diamond platnumz

  1. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz️ ni mwizi wa nyota za wasanii wenzake?

    Wadau habari zenu? Hili suala la diamond platnumz kuhusishwa na kupoka nyota za wasanii wenzake, hasa wale wanaofanya vizuri kwa kipindi fulani, limeshika kasi sasa. Hivi karibuni kumekuwa na mijadala mbalimbali mitandaoni kuhusu kupokwa kwa nyota ya msanii Jay melody aliyetamba ni nyimbo...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Matonya aendelea kusota rumande Kenya, amlilia Diamond Platnum amsaidie

    Wakati Msanii mkongwe wa Bongo Flava kutoka nchini Tanzania, Sefu Shabani, maarufu kama Matonya akiendelea kushikiliwa na mkono wa sheria huko nchini Kenya, ndugu wa karibu anayefahamika kama Omary ambaye yuko nchini Kenya ameelezea kukwama kwa mawasiliano na kuomba msaada wa haraka kutoka kwa...
  3. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji wa Radio 47: Diamond Platnumz ametumia pesa kutoka CCM kurebrand Wasafi FM

    Mtangazi wa Radio 47 ya Kenya Billy Miya katika kipindi cha Maskani47 amedeai kwamba Msanii wa bongo fleva kutoka hapa Tanzania Diamond Platnumz ametumia pesa kutoka CCM kurebrand Wasafi FM. March 30 Wasafi fm walizindua studio zao baada ya kufanyiw marekebisho makubwa, wengine wakihoji pesa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz: Sina itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, mimi siyo mwanaharakati

    Tafadhali, naomba msikate clip za mahojiano nusunusu kwa lengo la kupotosha maana na kuzua taharuki, ilhali nia ilikuwa ni njema kuomba Arena kwa faida ya tasnia nzima...kwanza kabisa 'sinaga' itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, hivyo mimi siyo mwanaharakati… Na ndiyo...
  5. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Diamond Platnumz: Wanaweka nguvu kwenye mpira. Wasanii wanatudharau, wanatuthamini kipindi cha kampeni tu

    Wakuu, Naona ndugu zetu washaanza kutoa milio huko 😂 Tuliwaambia waachane na siasa wasimame na wananchi wakakaza shingo. Sasa hivi wameshatumika wanatoa milio. Malipo ni hapa hapa duniani! ------- Msanii Diamond Platnumz, akizungumza leo, Machi 31, 2026, katika mahojiano maalum na kituo...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Diamond Platnumz: Naogopa kuongelea mambo ya Serikali, unaweza kusema Ukweli ukapata madhara

    Diamond Platnumz, nyota wa Bongo Fleva, amesema anaogopa kuzungumzia masuala yanayohusu Serikali wakati wa mahojiano katika kituo chake cha redio, Wasafi FM. Akijibu swali kuhusu jitihada za Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, chini ya Paul Makonda na Mwana FA...
  7. Inside10

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Huu ni ujumbe wa KISIASA alioutoa Diamond Platnumz Kwa Watanzania akiwaasa waache Lawama na wafanye kazi. Kwani Kila Awamu wanailalamikia serikali. ----------------------------
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya: Majizzo kalewa mabilioni ya CCM, Diamond na wenzake wamelewa sifa za kijinga

    Godfrey Tumaini, a.k.a. Dudu Baya amefunguka kwa kina akielezea jinsi Majizzo anavyonufaika na Kampeni za CCM huku akiongelea dharau za Diamond na wenzake kwa watanzania tokana na kujaa sifa za kijinga. Msikilize vema
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Majizzo: Ni kweli tunataka kumpoteza Diamond, mtu muhimu; aliyewainua Harmonize na Rayvanny?

    Msamaha ninaoomba ni kwa sababu nafahamu kuna mahali wadogo zangu hawa walipitiliza na sio kwa sababu walifanya kampeni (ile ni haki yao na uamuzi wao). Najua kuna maneno yalikukera, sio katika level ya siasa, bali katika level ya utu. NAOMBA MSAMAHA. Soma: Diamond Platnumz: Fanyeni kazi...
  10. Heparin

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Pepsi yadaiwa kumtemesha ubalozi Diamond Platnumz kutokana presha ya maandamano

    Inadaiwa Kampuni ya Pepsi imeamua kujitenga na Diamond Platnumz ili kujiweka salama baada ya kadhia iliyozikumba baadhi ya kampuni Oktoba 29, 2025. Hii imetokana pia na presha ya watu mtandaoni waliodai uwajibikaji, na kuitaka kampuni ya Pepsi kujitenga naye. Kwa sasa, kampuni hiyo imefuta...
  11. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Hatimaye pepsi wamvua ubalozi Diamond Platnumz

    Lilikuwa ni suala la muda tu. Hatimaye imetiki. Pepsi imemvua ubalozi diamond , hivyo diamond ameondoa utambulisho rasmi wa yeye kama balozi wa pepsi Tanzania. Sasa hapa inabidi nguvu nyingine itumike kuwashawishi serengeti nao wamtose ubalozi Pia jambo lingine Diamond amefuta picha ya...
  12. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Twendeni tukaripoti account ya Insta ya Diamond Platnumz ifungiwe maisha

    Haijaisha mpaka iishe. Tunaanza walipoishia wao. Kama kweli una uchungu wa watu waliopoteza maisha kwa ajili ya mama yule kuingia madarakani kibabe akisaidiwa na wasanii uchwara kumpa promo. Promo zao zimewaponza, tunaanza walipoishia wao, wasifikiri vita imeisha ,ngoma bado mbichi sana...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Diamond: Mungu azilaze pema roho za waliotangulia

    Kutoka kwenye Ukurasa wa Mwanamuziki Diamond Platnumz ameandika haya "MWENYEZI MUNGU NDIO MPANGA WA YOTE...NA HAPAJATOKEA JAMBO PASIPO YEYE KUTAKA, NA KILA JAMBO HUTOKEA KWA SABABU...INSHAALLAH NA KWENYE HILI MWENYEZI MUNGU ATUJAALIE SABABU YENYE BARAKA KUBWA KWA TAIFA LETU... ATUJAALIE AMANI...
  14. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Ila Mondi kwenye huu wimbo mpya wa NANI ubunifu ni wa viwango vya kimataifa, tuujadili kidogo

    Wakuu leo tuchambue kidogo ubunifu uliofanywa kwenye huu wimbo wa NANI uliochapishwa na Diamond dakika 30 zilizopita kwenye channel yake ya You Tube. Tukianzia story telling aliyoitumia hadi setting zake zimekaa kiubunifu sana hasa mazingira ya shule ilivyoanza anatambulishwa kama mwalimu...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC Sirro: Diamond alisema sahihi, msilalamike fanyeni kazi

    Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro, amewataka vijana kutumia muda wao kufanya kazi kwa bidii badala ya kutumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii kulalamika. Sirro amesema vijana wanapaswa kujiuliza kila siku, kuanzia asubuhi hadi jioni, ni kazi gani wamefanya kwa ajili ya familia...
  16. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania TCRA na Jeshi la Polisi Waogopa Kumchukulia Hatua Diamond Platnumz kwa Kutukana Hadharani

    Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA na Jeshi la Polisi kwapamoja wameogopa kabisa kumchukulia hatua ndugu Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz baada ya video yake ya matusi ya nguoni kusambaa. Katika video hiyo, Staa huyo wa muziki amewatukana akina mama wote wa Tanzania ambao vijana wao...
  17. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Tazama Diamond Platnumz akiandika wimbo wa Pawa alioimba Mbosso

    https://www.instagram.com/reel/DNKynyksZuT/?igsh=MXZ2Ym0zcGh1MDNjdQ== Kuna wakati nilieleza kuhusu Diamond Platnumz kuandika hitsong ya Pawa ambayo imeimbwa na Mbosso nilioga matusi hapa. Sasa kuna receipt hapa imepostiwa kwenye ukurasa wa Instagram wa media namba moja Tanzania. Wasanii wasio...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Picha: Diamond Platnumz akiwa ametupia mwilini zaidi ya Tsh. Milioni 659!

    Msanii Diamond Platnumz ametupia mavazi na vito vya thamani kubwa vilivyogharimu jumla ya dola 265,259.95, sawa na Tsh. Milioni 659,171,100 akiwa ameunganishia mitindo ya kifahari kutoka Prada, Moncler, Louis Vuitton, Chrome Hearts, Balenciaga, na John Varvatos pamoja na mkufu wake wa Wasafi...
  19. PAYE

    JamiiForums Tanzania Zuchu atoa onyo Simu za usiku kwa mumewe

    Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Zuchu, ametoa onyo kali kuhusu kile kinachodaiwa kuwa ni simu za usiku wa manane zinazopigwa kwa mumewe Diamond Platnumz. Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Zuchu ameandika, "I just don’t understand why someone would call a married man usiku wa manane...
  20. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Responded Diamond Platnumz amjibu memba wa JamiiForums, amwambia "Mkataba wangu na Warner ni Sh Bilioni 13"

    Wakuu, Kuna uzi nilianzisha humu kuhusu wasanii wa Tanzania kutosainiwa na lebo za kimataifa Hoja ya Mdau iko hapa ~ Ayra Starr amesainiwa Roc Nation. Tanzania tunafeli wapi wasanii wetu kusainiwa na lebo za kimataifa? Naona msanii wenu kajibu kwa haraka sana akisema kuwa hiyo hoja yeye...
Back
Top Bottom