diamond

  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Maimartha Afichua yaliyojiri kati ya Diamond Platnumz na Ashurey Rwanda, Zari alipiga simu

    Mtangazaji na mwanahabari wa burudani, Maimatha, ameibua gumzo mtandaoni baada ya kutoa madai na maelezo kuhusiana na uhusiano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, na mnenguaji wake, Ashurey Rwanda. Katika maelezo hayo yaliyowekwa kwenye chaneli ya 2GETHER online, Maimatha amedai kuwepo...
  2. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Diamond alioneshwa picha zangu aksema ananijua, ananitaka

    Mrembo Stella Mbunge ambaye ni video vixen wa video ya wimbo wa Salama wa Diamond na Barnaba ,amesema kwamba video ya salama ,Diamond Platnumz alimlipa zaidi ya milioni kumi licha ya kushindwana bei kwa mara ya kwanza. Stella Mbunge amesema kuwa kwa mara ya kwanza kiasi alichotajiwa atalipwa...
  3. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Ruby: Nilikuwa nalala kwenye kibaraza cha Diamond

    Nilivyorudi Dar es salaam ndugu zangu wote wa huku walinikataa hivyo nikakosa sehemu ya kulala, nilipata gest flani maeneo ya sinza kwa siku nilikuwa nalipa elfu 5, sasa kumbe ile gest ilikuwa inaangaliana na nyumba ya Diamond Platnumz. “Sasa nilivyokuwa nakosa hela ya kulipia gest nikawa...
  4. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Nafurahishwa na Utaratibu wa Kuita Majina Watoto Bila Kulazimika Kutumia jina la Ukoo la Baba kama Anavyofanya Rais Museven na Diamond

    Mfano ona hapa majina ya baadhi ya Watoto wa Rais Museveni ni , 1.Muhoozi Kainerugaba 2.Patrice Rwambogo 3.Natasha Museven Karugire Kwa sheria za Tanzania unaonekana hauna mtoto sijui mpaka ukaape mahakamani na usumbufu mkubwa sana. ======= Pastor Patience Rwabwogo, binti wa Rais wa Uganda...
  5. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Esma platinumz; Diamond ni ndoto ya kila mwanamke ukinitoa mimi dada yake

    Esma Platnumz ambaye ni dada wa Diamond Platnumz amewatolea uvivu watu wanaoisema vibaya familia yake . Esma Platnumz amedai kuwa wengi wanaoisema vibaya familia yake huwaga wanatamani kuwa na mahusiano na kaka yake na wengine wanawasaliti mpaka mabwana zao ili wawe na Diamond. Esma Platnumz...
  6. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz Amwaga Vibunda kwenye NayaBill Birthday Party

    Msanii maarufu wa Tanzania, Diamond Platnumz, ameonekana kuvutia hisia za mashabiki baada ya kuonyesha ukarimu mkubwa katika sherehe ya siku ya kuzaliwa ya NayaBill. Katika hafla hiyo, Diamond alionekana akimwaga fedha huku akisherehekea pamoja na wageni wengine, jambo lililozua gumzo na...
  7. Pakome

    JamiiForums Tanzania Trey Songz ni msanii wa bei ya jioni, Diamond Platnumz kaokota kopo la maji

    Diamond Platnumz kamkaribisha Trey Songz kutoka Marekani pengine lengo lake nikufanya collabo Ukweli ni kwamba huyu msanii alishashukaga thamani miaka mingi sana iliyopita na amesha ejected kwenye soko la Marekani Kushirikiana na msanii kama huyu hakuletagi matokeo makubwa kwasababu hana...
  8. figganigga

    JamiiForums Tanzania Zawadi kwa Diamond na Zuchu ni utakatishaji fedha. Serikali ipo kimya

    Tungekuwa na Taasisi imara za kupambana na Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha, basi Diamond na Mke wake wangekuwa washahojiwa. Japo waelezee waloleta hela wana uhusiano gani. Wasanii wa bongo wanashiriki kutakatisha fedha.. Kwenye Kitchen party, Harusi(zinazovunjika baada miezi kadhaa)...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Mtoto Wa Zushu Na Diamond Anakaribia Kufikisha Billion Moja Alizopewa Kama Zawadi Ndani ya Wiki Moja Wakati CHADEMA Wanaelekea Kukata Tamaa Kukimbia

    Ndugu zangu Watanzania, Dunia Ina vituko kwelikweli, watu wakikuchoka wanakuchoka kwelikweli. Watu wakikukataa wanakukataa kwelikweli. CHADEMA Imechokwaa ni haija pata kutokea kwa chama cha siasa kuchokwa namna hiyo. Yaani Ni aibu aibu aibu na Fedheha kubwa sana . CHADEMA Wameomba Michango na...
  10. Stability

    JamiiForums Tanzania Ghafla taifa limehamia kwa zuchu na diamond sasa, yani mtaendelea kuchezewa akili kama tom and jerry😅

    Aliepo mitaa ya tabata, shukia hapa mi casa lounge , karibu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Zuchu na Diamond wanatarajia kupata mtoto wa kike

    Leo ilikiwa baby shawer ya Zuchu baada ya jana kuachia picha akiwa mjamzito. Leo wameonesha kiwa tumboni kwa Zuchu kuna baby girl
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ni jeuri ya pesa ? Gachuma, tajiri wa Mwanza kampeleka Diamond Tarime kwajili ya Birthday wakati angehitajika harusi ya mtoto wa tajiri wa Katoro

    Tajiri wa Katoro sio mtu wa kupenda unyonge! Hapana kabisa! hana dogo, anapenda kujulikana kwamba ana mkwanja mrefu kama mguu wa twiga! Na usidhani ni maneno tu, tuliona video wiki iliyopita zilizotuteka headlines mitandaoni. Kwenye sendoff ya mtoto wake alianza kwa kum book Ali Kiba na wala...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Diamond: Mali zangu zinatambulika kwa jina la Mama Dangote

    Diamond amefunguka kuwa Mali zake amesaini kwa jina la Mama yake wakati akisherekea sikukuu ya kuzaliwa ya mama yake Mama Dangote na amesema yeye ndio amenifanya Watanzania wanitambue amenipigania sana kwenye safari yangu ya Mziki ikiwemo aliuza Pete yake ya ndoa ili tu niwe na uwezo wa kurecord...
  14. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Yuko Wapi Diamond Platnumz? Why hajakuwepo kwenye 30th anniversary ya bongo flava?!

    Diamond Platnumz ni mmoja wa watu waliobeba na kuikuza Bongo Flava mpaka ikavuka mipaka ya Tanzania. Kwa mchango wake, wengi wanamhesabu miongoni mwa wakongwe wa muziki huu. Ndiyo maana kutokuwepo kwake kwenye tamasha la Miaka 30 ya Bongo Flava lililofanyika jana kumeibua maswali mengi...
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanyonyi Shatters 27-Year-Old 1,000m World Record at Monaco Diamond League

    Kenya's Emmanuel Wanyonyi delivered a historic performance at the Monaco Diamond League, breaking the men's 1,000-metre world record that had stood for 27 years. Competing in the event for the first time, the Olympic 800m champion stormed to victory in a time of 2:11.83, eclipsing the previous...
  16. TUKANA UONE

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Millenials ninayemkubali Diamond Platnumz, But kwenye Live Alikiba ni Balaa!

    Ndugu zangu wana jamiii Forums,Natumai mko salama! Binafsi nimekulia kwenye kizazi za kina Dully Sykes lakini ukweli ni kwamba,Namkubali sana msanii wa kizazi kipya aitwaye Diamond Platnumz!,Nimekuwa mshabiki wa muziki wa kizazi kipya tangu enzi za wasanii wenye umri wangu!,Nilishawishika sana...
  17. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Zari The Boss Lady, mzazi mwenza na Diamond Platnum, abadili dini na kuwa Mkristo

    MTOTO WA ZARI aliezaa na marehemu Ivan, alie kua mzazi MWENZA na diamond PLATNUM, pinto ambaye ni kaka yake na tiffah dangote, amebadili DINI na KUINGIA KWENYE UKRISTO ili hali amelelewa kwenye UISLAMU, Huenda yule demu wake MZUNGU kahusika na hili muda utasema, hata hivyo zari kampongeza...
  18. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Hii Retro Tour inadhihirisha Diamond Plutnumz ni moja ya performers wakubwa sana Africa

    Huyu kijana asingejiingiza kwenye mambo ya uchaguzi kwa kauli zile mwaka jana basi angejaza sana kwenye hii retro tour yake. Perfomance nzuri sana, mziki unapigwa live yaani bila chenga wala auto tune. Vifaa sasa wamejitahidi sana, trombone, saxophone, na sauti iko swaafi sana, yaani murua au...
  19. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Prado Diamond "Rangi Ya Panya" Iko Rasmi Sokoni

    Bei/Price🏷️👉🏾TSH 58M Call📞+255 747 999 927 LAND CRUISER PRADO(EN) Year: 2006 Engine: 2TR-FE Mileage: 79,411KM Fuel Used⛽: PETROL Transmission: AUTO ✨Fog Lights ✨Alloy Wheels ✨2-SRS Airbags ✅Clean Interior ✅Well-Maintained ✅Swap Deals Available
  20. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Chukua nyimbo 10 za Diamond hazitoboi kwa kipande cha dakika 2 cha wimbo wa Juma dede (Times fm) kilichoombwa na Mzee Yusuph

    Ukitaka kuona ukubwa wa Mzee Yusuph kasikilize kipande cha wimbo wa times fm(Juma dede) kilichoimbwa na Mzee Yusuph. Huu wimbo ulikuwa mahsusi kwenye sherehe za times fm hivyo wasanii wa taarabu wale magwiji waliungana kwa pamoja kutoa wimbo wa Juma dede. Yani Mzee alithibitisha ukubwa wake...
Back
Top Bottom