TARURA: Nimebambikiwa parking fee ya masaa manne baada ya kupark kwa dakika tano!!

Mlolongo

JF-Expert Member
Jul 4, 2019
3,271
5,892
Manzi wangu aliniomba niende na nyama choma home wakati natoka kumsindikiza mshikaji wangu Airport.

Basi nikapitia pale Mwenge kwa huku nyuma karibu na jengo la zamani la HESLB kuna restaurant wanachoma nyama kizazi sana.

Nikafika pale, nikaenda kuweka order nikawaambia wanifungie.

Wakati nasubiri chenchi nikamuona mshikaji wa TARURA amevaa reflector anaizungukia gari yangu kwa nyuma. Akasimama kidogo, huyo akasepa.

Nikarudi pale nikaizunguka gari pande zote kucheki labda kaacha risiti ya malipo. Empty.

Nikakumbuka siku hizi kuna utaratibu wa Electronic payments ya Parking fees. Basi nikawasha gari nikasepa.

Sema nikafika mbele kidogo (kwa Kakobe) akili ikacharge sasa... Maana hata kule Airport nilipark zaidi ya masaa mawili napiga story na wana. Pia kuna hotel pale Sinza Lego tuliingia kuchukua mizigo ya mshikaji nilipark kama dakika 40 hivi.

Sema kote kule sikuona watu wa TARURA wanalisogelea gari. Lakin sikua 100% sure! Nikaamua kuingia link ya TARURA kucheki kama nadaiwa.

Nimekuta yule mshikaji wa pale Mwenge nilipotoka kuchukua nyama choma ameni-charge parking fee mara nne. Maana zile Control Number hazija achana sana, wakati pale nilisimama kwa dakika hata tano hazikufika.

Nadhan mshikaji wakat anabonyeza button ya malipo ali-click mara nne bahati mbaya (pengine mtandao ulikua unasumbua).

Sasa hivi nimejifunza. Kila nikipark mahali. Kabla ya kuondoka nachungulia kwanza kama kuna fala kanibambikiza extra fees. Uzuri hawaendagi mbali. Namtafuta mguu kwa mguu tusaidiane kulipa deni pasu kwa pasu.

Screenshot_20211006-165743.png
 
Huo mfumo wa Tarura ni wa kipumbavu sana maana mtu anaweza kukaa barabarani kila gari akiona namba anaiandikia tu parking fee.
Hata details za aliyeandika na aliyeandikiwa poja na mahali ilipo hiyo parking hawaweki na hata mtu hujulishwi kama umeandikiwa.

Yaani hii post yako imesababisha nikaangalia kumbe na mimi niliandikiwa cha ajabu inasema ome hour ila kiasi ni buku wala nilikuwa sijui kama nishawahi kuandikiwa parking fee.

Wanakimbilia kwenye technolojia za watu wakati hawawezi kutengeneza mfumo mzuri. Hawa tarura ni mandezi kweli
View attachment 1970093
 
Manzi wangu aliniomba niende na nyama choma home wakati natoka kumsindikiza mshikaji wangu Airport.

Basi nikapitia pale Mwenge kwa huku nyuma karibu na jengo la zamani la HESLB kuna restaurant wanachoma nyama kizazi sana.

Nikafika pale, nikaenda kuweka order nikawaambia wanifungie.

Wakati nasubiri chenchi nikamuona mshikaji wa TARURA amevaa reflector anaizungukia gari yangu kwa nyuma. Akasimama kidogo, huyo akasepa.

Nikarudi pale nikaizunguka gari pande zote kucheki labda kaacha risiti ya malipo. Empty.

Nikakumbuka siku hizi kuna utaratibu wa Electronic payments ya Parking fees. Basi nikawasha gari nikasepa.

Sema nikafika mbele kidogo (kwa Kakobe) akili ikacharge sasa... Maana hata kule Airport nilipark zaidi ya masaa mawili napiga story na wana. Pia kuna hotel pale Sinza Lego tuliingia kuchukua mizigo ya mshikaji nilipark kama dakika 40 hivi.

Sema kote kule sikuona watu wa TARURA wanalisogelea gari. Lakin sikua 100% sure! Nikaamua kuingia link ya TARURA kucheki kama nadaiwa.

Nimekuta yule mshikaji wa pale Mwenge nilipotoka kuchukua nyama choma ameni-charge parking fee mara nne. Maana zile Control Number hazija achana sana, wakati pale nilisimama kwa dakika hata tano hazikufika.

Nadhan mshikaji wakat anabonyeza button ya malipo ali-click mara nne bahati mbaya (pengine mtandao ulikua unasumbua).

Sasa hivi nimejifunza. Kila nikipark mahali. Kabla ya kuondoka nachungulia kwanza kama kuna fala kanibambikiza extra fees. Uzuri hawaendagi mbali. Namtafuta mguu kwa mguu tusaidiane kulipa deni pasu kwa pasu.

View attachment 1970089
Usipolipa kinatokea nn
 
Nasikia wameupiga chini huu mfumo. Bado una changamoto. Kwa hili, niipongeze serikali japo wangeweza kurekebisha haya mapungufu yote kabla ya kukurupuka kuuingiza kazini wakati bado haujakaa sawa.
 
Nasikia wameupiga chini huu mfumo. Bado una changamoto. Kwa hili, niipongeze serikali japo wangeweza kurekebisha haya mapungufu yote kabla ya kukurupuka kuuingiza kazini wakati bado haujakaa sawa.
Kama wamefanya hivyo itakuwa ni jambo jema. Naamini wamejifunza kitu iwasaidie kuboresha na kuja na mfumo unaoeleweka.
 
Huo mfumo wa Tarura ni wa kipumbavu sana maana mtu anaweza kukaa barabarani kila gari akiona namba anaiandikia tu parking fee.
Hata details za aliyeandika na aliyeandikiwa poja na mahali ilipo hiyo parking hawaweki na hata mtu hujulishwi kama umeandikiwa.

Yaani hii post yako imesababisha nikaangalia kumbe na mimi niliandikiwa cha ajabu inasema ome hour ila kiasi ni buku wala nilikuwa sijui kama nishawahi kuandikiwa parking fee.

Wanakimbilia kwenye technolojia za watu wakati hawawezi kutengeneza mfumo mzuri. Hawa tarura ni mandezi kweli
View attachment 1970093

Mkuu unaangalia vipi kujua kuwa unadaiwa aisee...?
 
Back
Top Bottom