barabarani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wanausalama wa Barabarani Dar waache kutengeneza mazingira magumu kwa madereva Bajaj

    Kero yangu ni upande wa Traffic Polisi kwa Mkoa wa Dar es Salaam, hivi kwanini wanakazia sana kupewa rushwa tena wanaomba kiasi kikubwa cha fedha, kikikosekana wanakuandikia fine kubwa ya makosa kuanzia matano. Changamoto hiyo inawakuta hawa wenye magari na madereva wa Bajaj, mfano sisi watu wa...
  2. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Ugomvi wa jana kati ya Trafiki na Daktari ni rushwa. Rushwa imekuwa haki ya askari wa usalama barabarani.

    Itoshe kusema taifa limeshaanguka tayari. Hakuna tena mamla na taifa limeingia kwenye hatari isiyoelezeka. Kwa ufupi tumekwisha.
  3. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Barabara zote ni za serikali, polisi wanaweza kukuzuia kuweka gari lako barabarani!

    watanzagiza tunaishi kwa mazoea sana, serikali ndiyo mwenye barabara zote tunazotumia i.e hakuna mtu binafsi anayemiliki barabara tanzagiza ukiondoa labda ya kuingia nyumbani kwako kama hata kwanza una hati miliki ya hiyo nyumba unayoishi ambayo unasema ni yako lkn hiyo ni mada nyingine hata...
  4. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Traffic wapewe silaha za moto au mtu mwenye silaha za moto ili kudhibiti watu waovu barabarani.

    Tufanye kama ilivyo kwenye nchi za wenzetu hakuna traffic asiye na silaha ya moto kwanza ukizingua tu chombo kinataifishwa au tail zinapasuliwa. Nashauri IGP aweke huu utaratibu kwenye Kila traffic station kuwe na watu wenye silaha za moto, hatupendezewi kuona traffic wakivamiwa na wauvu...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Polisi: Conrad Agonza Kayoza anashikiliwa kwa kumshambulia kwa ngumi na mateke Askari wa Usalama barabarani

    Jeshi la Polisi Dar es Salaam linamshikilia Conrad Agonza Kayoza, miaka 35, kwa tuhuma za kumshambulia kwa ngumi na mateke Askari Polisi wa Usalama Barabarani, F. 8886 SGT Andrew, wakati akitekeleza majukumu yake katika eneo la Lugalo, Kinondoni, Dar es Salaam. Tukio hilo limetokea Septemba 8...
  6. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Ninaunga mkono kwa 100% operation ya kuwatoa wamachinga barabarani. Rais Samia umepiga mahali sahihi

    Mji wa Dar es salaam unanuka mavi , au niseme unanuka harufu mbaya, na hii ni matokeo ya wamachinga kuweka biashara juu ya mitaro yote hapa Dar es salaam. Unakuta sehemu juu kuna biashara ya vyakula au biashara zingine ukichungulia uvunguni kwenye mtaro kulivyo plus harufu inayotoka hapo mpaka...
  7. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Leseni za Udereva ziwe na ukomo wa umri, kuna wazee wanapata changamoto barabarani

    Nina wasiwasi kuhusu mfumo wa utoaji wa leseni za udereva, ambao unaonekana kutokuwa na ukomo wa umri wa mtu kuendelea kuendesha gari. Kuna baadhi ya wazee ambao umri wao umeenda sana, pamoja na watu wenye changamoto za kiafya au ulemavu, lakini bado wanapewa au kuendelea kutumia leseni za...
  8. Sister Abigail

    JamiiForums Tanzania Trend mpya ya vijana barabarani

    Unawakuta barabarani wanapungia mikono sijui wanafanyeje Kwa mabasi ya mikoani ama magari binafsi,then yule dereva nae anamulika mataa kama ana-blink. Ni Nini?
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kariakoo Mitaa ya Likoma & Masasi Street maji taka yanatiririka barabarani, ni hatari kwa Watu

    Hali ya maji taka yanayotiririka barabarani katika maeneo ya Likoma Street na Masasi Street, Kariakoo – Dar es Salaam. Kwa sasa ni siku kadhaa hali imekuwa hivyo, yanatiririka barabarani, hali hii imekuwa kero kubwa kwa watembea kwa miguu, hasa pale wanapopishana na Vyombo vya Moto na kurushiwa...
  10. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Mhe. Chalamila umelazimisha kugeuza ajenda ya msongamano wa magari barabarani, haujatusaidia waathirika wa malori yenu.

    Wakazi wa wilaya ya Temeke ni waathirika wakubwa wa msongamano unaosababishwa na malori ya bandari kavu zilizozagaa mitaani wilaya ya Temeke. Barabara za Temeke na Mbagala hazipitiki kutokana na malori ambayo unasita kuamuru yaende Kwala Kibaha, huu ni uhujumu uchumi. Serikali imejenga reli ya...
  11. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania China yaanza kutumia roboti kuongoza magari barabarani

    China imeanza majaribio ya kutumia roboti kwa ajili ya shughuli za barabarani ikiwa ni pamoja na kuongoza magari. Hata hivyo roboti hao hawana mamlaka ya kumkamata mtu pale anapokosea au kukiuka sheria. Maroboti hayo yamepelekwa hasa kwenye makutano yenye shughuli nyingi ya barabara katika jiji...
  12. Sajo

    JamiiForums Tanzania Je, kwa nini madereva wengi huingiwa na hofu wanapoona askari wa usalama barabarani?

    Jibu ambalo utalisikia mara nyingi si kwamba wanachukia sheria, bali wanahisi wanaweza kubambikiwa makosa au kutozwa faini hata pale wanapoamini hawajakosea. Badala ya askari kuonekana kama walinzi wa usalama, kwa baadhi ya madereva wamekuwa ishara ya usumbufu na hofu kila wanapoanza safari...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Natamani nikutane na mkuu wa usalama barabarani nimshauri yafuatayo

    Afanye oparesheni Zifuatazo 1. Atangaze siku 30 za kila basi llililoweka ngao waondoe mara moja, kwasababu inachangia sana kiburi cha ku-overtake na kuhatarisha usalama barabarani 2. Atangaze oparesheni ya kutokomeza tandabui baraarani ( Yaani bajaji zote zinazofanya kazi kama daladala kwa...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Baadhi ya taa za barabara kwenye barabara ya Sanawari - Ilboru, Tanki la Maji - Mollel hazifanyi kazi, zimekuwa kero

    Mimi ni mkazi wa Arusha. Naomba kuwasilisha kero kuhusu taa za barabarani ambazo hazifanyi kazi katika baadhi ya maeneo ya jiji. Taa zilizopo kuanzia Sanawari hadi Ilboru, pamoja na kipande cha barabara kuanzia Tanki la Maji hadi kwa Mollel, haziwaki kwa muda sasa. Hali hii imesababisha giza...
  15. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ajali zinaua mamia ya watu tuwe makini barabarani

    Kweli kabisa. Ajali za barabarani ni tatizo kubwa linalochukua maisha ya watu wengi kila mwaka, mara nyingi kwa sababu zinazoweza kuepukika. Baadhi ya tahadhari muhimu: Vaa mkanda wa usalama (seatbelt) kila wakati. Usiongee kwa simu ukiwa unaendesha. Fuata mwendo kasi unaoruhusiwa. Usiendeshe...
  16. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Wanausalama wa Barabarani Mkata hizi tuhuma za rushwa mnazisawazishaje? Mnaonea sana madereva wa Lori

    Kituo cha Police Mkata Kitengo cha Usalama Barabarani kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa maadili ya kazi yaani rushwa pale ni halali yao kabisa ndio sehemu wameona pakupatia hela ukio-overtake pale wanakuweka mahabusu wanakutoa wanakupeleka kwenye chumba chao kuna askari. Katika hicho kituo...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Nchimbi unawatakia nini vijana ? Ya tarehe 29 uliyakalia kimya unataka vijana waingie barabarani kwa ulinzi upi ?

    Na katika hali ya sasa katiba imeshindikana kabisa kupatikana kwa njia ya kidiplomasia Kwa muda mrefu zimekuwa ni sinema zetu za kujirudia Vijana wengi sana tumewapoteza waliouwa wakitaka katiba mpya na kilele kilikuwa ni October 29 Je muda huo Nchimbi alikuwa wapi akikemea ? ndie anataka...
  18. M

    JamiiForums Tanzania KERO Hivi Polisi na Trafiki wapo kweli? Tazama gari kama hili bado barabarani

    Polisi wanachoweza ni kukamata watu wanao panga maandamano tu. Ila usalama wa watu barabarani hawawahusu. Hampati taairifa za hatari kama hizi ila mnapata za CHADEMA tu, kazi yenu nini sasa iwapo gari kama hili linaloweza kuhatarisha maisha ya watu na mali zao linatembea barabarani. Mmesahau...
  19. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Malaika wanatulinda bila sisi kuwaona, binafsi nimeona malaika wakinilinda mara kadhaa na kuniepusha na mauti ya ajali barabarani

    Yani ile ajali ya barabarani ya pikipiki ilinirusha juu baada ya kufunga breki ya pikipiki ghafla ili kukwepa kugonga gari za mbele na ya pembeni baada ya gari ya mbele yangu kufunga breki gafla tukiwa kwenye mwendo.Gari iliyokuwa nyuma yangu ikanipushi pikipiki yangu kushoto ilipelekea kukosa...
  20. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Labda miaka 20 mbele ndipo Watanzania watajaribu kuandamana bila vibali

    Vijana waliokosa akili sasa kidogo akili zinawarudi. Hao wapinzani hutumia matukio kama ya October 29 ili kupata pesa na mpenyo wa kushika madaraka. Walitaka vijana wafe kwa wingi October 29 ili wapate mtaji mbele za wazungu. Wameandika barua nyingi na kupeleka watu nje kwa siri Marekani na...
Back
Top Bottom