Karibu baby sis

Joannah

JF-Expert Member
May 8, 2020
18,447
42,561
Jamaniiiiii my baby Sis is back!

Nilikumiss sana mdogo wangu, Mwehu wangu, welcome back my lovely Sis, ur such a beautiful soul.

Kwa mtazamo wa nje una mapepe mengiiiii ila in reality una Moyo wa dhahabu, walio karibu na wewe watashuhudia hili.

Juzi niliona I'd mpya imechangamka inaitwa black flowers nikajua ni wewe, nikamcheck fastaaa PM, I was so disappointed baada tu ya salam nikapata jibu"Mimi sio cute wife"🙄🙄🙄🙄🙄🙄nikamwambia sawa nikandoka kinyongeee, yaani I was surprised kajuaje namtafuta lamomy🤣🤣.

Welcome back kipenzi, am sure shostisto wako Missy Gf atakuwa anachekelea maana alikuwa kapooza kama ndegere mjane.

Karibu Tena beautiful, ila punguza wenge, usipigwe tena ma ban yasiyo na lazima usiwe kama mndewa Extrovert 😅. Am happy umerudi dogoake.😘
 
Jamaniiiiii my baby Sisy is back....
Nilikumiss sana mdogo wangu,Mwehu wangu, welcome back my lovely Sisy, ur such a beautiful soul...Kwa mtazamo wa nje una mapepe mengiiiii ila in reality una Moyo wa dhahabu, ......walio karibu na wewe watashuhudia hili,juzi niliona I'd mpya imechangamka inaitwa black flowers nikajua ni wewe,nikamcheck fastaaa PM,I was so disappointed baada tu ya salam nikapata jibu"Mimi sio cute wife"🙄🙄🙄🙄🙄🙄nikamwambia sawa nikandoka kinyongeee,yaani I was surprised kajuaje namtafuta lamomy🤣🤣..... Welcome back kipenzi,am sure shostisto wako Missy Gf atakuwa anachekelea maana alikuwa kapooza kama ndegere mjane .. Karibu Tena beautiful,ila punguza wenge,usipigwe Tena ma ban yasiyo na lazima usiwe kama mndewa Extrovert 😅,..Am happy umerudi dogoake😘
Picha?
 
Jamaniiiiii my baby Sisy is back....
Nilikumiss sana mdogo wangu,Mwehu wangu, welcome back my lovely Sisy, ur such a beautiful soul...Kwa mtazamo wa nje una mapepe mengiiiii ila in reality una Moyo wa dhahabu, ......walio karibu na wewe watashuhudia hili,juzi niliona I'd mpya imechangamka inaitwa black flowers nikajua ni wewe,nikamcheck fastaaa PM,I was so disappointed baada tu ya salam nikapata jibu"Mimi sio cute wife"🙄🙄🙄🙄🙄🙄nikamwambia sawa nikandoka kinyongeee,yaani I was surprised kajuaje namtafuta lamomy🤣🤣..... Welcome back kipenzi,am sure shostisto wako Missy Gf atakuwa anachekelea maana alikuwa kapooza kama ndegere mjane .. Karibu Tena beautiful,ila punguza wenge,usipigwe Tena ma ban yasiyo na lazima usiwe kama mndewa Extrovert 😅,..Am happy umerudi dogoake😘
Faidika na darsa la FaizaFoxy:

Kwa msamiati wa "slang" wa Kingereza "sissy" ni mwanamme mwenye mambo ya kidada (shoga).

Hapa unamuongelea mdogo wako wa kiume ambae ni "sissy"? Au wa kike ambae ni "sis"?
 
Back
Top Bottom