindi Town Council, leading to the arrest of his father and stepmother. Police in Buikwe District have arrested a woman in connection with the death of her...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Machawa: Kumteka house boy kunamsaidia vipi Mama

    Yaani unaenda kuteka ma houseboy wa viongozi wajinga jinga upinzani kumtisha nani! Usalama badala ya kufanya kazi wanashinda kuvuzia Mpaka ma house boys. Mama ananufaika na nini hasa? Mnawasaidia sana wenye kesi za mauaji huko
  17. Da Dona

    JamiiForums Tanzania Shakira Unveils Official 2026 World Cup Song Featuring Burna Boy

    Colombian pop star Shakira has unveiled the official song for the 2026 FIFA World Cup titled Dai Dai, ahead of the tournament set to take place in the United States, Mexico and Canada. 📸: Shakira, Image Courtesy of BBC The 49-year-old singer teased the song through a one-minute video shared on...
  18. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Five-Year-Old Boy Found Dead in Kassanda, Ritual Killing Suspected

    A five-year-old boy has been found dead in Rugingi Village, Kijuna Sub-county in Kassanda District, a day after he was reported missing, in a case police are investigating as a suspected ritual killing. The child, identified as Imran Senyonjo, reportedly disappeared on April 28, 2026, at...
  19. Ertugrul Bey

    JamiiForums Tanzania Home boy fanya lile ambalo lipo ndani ya uwezo wako

    Huu uzi nimeandika nikiwa kwenye dala dala,kwahiyo kwa wale ambao mnasema ni vigumu kuona mtu akifungua JF akiwa public,basi mimi sio kwamba nafungua tu bali hata kuandika uzi naandika pia. Wazo la kuandika limenijia baada ya kuona mdada amebandika kucha zilizo nakishiwa na gold,nikajikuta...
  20. masai dada

    JamiiForums Tanzania Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

    Jamiinimetushape kwamba ndoa ni kitu cha lazima sana vinginevyo hamna urafiki,mapenzi au mahusiano ya namna yoyote kati ya me na ke Na hii ndo inasababisha ndoa nyingi kuwa za hovyo kuliko maelezo Watu wangekuwa wanadate bila kufikiria au kuweka kipaumbele cha ndoa ingekua ni rahisi sana mtu...
Back
Top Bottom