ureno

The Tseno Ureno (Yiddish: צאנה וראינה‎), also spelt Tsene-rene, sometimes called the Women's Bible, was a Yiddish-language prose work of c.1590s whose structure parallels the weekly Torah portions of the Pentateuch and Haftarahs used in Jewish worship services. The book was written by Jacob ben Isaac Ashkenazi (1550–1625) of Janów Lubelski (near Lublin, Poland), and mixes Biblical passages with teachings from Judaism's Oral Torah such as the Talmud's Aggadah and Midrash, which are sometimes called "parables, allegories, short stories, anecdotes, legends, and admonitions" by secular writers.The name derives from a verse of the Song of Songs that begins Tzʾēnhā urʾenhā bənot Tziyyon (צְאֶנָה וּרְאֶינָה בְּנוֹת צִיּוֹן, "Go forth and see, O ye daughters of Zion", (Song 3:11). The nature of the source of the name indicates that the book was intended for women, who would have been less versed than men in Hebrew, the Jewish liturgical language. The title page of the Basel edition of 1622 acknowledged the book's sources as including the earlier popularizer Rashi (1040–1105) and the 13th century exegeses of Bahya ben Asher, as well as Talmudic sources.Sol Liptzin describes the Tseno Ureno as "a fascinating, didactic book which could win the approbation of the strict moral leaders of Eastern European Jewry, and at the same time accompany women as their favorite literary and devotional text from girlhood to old age. For generations there was hardly a Yiddish home that did not possess a copy." The Tseno Ureno was common in traditional Jewish homes in Eastern Europe and followed its readers across the ocean. Israel Meir Kagan wrote of earlier generations reading the book "Tzenah urenah" each Sabbath. The work had a significant impact on the dissemination of knowledge of the Bible and its commentaries among those who had not mastered the Hebrew language — mainly women.
Because of its orientation toward women readers, the book is particularly focused on the biblical matriarchs, the various courtships mentioned in scripture, and the rescue of Moses by Pharaoh's daughter. Although there are vivid depictions of Paradise and Hell, there is an emphasis that righteousness is to be found in serving God willingly and wholeheartedly, rather than out of hope of reward or fear of punishment. Charity and almsgiving are also emphasized.

View More On Wikipedia.org
  1. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Hiki ndicho kilikuwa kikosi cha Ureno cha vidume, acha hawa wapiga picha za insta. Hawa ndio waliji submit kwa Ronaldo na kucheza kama timu

  2. GenuineMan

    JamiiForums Tanzania Kutolewa Ureno WC26, Mambo haya Matatu Yamewaponza

    Wengi waliwapa Ureno kufanya vizuri kutokana na kuwa na wachezaji ambao walikuwa na misimu mizuri kwenye ligi zao. Nuno mendes, Vitihna, Gomes, Bruno, Ruben Dias. Lakini matokeo yake uamekuja tofauti na matarajio ya wengi sababu kwangu ni hizi. 1. Kocha mbovu. huyu kocha unaweza kujiuliza...
  3. de Gunner

    JamiiForums Tanzania CR7 Alipuuzwa? Tatizo la Wachezaji Ureno

    Hakika mpk sasa sielewi nini kili Fanya mpaka wakashindwa mechi ya jana? Dominance ya mechi ilikua vizuri sana, pale katikati walikuwa vizuri kukata presha na kupasiana, ila kwenye counter ndo walikuwa wana delay kabisa, why jamaa hawakuwa wanampasia CR7? High intensity game kama hii ilikua ni...
  4. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Member Kuni aliyekataa ku cash out mechi ya Ureno najua sasa hivi roho juu

    Huyu member KUNI alileta uzi juzi tumshauri a cash out 2M ama asubiri tu mechi ya Ureno na Uzbekistan mkeka utiki apate 18M. Wengi walimshauri a cash out lakini mwenyewe akakomaa atasubiri. Alibet Ureno atafunga magoli ma3 kabla half time na sasa hivi ureno wanaongoza 2-0 dakika ya 25 najuwa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Ureno kombe la dunia tufahamiane hapa!

    Huu ndiyo wakati muafaka wa Ureno kubeba kombe la dunia. Ina vipaji lukuki na bado wanaye veteran CR7 wa kuwahamasisha ndani ya uwanja! Bila shaka haya yatakuwa mashindano ya mwisho CR7 kushiriki kombe la dunia kama mchezaji! Mashindano yajayo atakuwa na miaka 45!! Nadhani baada ya Euro 2028...
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Hija ya WAWATA nchini Italia, Ufaransa na Ureno! Chemchemi ya Baraka na Neema Kwa Tanzania!, Wanawake Hawa 49 ni Baraka Kubwa Sana kwa Taifa Letu!

    Wanabodi Hii ni C & P from RatibaPodcast Lengo la hija ye yote ni kuleta furaha ya ndani ya mhujaji. Ni Kitendo cha kujialika upya wa maisha. (Vatican Media) VATICAN Hija ya Wawata Nchini Italia, Ufaransa na Ureno! Chemchemi ya Baraka na Neema Lengo la hija ye yote ni kuleta furaha ya ndani...
  7. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Ureno kutafakari ikiwa itaitambua Palestina kama taifa huru

    Ofisi ya Waziri Mkuu wa Ureno Luis Montenegro imetangaza Alhamisi kuwa itatathmini iwapo itaitambua Palestina kama taifa huru wakati wa hadhara kuu ya Umoja wa Mataifa mwezi Septemba mwaka huu. Ufaransa, Uingereza na Canada ni mataifa ya hivi karibuni zaidi yaliyotangaza azma hiyo, hatua...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ureno kuzindua Sarafu ya Euro 7 Kumuenzi Cristiano Ronaldo

    Serikali ya Ureno imepanga kuzinduzi sarafu mpya, CR7 Euro kumuenzi mfungaji bora wa timu yao ya taifa, Cristiano Ronaldo. Sarafu hii itakuwa ni ishara ya kuthamini mchango mkubwa wa Ronaldo kwa taifa la Ureno. Cristiano Ronaldo ndiye mfungaji wa muda wote wa timu ya taifa ya Ureno, akiwa...
  9. chama konokono

    JamiiForums Tanzania Ureno yatoa sarafu yenye picha ya sura ya Cristiano Ronaldo

    Serikali ya Ureno imeripotiwa kuwa imetoa sarafu yenye picha ya sura ya Staa wa Taifa hilo Cristiano Ronaldo (39) kama ishara ya kutambua mchango wake katika Taifa hilo. Sarafu yenye sura ya Ronaldo inajulikana kwa jina la “CR 7” na thamani yake ni euro 7, serikali ya Ureno imefanya hivyo...
  10. kwisha

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania ina uhusiano wowote na Ureno?

    TANZANIA inafahamika saana Portugal kuliko nchi nyingi za Afrika. Nimecheki video fulani YouTube ya ask Portuguese about Afrika. Watu walikuwa wanataja nchi wanazo sifahamu kutoka Afrika watu wengi wametaja Tanzania kuliko nchi yeyote kutoka Afrika. Na ndiyo mara ya kwanza kuona TZ imetajwa...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Morocco kwenda Ulaya (Uhispania na Ureno) ni karibu kuliko Zanzibari na Dar (umbali wa fukwe ni 14km)

    Hili taifa la Morocco wana kila sababu kujiita ni watu wa Ulaya! Umbali kutoka fukwe za Morocco na Uhispania iliyoko bara la ulaya ni 14km tu! Umbali huu unaruhusu muingiliano rahisi sana kama ilivyo Pemba na Unguja! Koo nyingi za uhispania wameoleana na Wamorocco kama ilivyo kwetu bara na...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Lazima Ufaransa wang'oke mbele ya MOROCCO kama Hispania na Ureno wameng'oka, hakuna kitakachomuokoa Ufaransa

    Tuseme ukweli, Ufaransa haina cha zaidi kuliko hispania wala ureno! Siyo muujiza kwa Morocco kuifunga ufaransa kama iliweza kuifunga hispania. Kwanza Ufaransa ndio wako kwenye presha ya mchezo kuliko m Morocco! Afrika tujiandae kupokea kombe, maana lazima litembezwe kila nchi ya Afrika.
  13. February Makamba

    JamiiForums Tanzania Nani ni mchezaji bora kwenye timu ya ureno?

    Wakuu kabla ya kuangalia nani ni best player duniani, twende nchi kwa nchi basis. Tuanze na Ureno. Kwangu mimi pale Ureno, Best player kwenye hiyo nchi ni Bruno Fernandez, wewe unadhani ni nani?
  14. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Cristiano Ronaldo anataka kubeba mizigo yake aondoke kambi ya Ureno

    Inadaiwa kuwa Cristiano Ronaldo anataka kuchukua hatua hiyo kutokana na kutokuwa na maelewano mazuri na kocha wake wa timu ya taifa ya Ureno, Fernando Santos. Mshambuliaji huyo alianzia benchi katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora dhidi ya Uswisi, inaelezwa kuwa amechukizwa na maamuzi hayo na mpaka...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Kwa Ureno hii, hakika Morocco mwendo ameshaumaliza

    Watu wanasema eti Morocco atavunja rekodi na kuingia nusu fainali, lakini baada ya kuiona Ureno jana, waanze kufungasha mabegi tu mapema, na yule mshambuliaji wao butu. Portugal asipofika fainali, nimekaa palee!
  16. NetMaster

    JamiiForums Tanzania Kinachowauma mashabiki wa Ronaldo hadi sasa ni kwamba CR7 ana mchango mdogo sana kwenye timu ya Ureno

    Kinachowauma mashabiki wa Ronaldo hadi sasa ni Kwamba CR7 ana mchango mdogo sana kwenye timu ya Ureno. Ureno inasonga mbele zaidi na inaonekana ni wazi bila hata Ronaldo timu inaweza kufanya vizuri tu,
  17. M

    JamiiForums Tanzania Ronaldo wa kombe la dunia kama mchezaji wa ureno anaonekana ni tofauti kabisa na yule Ronaldo wa EPL kama mchezaji wa Man U: Hii imekaaje?

    Pamoja na ukweli kuwa R7 kwa sasa hana kasi yake ile ya zamani lakini Ronaldo wa kwenye kombe la dunia ameonekana kuwa tofauti sana na yule Ronaldo wa EPL kama mchezaji wa Man U. Jana R7 kaibuka man of the match (mchezaji bora kwenye mechi)!!. Mchango wake kwenye mechi ulikuwa mkubwa sana...
  18. NetMaster

    JamiiForums Tanzania Mchezo wa Ureno na Ghana kuongezewa dakika kumi kuna nini kinatafutwa?

  19. H

    JamiiForums Tanzania Yanga watafute video za Fc Port ya Ureno ilipokuwa ikinolewa na Kocha Jose Mourinho

    Nimeona niwape kidogo mbinu Yanga ili kuisaidia timu kuvuka hiyo hatua muhimu. Kwanza nawasalimu. Mimi ni mpenzi wa mpira wa Ulaya hasa Ligi ya Uingereza katika kipindi cha miaka ya 2000 hadi 2013. Katika hiki kipindi soka la Ulaya lilikuwa sio la kisport sport. Ilikuwa ni balaa sio kama sasa...
  20. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Joto kali lasababisha vifo zaidi ya 1000 nchini Ureno

    Hali ya Joto kali imeendelea barani Ulaya ambapo inakadiriwa watu 1,063 wamefariki kutokana na hali hiyo kati ya Julai 7-18, 2022. Takwimu hizo ni kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Ureno ambapo Nchi kiwango cha juu cha Joto kilifikia Nyuzi Joto 47C kikiwa ni cha juu zaidi Nchini humo kuwahi...
Back
Top Bottom