jux

Juma Mussa Mkambala (born 1 September 1989), popularly known by his artist name Jux and sometimes referred to as 'African Boy', is a Tanzanian Artist and Songwriter. Born in Dar es Salaam, his interest in music began at a young age, when at the age of 16 he began to rap. However it is his singing that he is best known for to date, and is considered one of Tanzania's highest paid artists. In 2008 when Jux signed to Tanzanian record label A.M records, he began to record R&B songs instead. Since then he has released several hit songs, including 'Sugua' featuring Diamond Platnumz, 'Juu' featuring Vanessa Mdee, and most recently 'Regina' featuring Otile Brown. In 2018 his song 'Uzuri Wako' (translation: Your Goodness) was banned by the Tanzanian Communications Regulatory Authority, along with songs from several other artists, including Diamond Platnumz, for going against Tanzanian morals and values.In 2015, he received an award for 'Best R&B song' at Kili Music Awards, also known as the national Tanzania Music Awards. In 2017 he received an award for the Best East African Music Video at the Zanzibar International Film Festival (2017). And in 2018 and 2019, he was nominated for 'Best Male East Africa' at the AFRIMMA awards. He also appeared performed on Coke Studio Africa in 2019. After numerous single releases, his first album titled 'The Love Album' was released in 2019, featuring tracks from several artists including Nigerian artist Singah and Diamond Platnumz.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Kuna ngoma za 1. Harmonize, Jux & Marioo: 2. Diamond, Barnaba & Jay Melody:na 3. Alikiba, Rayvanny & Mbosso, utasikiliza namba ngapi?

    Mezani kuna 'Playlist' ya Nyota hawa wa Bongo Flava 1. Harmonize, Jux & Marioo 2. Diamond, Barnaba & Jay Melody 3. Alikiba, Rayvanny & Mbosso Utasikiliza kundi namba ngapi?
  2. sinza pazuri

    Hongera Jux kwa mafanikio haya

    Hongera sana msanii Juma Mkambala aka Jux kwa kufikisha subscribers million 1. Kutoka kwenye subscribers laki 4 hadi 1 million ndani ya miezi mitatu ni jambo la kupongezwa. Ni nzuri sana kibiashara. Sisi wapenda burudani na maendeleo ya vijana tunakupongeza sana na tunafurahi kuona kijana...
  3. M

    Wimbo wa enjoy ungekuwa ni collabo kati ya Jux na msanii wa kawaida ingetisha sana

    Kuna muda unafika kwa Msanii mkubwa kutokuwa na jipya katika jamii hata utoe ngoma kali kiasi gani. Ndivyo ilivyo sasa kwa Diamond, hana jipya la kuwavutia mashabiki na wapenzi wa music, labda aimbe nyimbo zake za zamani. Watu wanataka ladha mpya kuanzia personality, sauti nk. Ni kama...
  4. BARD AI

    Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris awataja Harmonize, JUX, Darasa, Zuchu, Alikiba, Mbosso, Jay Melody, Marioo na Platform kwenye Playlist yake

    Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris ametoa Spotify playlits yake ya nyimbo 25 za Wasanii wa Afrika ambazo anazikubali ambayo ameipa jina la “Safari Zangu: Ghana, Tanzania na Zambia”, kama sehemu ya kukuza muziki na kuwapa hamasa zaidi Wasanii wa Afrika wakati huu ambapo anafanya ziara...
  5. Brother Wako

    Marioo The Kid You Know Album Review: The Mix Of Bongofleva, Afrobeat And Amapiano Collaborations Of Wakali Wa Africa

    Marioo The Kid You Know Album Review: Mchanganyiko Wa Kolabo Za Bongofleva, Afrobeat Na Amapiano Za Wakali Wa Africa Siku kumi na moja baada ya kuitambulisha artwork yake sambamba na tracklist, hatimaye #TheKidYouKnowAlbum ya Marioo imefikishwa rasmi kwa wasikilizaji wake usiku wa kuamkia...
  6. NetMaster

    Jux apewe ajira ya kuwa mwalimu chuoni (lecturer), anafaa kuwa balozi wa kuwapa moyo vijana wasiache elimu kwajili ya usanii

    Asisubiriwe mpaka apoe, muda sahihi ni huu wakati bado anashika chati kwenye muziki. Jux ni msanii alieweza kufanya muziki na kusoma kwa mpigo, anastahili kupewa ajira ya kipendeleo kabisa, ilibidi na mshahara wa ziada ili awe balozi kwa vijana wengi nao watamani kupita njia aliyopitia Jux...
  7. Poker

    Huddah akiri Juma Jux ni zaidi ya Diamond Platnumz katika kila nyanja!

    Yule mrembo matata ambaye kwa sasa yupo karibu sana na msanii matata wa kiume a.k.a Jux, amekiri kupitia kituo kimoja cha redio kwamba Jux ako na hela mingi kuliko Mondi sema hana kelele na wako mbioni kuanzisha brand yao mpya hapa Tz. Ifahamike Huddah tayari amelamba dili nono huko 21st...
  8. K

    Darasa na Jux wachukizwa na Harmonize kwa kuwataja kwenye shoo bila makubaliano

    Harmonize ameanza kuipigia promo show yake ambayo inafanyika mnamo wa tarehe 5 March, katika matangazo hayo amewa-list wasanii wengi wa nje na wa ndani, ila Jux na Darrasa wamem-maindi baada ya kuyaweka majina yao bila ya kuongea na management zao.
  9. LIKUD

    Kwa wimbo huu: Jux you are the true son of your father

    Umeonyesha ukomavu wa Hali ya juu Sana. Hivyo ndio mwanaume anatakiwa kuwa..
  10. instagram

    Kumbe Juma Jux kimaisha kamzidi Diamond Platnumz?

    Juma Jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw. Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote Bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.
Back
Top Bottom