baby

  1. B

    JamiiForums Tanzania Baby Boomers: Kizazi cha watu wabinafsi kuwahi kutokea duniani!

    Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua hiki kizazi cha hawa Baby Boomers (watu waliozaliwa mwishoni mwa miaka ya 1940 na mwanzoni mwa miaka ya 1960 i.e 1946-1964), ni kizazi cha watu wabinafsi kuwahi kutokea duniani. Wengi wao, katika nchi nyingi ikiwemo Tanzania, walipoingia tu kwenye...
  2. Braza Kede

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mliyeoa/kuolewa utakuwa tayari kurudiana na baby wako

    Ikitokea leo hii ndoa zote zikavunjwa hlf mkapewa hiyari ya kurudiana na baby wako kwa aliye tayari. Je utakuwa tayari kurudiana na huyo baby wako? **Mabarubaru peni na karatasi ziwe karibu mchukue notes apa.
  3. Money Penny

    JamiiForums Tanzania ''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?

    Haya haya sasa, mimi kila nikiamka asubuhi, mume ananiambia morning babes! I love you, na mabusu tele, mwaaaah! Sasa sijui upande wako ukiamka kunakuwaje? Unaamka na stress za kausha damu (Marejesho/madeni)? Kuwa mkweli basi tuambie, ni stress au mabusu? Msiopata mabusu asubuhi nawasalimu kwa...
  4. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania BMW X1 aka Baby BMW SUV

    Hii ni Crossover SUV, Tena ni subcompact Luxury cross over kutoka BMW, Yani Baba Mama Watoto walitaka kupata SUV ndogo na luxury inayotumia mafuta vizuri ndo X1 akazaliwa, saa andaa kifungua kinywa then kaa nikupe madini ya hii gari.. 2009 ndo BMW X1 amezaliwa na alitambulika kama moja ya SUV...
  5. sanalii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi na mke wangu tunafurahia sana ndoa yetu, ijue maana ya kumuita mwanadani wako "Baby"

    Watu wengi walio katika mahusiano hutumia sana neno baby (mainly in happy times) lakini ni wachache sana wanajua maana ya kumuita mwanadani wako "baby". ukishaelewa maana ya kumuita mwenza wako baby basi utafurahia maisha ya mahusiano yako, hasa wote mkiwa mnafahamu hilo Sasa je nini maana ya...
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baby candy

    Baby usilie Mi najua wazo lako Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie) Nenda shule kwanza Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata Usione nadharau Hata mimi nakungoja baby Candy Wala sijakusahau Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie) Umetoroka kwenu Umenifuata home...
  7. Unique Flower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baby soma huu Uzi

    Ili penzi la ukweli baby nipe tu Na ukinikuta nimelala unakuja juu Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu Kazi njema baby 💕💕💕🥰
  8. Last Seen

    JamiiForums Tanzania Dkt. Abbas afunga ndoa na Mamy Baby wa Clouds Media

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dr. Abbasi amefunga ndoa na Mtangazaji wa Clouds FM Mamy Baby.
  9. Cucciolo mia

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Feelings to my baby

    I know we can't be together right now, we're just too far apart, and I understand that. I also know that logically you will probably never actually see this letter, either. But the same part of me that knows we will be together always, regardless of the way things are right now, believes you...
  10. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Rihanna has her baby! The singer and beau A$AP Rocky 'welcomed their son LAST WEEK' but have yet to share the name of the child

    The 34-year-old singer from Barbados had her baby boy on May 13, according to a report from TMZ. The Savage x Fenty designer and the 33-year-old DMB singer have yet to confirm the baby's arrival and the site did not yet have news on a name. The last time the cover girl was seen out in public...
  11. Vaselictor

    JamiiForums Tanzania Tunalea Watoto wadogo wenye umri chini ya miaka miwili (2)

    Habari mzazi, Je, umekuwa na majukumu mengi na ukatamani upate mahali sahihi ambapo wanalea watoto wadogo wenye umri chini ya miaka miwili (2)? Ikiwa unaishi maeneo ya Bunju, Boko, Mabwepande, Mapinga au maeneo yaliyo karibu na Bunju basi unaweza fika kwenye shule yetu inayoitwa Mchamungu Day...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Baby Madah afunguka 'michezo michafu' ya Industry

    Msanii tajwa fani ya muziki na filamu Baby Madaha aelezea changamoto zinazoua wasanii ktk fani zao ni za kimfumo. Baby Madaha anashangaa kuwa msanii wa umri wa miaka 36 hapa Tanzania anahesabika ni kama gari la namba plate TZA wakati huko Marekani ya Kaskazini, Latin Amerika Ulaya, Mashariki...
  13. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Nani pisi kali kati ya Uwoya na Aggy baby?

  14. Frumence M Kyauke

    JamiiForums Tanzania Baby mama wa Rayvanny Fahyvanny amechapisha ujumbe unaoashiria kuwa anaumwa

    Baby mama wa Rayvanny Fahyvanny ameacha maswali miongoni mwa shabiki zake kwenye mitandao tofauti ya kijamii. Hii ni baada ya kusema kuwa anateseka kwenye chapisho lake la hivi punde ambalo limesambaa mitandaoni. Kulingana na chapisho hilo ambalo Fayhma alisambaza kupitia akaunti yake ya...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baby hakuna cha kututenganisha, Mimi ni wako, trust me

    BABY HAKUNA CHA KUTUTENGANISHA, MIMI NI WAKO, TRUST ME. Niliyavaa mapenzi nikiwa sekondari, sikuwa hodari wa kutongoza mabinti, nililelewa na kukulia kwenye familia iliyojitoa wakfu kumtumikia Mungu huku maisha yangu yote ya uvulana nikiyatumia kushuhudia habari za wokovu, kuhubiri neno la...
  16. fredo fred

    JamiiForums Tanzania Gari kuitwa Baby walker

    BABY WALKER Imezoeleka humu jukwaani magari mengi madogo kuitwa baby walker sana sana gari za Toyota kama IST,Vitz na Passo. Lakini leo nitatoa maoni yangu kuhusu hizi baby walker. Ukifuatilia vizuri utagundua kwamba asilimia kubwa ya gari ambazo zinaitwa baby walker ziko classified kama...
  17. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Kumbe huyu ndio Mamy Baby wa Clouds FM

    Huyu mtangazaji ana sauti nzuri sana, nadhani wale wasikilizaji wa xxl ya clouds fm watakuwa wanajua. Sasa nikasema ngoja nimtafute insta nimuone alivyo, nikasema mbona haendani na sauti nzuri hivi hana makuu yupo simpo tuu.
  18. Kasie

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania I Missed You Baby Molingo....😌❣️

    Molingo..... My partner in jokes, fun and all crazy stuff. September is on and I missed you so badly...... I feel cold while the summer is on....😌. I miss your tender touch beneath my waist, and touching your arms rounding your shoulders while hugging 🤗 you..... Do you hear me crying 😢...
  19. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Kylie Jenner confirms she is expecting second baby with rapper Travis Scott

    Kylie Jenner has confirmed she is expecting her second child with rapper Travis Scott following weeks of speculation. The reality TV star and make-up mogul announced the news with a 90-second Instagram video featuring the moment she discovered she was pregnant. Jenner and Scott, a...
  20. Dam55

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

    Huyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi. Sasa huyu dem kila nikirudi hua namkuta kibarazani kwao (sijui kakariri muda wangu wa kurudi home)...
Back
Top Bottom