Dkt. Abbas afunga ndoa na Mamy Baby wa Clouds Media

Last Seen

JF-Expert Member
Jun 7, 2013
223
549
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dr. Abbasi amefunga ndoa na Mtangazaji wa Clouds FM Mamy Baby.

Photo_by_Clouds_FM🇹🇿_on_December_30,_2022._May_be_an_image_of_2_people_and_indoor..jpg
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo, leo hii tar 30-12-2022 amefunga ndoa halali na Mamy Baby wa kipindi cha XXL, Clouds Fm.

Mtangaziaji huyo ambaye jina lake kamili ni Mkuwe Issale, alianzia majukumu yake katika redio ya East Africa kabla ya kihamia Clouds.

Tunawatakia kila la kheri.
Screenshot_20221230-162509.jpg
 
Katibu Mkuu huyo wa Wizara ya Utamaduni na michezo leo ameonekana hadharani akifunga ndoa na Mwanamke anayejulika kwa jina la Mammy baby , ambaye inasemekana ni Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha XXL

Haijulikani mahali ilikofungwa ndoa hiyo wala ukumbi kutakakokuwa na Sherehe za Harusi hiyo .

Pia haijajulikana kama ni ndoa ya kwanza , ya pili au ya tatu .

Tunawatakia kila la heri
 
Katibu Mkuu huyo wa Wizara ya Utamaduni na michezo leo ameonekana hadharani akifunga ndoa na Mwanamke anayejulika kwa jina la Mammy baby , ambaye inasemekana ni Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha XXL

Haijulikani mahali ilikofungwa ndoa hiyo wala ukumbi kutakakokuwa na Sherehe za Harusi hiyo .

Pia haijajulikana kama ni ndoa ya kwanza , ya pili au ya tatu .

Tunawatakia kila la heri
Ndoa imefanyikia tabora
IMG_20221230_163215.jpg
 
Back
Top Bottom