baba na mama

Kelly Key is the debut album by Brazilian recording pop artist Kelly Key, released on December 22, 2001 by Warner Music. The album brought ten fully copyright tracks, composed by Kelly in partnership with Andinho, Gustavo Lins and Rubens de Paula, plus a remix of "Escondido" as a bonus track. The tracks were produced by DJ Cuca and Sergio Mama, bringing the artistic production was created by Tom Capone and amixagem the Afegan producer directly from the recording studios in New York City. Kelly Key brought a differential to join R&B and dance-pop to the mode used by international artists, a novelty in Brazil at that time, with the biggest inspirations the American singers Britney Spears, Jennifer Lopez, Christina Aguilera, Madonna and Janet Jackson, beyond Brazil Luciana Mello and Fernanda Abreu. The album reached the top spot on the music charts in Brazil, selling a total of 1,000,000 copies and winning the platinum certificate.The album received mostly positive reviews. Alex Antunes, Portal Dedo do Meio, said the work could address gender and feminism without using profanity and sounding more natural and less "virgin" that other Brazilian artists of pop romantic music, which meant that there was a greater identification of young people with his drive. The portal Contém Pop said the drive was well structured and significantly contributed to the construction and history of Brazilian music. Naiady Piva, the Portal Pop, compared to disk ...Baby One More Time Britney Spears work. Carlos Eduardo Lima, the Scream & Yell magazine, said the album broke the "prefabricated good-looking hypocritical" in Brazilian music, portraying young people as something enclosed, being the opposite of double Sandy & Junior.
The first single released was "Escondido", on June 18, 2001, but it was the same with "Baba", his second work of music on November 7,
that success started happening and Kelly began to appear among the top positions on the radio for weeks and came to have an agenda of Monday appointments to the second, including programs, photo shoots and interviews due to the sudden success.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Naomba kumjua aliyeghani pamoja na Tongolanga katika wimbo 'Baba na Mama'

    Mnaofahamu naomba mnijuze tafadhali! Walipatana hao watu kwenye hicho kibao si mchezo. Pia ni nani alikuwa analizimua lile goma pale mwishoni walipoanza kuimba kwa kimakonde? R.I.P Tongolanga, kwangu utabaki kuwa mwanamuziki bora daima. -kila munu avena kwao -chilamba cha vene -sanura -baba...
  2. Uzalendo wa Kitanzania

    Wazaa Mtoto Mzungu aliyethibitika ni wao japo baba na mama ni Weusi

    In 2010, a black Nigerian couple living in London gave birth to a whitè, blond haired, blue eyed baby who become known as “The Miracle baby”. When Angela Ihegboro first saw her newborn daughter, she was, “speechless.” “She's a miracle baby,” the 35-year-old mother said, “But still, what on...
  3. DON YRN

    SoC03 Afya ya mtanzania mikononi mwa baba na mama ntilie

    Kwa mujibu wa Wikipedia, Afya ni hali ya kujisikia vizuri kimwili, kiakili, kiroho na kiutu bila kusumbuliwa na ugonjwa. Hivyo basi, ili binadamu awe na afya iliyo bora yaani asisumbuliwe na magonjwa, yapaswa azingatie kula vyakula vyenye virutubisho vyote kama protini, wanga, mafuta. Anatakiwa...
  4. sky soldier

    Je, ni aibu, kwa familia ambayo wazazi walikuwa watumishi wa serikali lakini hakuna mtoto aliye serikalini?

    Nauliza hili swali niweze kupata viewpoint yenu maana kuna baadhi ya watu nawashangaa wanasema watoto wameaibisha wazazi wao ila mimi naona hawapo sawa kwasababu kazi hazirithishwi, Nyie mnaona vp? baba alikuwa ni engineer shirika kubwa tu, Mama alikuwa ni Muhasibu taasisi flani ya mambo ya...
  5. Roving Journalist

    Arusha: Watoto wawili watuhumiwa kumlawiti mdogo wao baada ya baba na mama kuikimbia familia

    Wakazi wa Kata ya Muriet, eneo la Barabara ya Nado, mitaa ambayo ni maarufu kwa jina la Muriet au Barabara ya East Afrika Mkoani Arusha, wamelalamikia kitendo cha wazazi wawili (mume na mke) kuwatelekeza watoto wao ambao wamejikuta wakiingia katika matatizo ya kimaadili. Inaelezwa kuwa Wazazi...
  6. Aaliyyah

    Nilichojifunza kuhusu wanaume

    Natumaini mko poa, Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivyo awali. Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Kutolelewa Na Baba na Mama humfanya mtoto asiwe na Upendo, hii ni sababu upendo wa ndani ya jamii Zama hizi kupungua

    Kwema Wakuu! Ni ngumu Sana kukuta upendo Kwa watoto ambao hawajalelewa na Baba na Mama, hiyo ndio sababu siku hizi kwenye jamii upendo wa wengi umepoa. Mtoto asipolelewa na wazazi wawili, Baba na Mama yake hisia na vyanzo vya upendo hufa POLEPOLE Kwa uhakika. Kuachana Kwa wenza, Baba na Mama...
  8. M

    CCM ya Baba na Mama kumbukeni hili

    Wakuu, Tusameheane tu nimekulia nyumba ambayo baba, Mama, Bibi na Babu wote kwa ujumla na rejareja ni CCM. Ukweli mchungu CCM HAIJADHAMIRIA kutuletea maendeleo ya kweli watu wa kusini, ukiangalia nguvu inayotumika awamu hii kuwekeza Kanda Kanda ya ziwa na kaskazini ni dhahiri mmetuona watu wa...
  9. Elitwege

    Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

    Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa. Baba yangu alikuwa anamlipia...
  10. ndege JOHN

    Baba na mama yangu ni members wenzetu wa JF

    Nadhani katika ukoo ambao una members wengi wa jamiiforum Basi ni ukoo wangu mimi. Ipo hivi Kuna siku nimerudi kutoka chuo ilikuwa weekend nikafika nyumbani baba akanipa simu nikamtolee hela tigo pesa kwa wakala nikaona Ana application ya JF Nikachungululia jina lake nikakuta Ni ID fulani...
Back
Top Bottom