Bayerische Motoren Werke AG, commonly referred to as BMW (German pronunciation: [ˈbeːˈʔɛmˈveː] (listen)), is a German multinational company which produces automobiles and motorcycles. The company was founded in 1916 as a manufacturer of aircraft engines, which it produced from 1917 until 1918 and again from 1933 to 1945.
Automobiles are marketed under the brands BMW, Mini and Rolls-Royce, and motorcycles are marketed under the brand BMW Motorrad. In 2015, BMW was the world's twelfth-largest producer of motor vehicles, with 2,279,503 vehicles produced.BMW is headquartered in Munich and produces motor vehicles in Germany, Brazil, China, India, South Africa, the United Kingdom, the United States and Mexico. BMW has significant motorsport history, especially in touring cars, Formula 1, sports cars and the Isle of Man TT.
Kwema wakuu, gari tajwa hapo juu imejilock, mara yamwisho kuitumia ni juzi ilikuwa fresh tu, jana wakati nataka kuondoka ikawasha taa ya engine hivyo nikaona nisitumie maana sijui tatizo, leo niko free nilitaka niipeleke garage sasa ninacho ona ni kwamba imejilock.
Milango haifunguki...
Habari zenu wakuu.
Ninauza ECU YA BMW N46 engine Bosch part number DME 7620350-02.
Hii ECU inatumika kwa BMW models zote zenye N46 engine kama E90, X1, 1 series, etc.
Bei ni 1.3 million. Napatikana Dar.
Wasiliana 0625536529
Asanteni
Price/Bei 15.7mls
Cont:
Bmw 3 Series ECY
Year 2008
Cc 1990
Low Km 99000
Full Options✅
Sports & New Tyres
Clean Condition
0688591584
Navunja Na Gari yoyote°°
Location Dar es salaam
MOLAS Autohub ni duka la rejareja la ndani ambalo huhudumia jamii ya karibu kuhusu vipuri na pia kutoa huduma za kuagiza mtandaoni. Tuna utaalam wa kuuza Sehemu za Magari za Uropa kuanzia Mwili, Injini, Kusimamishwa, Mfumo wa Mafuta, Mfumo wa Radiator, Breki na Vichungi n.k. Hivi ni vya Genuine...
Price/Bei 13mls
Cont: 0768160670
Bmw 3 Series M sport🌺 DXP
Year 2006
Cc 1990
Low Km
Full Options✅
Sports & New Tyres
Clean Condition
Navunja Na Gari yoyote
Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar.
Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo.
MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi
Hii ni Crossover SUV, Tena ni subcompact Luxury cross over kutoka BMW, Yani Baba Mama Watoto walitaka kupata SUV ndogo na luxury inayotumia mafuta vizuri ndo X1 akazaliwa, saa andaa kifungua kinywa then kaa nikupe madini ya hii gari..
2009 ndo BMW X1 amezaliwa na alitambulika kama moja ya SUV...
Kati ya gari hizi mbili ambazo naona kwasasa zinanunuliwa sana kwenye miji mikubwa zikiwa na namba E, ipi inafaa zaidi kwa matumizi ya kawaida ya mjini.
Zote ni 2.0 AT petrol za mwaka 2013/14 na zote ni all wheel drive/4WD.
Wenye uzoefu na hizi gari msaada.
Budget yake ni kuanzia 43m mpaka 50m...
Wakubwa habari!
Naombeni mwenye ujuzi wa gari ya BMW Xi Ile ya 1590cc in terms of
1.fuel economy
2.durability/resilience
3.price yake
4.za manufacturing year zipi ni nzuri zaidi
Wakubwa habari!
Naombeni mwenye ujuzi wa gari ya BMW Xi Ile ya 1590cc in terms of
1.fuel economy
2.durability/resilience
3.price yake
4.za manufacturing year zipi ni nzuri zaidi
American consumer reports inasema Toyota ni gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani zikifuatiwa na BMW. Mazda, Honda na Audi.
Magari ya Kimarekani kama Ford, Tesla nk ni magari yasiyoaminika kabisa nchini Marekani.
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
Salam wana JF!
Pichani ni BMW 3 SERIES ya 2007, Cc 2000 (Km 16/L), 2WD.
Gharama zote 16,300,000. Malipo ya awali 9,000,000
Tunapatikana
Dar- Golden Jubilee Tower
Mbeya- Mwanjelwa Soko Jipya
Piga; 0719 989 222
Hii kampuni ya Kijerumani yenye makao yake makuu katika jiji la Munich inatengeneza magari bora zaidi duniani.. Magari ambayo ukiendesha lazima upate furaha.. Gari huichoki.. Driver oriented..
Ultimate Driving Machine..!
Kuweka battery nyuma ya gari.
Gari nyingi battery zake zinakaa mbele...
✍🏾Kwa jina Naitwa CECE motors. Najishughulisha na Uagizaji wa Magari mapya aina zote na nchi tofauti tofauti kama Japan,UK,Dubai, Singapore, e.t.c
👉🏼Pia Nafanya Clearing and Forward Agent Kwa Mizigo yoyote uliyoagiza/Utakayoagiza kama vile Magari,Makontena, E.t.c
👉🏼 Bila kusahau tunatoa Mikopo...
Habari Wakuu
Nimekosea kuagiza MAF sensor ya gari, badala ya kuagiza ya BMW E90, nimeagiza ya BMW E46/E81/E87.
Aina ni
Bosch
0280218075
AIR MASS SENSOR-3(E46)1(E81/E87
Bei ni laki 3 ingawa nimelipia $117 halafu jumuisha ushuru kutoka Dubai kupitia Aramex.
Kwa anayehitaji, wasiliana...
Katika hali isiyo ya kawaida mchekeshaji aliyejizolea umaarufu mitandaoni Jackson Sakwile maarufu kama “Mkaliwenu “ametunikiwa gari la kifahari aina ya BMW X5 na Nabii maarufu nchini Dk GeorDavie baada ya kukunwa na mashairi ya nyimbo aliyoitunga kwa ajili yake.
Tukio hilo lilitokea hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.