Sticker ya "Nenda kwa usalama barabarani" naipata wapi?

Mlolongo

JF-Expert Member
Jul 4, 2019
3,269
5,888
Leo nimepigwa mkono na Traffic (walikua wengi) pale Magufuli Hostel wakidai nimepita taa nyekundu za Kona ya Mawasiliano.
Mkubwa wao nikasikia anasema "mwambieni atoe leseni haraka asitupotezee muda aandikiwe faini!"

Nikawabishia hasa kuwa "I'm damn sure" nimesimama kwenye taa. Always huwa nasimama kwenye taa nyekundu popote pale hata kama hakuna movement za watu. Kama wana ushahidi kuwa nimepita waoneshe.

Walivoona nimekomaa kweli kweli, wakaenda mbele ya gari wakachungulia zile Stickers kwenye kioo wakaniuliza "Sticker ya Nenda kwa usalama barabarani iko wapi"

Nikajibu kwa kifupi tu "Sina"

Nilikua nishaanza kupata hasira.

Yule mkubwa wao (msenge) akatoa order tena:
"Muandikieni huyo kosa la kutobandika sticker"

Hasira nilizokua nazo sikutaka kuongea na ng'ombe yeyote. Nikatulia. Wakaandika ticketi yao nikasepa.

Sasa wakuu sitaki situation kama hii initokee tena. Hizi sticker za "Nenda kwa Usalama" naipata wapi.

Zinapatikana wapi. Zinauzwa?

Kuna hela/hongo natakiwa kutoa ili niipate?
 
Jmosi niliwakuta wengi kweli pale, sikumbuki hata jilipita pitaje na bima ya gari ilikuwa imeisha... duh sijui wemegundua nn ile sehemu
 
Nenda pale Stand ya mkoa, uliza kwa wale Askari polisi, Watakuelekeza zinakopatikana.
Ila acha hasira barabarani, Wanaudhi ni wengi, bodaboda Bajaji na Daladala.

Leo niko kibaha, nilisimama pale maliasili, wanaposima trafiki kwa lengo la kulichunguza gari, askari mmoja akaja, akaniomba leseni na stika ya nenda kwa usalama.
Stika ilibanduka ila niliihigadhi, nilipomuonyesha wala hakutaka tena kuiona leseni. Ubungo mwanzo mwa daraja ukitokea mbezi, nimesimamishwa, nikaulizwa tena nimewaonyesha nimepita zangu, Hivyo nakushauri upunguze hasira barabarani, itakusaidia hao ndiyo kazi yao, na kiburi siyo Maungwana.
 
Nenda pale Stand ya mkoa, uliza kwa wale Askari polisi, Watakuelekeza zinakopatikana.
Ila acha hasira barabarani, Wanaudhi ni wengi, bodaboda Bajaji na Daladala.

Leo niko kibaha, nilisimama pale maliasili, wanaposima trafiki kwa lengo la kulichunguza gari, askari mmoja akaja, akaniomba leseni na stika ya nenda kwa usalama.
Stika ilibanduka ila niliihigadhi, nilipomuonyesha wala hakutaka tena kuiona leseni. Ubungo mwanzo mwa daraja ukitokea mbezi, nimesimamishwa, nikaulizwa tena nimewaonyesha nimepita zangu, Hivyo nakushauri upunguze hasira barabarani, itakusaidia hao ndiyo kazi yao, na kiburi siyo Maungwana.
Qumamae zao!
 
MREJESHO:

Asanteni wakuu. Nimekutana na afande mmoja pale Shekilango mataa nimetoa buku tu!
IMG_20220704_150941_884.jpg
 
Back
Top Bottom