Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.
Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?
Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya...
- Longido moja hiyo....
- Halafu huyu mama nilijua atakufa... Badala yake mtoto ndio kachomwa knife...
- Kikao cha mirathi kijijini Engikaret Longido...
- Kuna wadau wanaponda eti haikutakiwa Tattoo zionekane...
- Bodaboda wa Longido, wamepauka vumbi hadi kwenye kope...
- Walevi...
- Cheki anazinguliwa na boss mjapan Gotojo Naguteka
- Cheki anakula msoto na ngalawa Bagamoyo
- Cheki anahenya na rumbesa mitaa ya Buguruni malapa
- Mvua ikinyesha Tandu wanatambaa hadi ukutani
- Sio tandu tu,hadi vyura..
- Kaamua kuwa mwizi, liwalo na liwe
- seti kali kuliko zote...
Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400
Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
Zilikua hazijalainika ile kuiva...
Tuanze na hii picha namba moja.
Mstari mmoja mweupe solid katikati ya barabara maana yake hauruhusiwi ku-overtake. Si ndio hivo wakuu ama?
Je, mistari ikiwa double. Kama picha namba mbili hapa chini?
Tofauti na namba moja iko vipi?
Tuendelee...
Kuna sehemu mstari mmoja solid, mwingine...
Saikolojia ya mwanaume iko hivi...
Mwanaume rijali always huwa anatamani kulala (kufanya mapenzi) na mwanamke ambaye hajawahi kulala nae kabla.
Si unasikiaga wanasema eti, wanaume ni watu wa tamaa, wao kila mwanamke anamtamani tu. Hiyo ndio sababu sasa.
Yani iko hivi, mwanaume akishamgonga...
Leo nimepigwa mkono na Traffic (walikua wengi) pale Magufuli Hostel wakidai nimepita taa nyekundu za Kona ya Mawasiliano.
Mkubwa wao nikasikia anasema "mwambieni atoe leseni haraka asitupotezee muda aandikiwe faini!"
Nikawabishia hasa kuwa "I'm damn sure" nimesimama kwenye taa. Always huwa...
Nauza paka/nyau.
Ni domestic cats, species aina ya Felis Catus.
Location:
Makongo Juu (opposite na nyumba ya Professor Rwekaza Mkandala)
Mawasiliano:
0718 727210 (Whatsapp/SMS)
Bei:
540,000/= kwa paka mmoja.
Ukichukua wawili unalipa 1,060,000/=
Picha:
Anajificha nisimpige picha
Anapiga...
Muhusika: Mdogo wangu kamaliza form four
Issue: Kwa matokeo yake alopata, what next? Kaniuliza kama kaka yake.
Matokeo yake yakoje: Haya hapa:
Civics C ... History D... Geography D ... Kiswahili B ... English C ... Lit. Eng C ... Chemia D ... Biology D ... Mathematics F.
Nimesikia ili uendelee...
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi Kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni...
Nimepoteza antenna (dongle) ya wireless mouse yangu.
Bila hii dongle, siwezi kutumia mouse wala external keyboard yangu...
Kazi hazifanyiki kabisa, maana internal keyboard ya laptop baadhi ya button zinazingua.
Naweza nikapata replacement yake kweli? Ama 2.4 GHz frequency bands...
Kipindi kile nipo Form One nilikuaga nikipiga nyeto naweza unganisha bao mbili mfululizo. Yaani nikirusha wazungu, mashine hailali naweza endelea hadi narusha tena.
Lakin tangu nivuke miaka 18 nikaanza kugonga madem, sijawahi kabisa kuunganisha mabao. Nikipiga bao moja tu, mashine inalala...
Umetimia mwaka sasa tangu ninunue gari yangu hii ya kwanza. Babywoka safi inanitosha, 1290cc engine 1KR.
Tangu ninunue hii babywoka nilikua sijawahi kukaa na kufanya 'cost-analysis' upande wa mafuta nayotumia.
Zaidi nilikua nahisi kama gari 'inanifilisi' vile navokua natoa 20,000 au 30,000...
Manzi wangu aliniomba niende na nyama choma home wakati natoka kumsindikiza mshikaji wangu Airport.
Basi nikapitia pale Mwenge kwa huku nyuma karibu na jengo la zamani la HESLB kuna restaurant wanachoma nyama kizazi sana.
Nikafika pale, nikaenda kuweka order nikawaambia wanifungie.
Wakati...
Sijaona 'significant' difference kabla hawajaolewa na baada ya kuolewa. Naendelea kuwabinya kama kawa. Labda tofauti ndooogo iliopo ni vizinga. Sasa hivi hawanipigi mizinga ya kipumbavu. Si wanahudumiwa na waume zao bana? Sana sana huwa naingia gharama za nauli kuwavuta waje machinjioni.
Maana...
Alikuta picha kwenye Facebook messenger yangu. Picha yenyewe ni dogo mmoja ametoka kuoga, amefumua nywele. Maana nilimwambia ukifumua nataka nizione nywele zilivorefuka.
Aliniwakia sana. Tena ilikua usiku tumetoka Sunrise Beach Resort vizuri tu. Tumefika karibu na kwao nataka nimuage ndio...
Hivi mshikaji hela anazo invest kwenye videos zake zinarudigi kweli?
Mfano kwenye inama, Waah!! Unaona kabisa hapa hela ilotumika si ya kitoto...
Video ya IYO ndio balaa, kwanza kuna scenes karibu 30 mule, kuanzia wanafunzi darasani, magodoro, club, wadada wawili, masela wawili, mavazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.