Joto kali lasababisha vifo zaidi ya 1000 nchini Ureno

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,812
4,536
Hali ya Joto kali imeendelea barani Ulaya ambapo inakadiriwa watu 1,063 wamefariki kutokana na hali hiyo kati ya Julai 7-18, 2022.

Takwimu hizo ni kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Ureno ambapo Nchi kiwango cha juu cha Joto kilifikia Nyuzi Joto 47C kikiwa ni cha juu zaidi Nchini humo kuwahi kutokea.

Joto kali pia lilichochea moto wa nyika ambao uliteketeza hekta 45,467 za ardhi. Maofisa wawili wa kuzima moto, raia mmoja walifariki katika moto huo.

Aidha, inadaiwa kuwa Nchini Hispania kuna vifo 678 vilivyosababishwa na Joto kali.
---

Portugal has reported more than 1,000 deaths due to the current heat wave, with the health chief warning on Tuesday that the country must gear up to cope with the effects of climate change as temperatures continue to rise.

"Portugal ... is among one of the areas of the globe that could be (more) affected by extreme heat," Graça Freitas, head of health authority DGS, told Reuters. "We have to be more and more prepared for periods of high temperatures."

Temperatures across drought-stricken Portugal surpassed 104 degrees Fahrenheit last week. Although they have dropped in the last few days, Freitas said they remained above normal levels for this time of the year.

Source: Fox News

placeholder
 
Hali ya Joto kali imeendelea barani Ulaya ambapo inakadiriwa watu 1,063 wamefariki kutokana na hali hiyo kati ya Julai 7-18, 2022.

Takwimu hizo ni kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Ureno ambapo Nchi kiwango cha juu cha Joto kilifikia Nyuzi Joto 47C kikiwa ni cha juu zaidi Nchini humo kuwahi kutokea.

Joto kali pia lilichochea moto wa nyika ambao uliteketeza hekta 45,467 za ardhi. Maofisa wawili wa kuzima moto, raia mmoja walifariki katika moto huo.

Aidha, inadaiwa kuwa Nchini Hispania kuna vifo 678 vilivyosababishwa na Joto kali.

===============


Extreme heatwave in Portugal caused 1,063 deaths

Heatwave in Portugal is estimated to have claimed the lives of 1,063 people between July 7 and 18, according to the Portuguese Health Ministry.

Although the data is provisional, the excess mortality spiked amid one of Portugal’s worst heat waves on record, which brought the country’s highest ever temperature for July: 47 degrees Celsius (116.6 Fahrenheit).

The intense heatwave also provoked wildfires that charred 45,467 hectares of land, according to provisional data released by the environmental institute ICNF on Wednesday.

That means that in just 13 days, 60% more hectares were charred in the country than in all of 2021 combined.

Two firefighters and one civilian also died in the blazes, and more than 135 people were injured.

Environment Minister Duarte Cordeiro told parliament that the country is also suffering from “extreme drought” and asked citizens to cut back on water use.

He said preparing the nation for the consequences of climate change “will take a generation.”

In the same heat wave, neighboring Spain attributed 678 deaths to scorching temperatures.


Source: aa.com
 
Duh.. Wazee hii ni propaganda au ni kweli?

Watu elfu 1 kufa sababu ha joto ni hatari sana.

Ila pia hawa watu weupe ngozi hao ipo kama ya albino yani haitaji joto sana.

Na uhakika hilo joto la 44 c kwa mtu mweusi ni kawaida tu
 
si mlikataa kununua gesi kwa Putin wakati ingekua i awasaidia kuasha ma AC ?

mtanyooka tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom