Kizazi cha 2010 hicho.Mnatongozaje wanawake wanaandika X badala ya S, una akili za kitoto na Infinix lako.
Utajir wa familia yake 😂Nimefurahi sana kuona huyu Mwanasheria na member wa chama chetu pendwa cha UWABATA akisimamia Ilani bila ya kuyumbishwa na Binti huyu.
View attachment 2932594View attachment 2932595
Umoja wa Wanaume Bahiri Tanzania (UWABATA).
Sio mwenezi tena?Naam Mimi kama raisi wa umoja wanaume bahili tanzania..
Nachukua Fursa hii kumpongeza mjumbe wetu.
Hana hela ndio maana katumia maneno kujielezaMwanaume hupaswi kujielezea kiasi hicho hasa kwenye ishu ya pesa.
dronedrake kaka nahumu tupo ama Sisi ni kataa ndoa tu?Nimefurahi sana kuona huyu Mwanasheria na member wa chama chetu pendwa cha UWABATA akisimamia Ilani bila ya kuyumbishwa na Binti huyu.
View attachment 2932594View attachment 2932595
Umoja wa Wanaume Bahiri Tanzania (UWABATA).
mpaka humo tumo, chini ya sera yadronedrake kaka nahumu tupo ama Sisi ni kataa ndoa tu?
Alpha Menmpaka humo tumo, chini ya sera ya
LINDA KIBUNDA CHAKO
Kazingua sana bora angetulia tu kimya asijibu kitu, anampima mwanamke kishamba sana na majibu ya vipimo huwa hayawekwi wazi.Hana hela ndio maana katumia maneno kujieleza
Hao mademu omba omba huwa mnawaokota wapi aisee?
Very vague relationship!
-Kaveli-