Ureno yaanza kuzinduka na historia yake ya Uislamu

Alwaz

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,115
10,822
Ureno kwa nchi za Afrika Mashariki iko pembe ya mbali sana na mbele ya kaskazini magharibi ya Afrika.Hata hivyo eneo hili la Afrika limejaa historia inayofungamana na Ureno kuanzia Kenya mpaka Msumbiji.

Hii nchi inayojulikana rasmi kama Porugal kwa sasa inajinasibu sana na Ukristo wa madhehebu ya kikatoliki.Pamoja na kwamba kwa sasa ni moja ya nchi maskini za Ulaya na yenye watu wachache lakini watu wake hapo mwanzoni mwa karne ya 19 waliweza kusafiri mbali kwa nia tofauti na hatimaye kumudu kuwa na makoloni Afrika kama wenzao wengine wa Ulaya.

Mmoja ya raia wa Ureno anayetajwa kama mvumbuzi ni Vascoda Gama.Lakini ukweli ni kuwa yeye alikuwa na kinyongo sana na waislamu ambao walikuwa wameitawala Ureno na Uhispania kwa karne kadhaa kuanzia mwaka 711 AD wakiwa katika himaya moja ya kiislamu iliyojulikana kama Andalusia.

Katika mwaka huo jeshi la waislamu chini ya Tariq bin Ziad waliweza kupenya ngome za utawala wa Visigoths na kuanzisha utawala ambao ulikuwa neema kubwa kwa ulimwengu mzima na Andalusia ikawa sehemu ambayo maendeleo ya kila aina ya kisayansi kutawanywa kuingia nchi za Ulaya ya leo.

Utawala huo wa waislamu pamoja na kutokuwa na uadui na yoyote lakini kulikuwa na mbinu za kichichini kwa hamasa za kidini.Hii ilipelekea kutokea kwa vita vingi na mauwaji ya waislamu na hata mayahudi .Kila wareno waliposhinda walifanya ukatili mkubwa na kujaribu kujitanua kwenye maeneo ya waislamu mpaka pale mwaka 1578 waliposhindwa vibaya kule Maghrib (Morocco ya leo).

Hata hivyo mbinu hizo hazikusimama moja kwa moja na hatimaye kwa kukua kwa uadui na ushirikiano wa mataifa mbali mbali yaliyokuwa na chuki za kidini mbinu hiyo ilifanikiwa kuungusha utawala wa kiislamu uliojulikana kama Ottoman Empire kipindi cha vita kuu ya mwanzo ya dunia.

Inakisiwa wareno ni miongoni mwa watu wenye ukatili zaidi katika utawala wao na hasa kwa waislamu kati ya wakoloni waliowahi kuzitawala nchi za waislamu.Na hata Vasco da Gama hakuwa mvumbuzi bali alikuwa muwindaji wa maendeleo ya waislamu popote duniani baada ya waislamu kushindwa kule kwao na kuuliwa kwa wingi.Alikusudia kuwanyan'ganya waislamu uchumi na udhibiti wao wa biashara ya viungo kutoka India ambayo ilikuwa imeshamiri sana.

Pamoja na kuongozwa kiteknolojia na nahodha mahiri wa kiislamu Majid kutoka Oman kufika India lakini Vascoda Gama hakuwacha kinyongo chake.Katika moja ya safari yake iliyofuata Vascoda Gama aliweza kuichoma meli ya waislamu iliyokuwa imebeba mahujaji kuwarejesha makwao na kuwauwa wote.

Hii leo kule Ureno waislamu wamebaki asilimia 0.5 tu kati ya watu milioni 10 kutokana na kuuliwa na kulazimishwa kuingia Ukristo.Hali ni tofauti kidogo na eneo la Spain ambayo baadae ilikuwa kitovu cha utawala wa kiislamu enzi hizo,kwani nchini Uhispania waislamu ni wengi zaidi na nembo za kiislamu zimebaki hadi leo na kubaki kuwa fakhari ya dunia yanapotajwa maendeleo ya kisayansi na kielimu kwa ujumla.

Pamoja na yote yaliyotokea siku za nyuma utafiti sasa umegundua lugha ya kireno imejaa maneno yenye asili ya lugha ya kiarabu iliyotumiwa na waislamu wakati wakiwa watawala wa Andalusia kwa karne kadhaa.Vile vile watafiti wa mambo ya kale ambao ni wazaliwa wa Ureno wamegundua majengo mengi na vitu vya kihistoria ambavyo haviwezi kutenganishika na historia ya Uislamu katika nchi hiyo.Historia kama hiyo imekuwa wazi zaidi katika mji wa Mertola. Hata misikiti iliyosalimika kuvunjwa na iliyogeuzwa kuwa makanisa pia imebaki na athari zake za nembo za kiislamu.

The Portuguese rediscovering their country's Muslim past

1591982907744.png


1591983076939.png
 
Waislamu walipoingia Ureno waliua na kufanya maovu kwa Wakristo. Zamani Wakristo walikuwa hawapigani, baade Papa mmoja alianzisha just war kwamba ukipigwa nawe piga. Sasa bahati mbaya Waislamu kina Mehmet II walikuwa wanaua na kulazimisha kusilimu. Walipoiteka Ureno wakalazimisha wasilimu na kuwaua waliokataa, hata Spain walifika.

Walijichanganya kwa kutaka kuiteka Vatican, hapo ndipo taa nyekundu kwa Papal states ilipowaka. Majeshi yakatumwa kuwapiga na same measures zikatumika, kuwa mkristo au ufe. Ndo maana walibadili dini tena na kuwa Wakristo.
 
Waislamu walipoingia Ureno waliua na kufanya maovu kwa Wakristo. Zamani Wakristo walikuwa hawapigani, baade Papa mmoja alianzisha just war kwamba ukipigwa nawe piga. Sasa bahati mbaya Waislamu kina Mehmet II walikuwa wanaua na kulazimisha kusilimu. Walipoiteka Ureno wakalazimisha wasilimu na kuwaua waliokataa, hata Spain walifika.
Walijichanganya kwa kutaka kuiteka Vatican, hapo ndipo taa nyekundu kwa Papal states ilipowaka. Majeshi yakatumwa kuwapiga na same measures zikatumika, kuwa mkristo au ufe. Ndo maana walibadili dini tena na kuwa Wakristo.

Siyo kweli.Unamzungumzia Mehmet ambaye alikuwa mtawala katika dola ya Ottoman empire iliyokuwa na makao makuu Uturuki ya leo.

Pamoja na kuwa ushahidi mwengine wa Uislamu kuwepo Ulaya lakini tunapozungumzia Andalus tunarudi nyuma sana kuliko utawala wa Ottoman.

Katika kipindi hicho tunaweza kusema ilikuwa ni dola iliyoongozwa na waislamu zaidi kama raia wa eneo hilo lakini haikuwa utawala wa kikoloni wa kulazimisha watu mambo ikiwemo kubadili dini.

Watu walikuwa waislamu kikawaida kwa kuzaliwa au kuvutiwa na nidhamu za kiislamu bila kutumia nguvu yoyote.
 
I
Ureno kwa nchi za Afrika Mashariki iko pembe ya mbali sana na mbele ya kaskazini magharibi ya Afrika.Hata hivyo eneo hili la Afrika limejaa historia inayofungamana na Ureno kuanzia Kenya mpaka Msumbiji.Hii nchi inayojulikana rasmi kama Porugal kwa sasa inajinasibu sana na Ukristo wa madhehebu ya kikatoliki.Pamoja na kwamba kwa sasa ni moja ya nchi maskini za Ulaya na yenye watu wachache lakini watu wake hapo mwanzoni mwa karne ya 19 waliweza kusafiri mbali kwa nia tofauti na hatimaye kumudu kuwa na makoloni Afrika kama wenzao wengine wa Ulaya.
Mmoja ya raia wa Ureno anayetajwa kama mvumbuzi ni Vascoda Gama.Lakini ukweli ni kuwa yeye alikuwa na kinyongo sana na waislamu ambao walikuwa wameitawala Ureno na Uhispania kwa karne kadhaa kuanzia mwaka 711 AD wakiwa katika himaya moja ya kiislamu iliyojulikana kama Andalusia.Katika mwaka huo jeshi la waislamu chini ya Tariq bin Ziad waliweza kupenya ngome za utawala wa Visigoths na kuanzisha utawala ambao ulikuwa neema kubwa kwa ulimwengu mzima na Andalusia ikawa sehemu ambayo maendeleo ya kila aina ya kisayansi kutawanywa kuingia nchi za Ulaya ya leo.
Utawala huo wa waislamu pamoja na kutokuwa na uadui na yoyote lakini kulikuwa na mbinu za kichichini kwa hamasa za kidini.Hii ilipelekea kutokea kwa vita vingi na mauwaji ya waislamu na hata mayahudi .Kila wareno waliposhinda walifanya ukatili mkubwa na kujaribu kujitanua kwenye maeneo ya waislamu mpaka pale mwaka 1578 waliposhindwa vibaya kule Maghrib (Morocco ya leo).Hata hivyo mbinu hizo hazikusimama moja kwa moja na hatimaye kwa kukua kwa uadui na ushirikiano wa mataifa mbali mbali yaliyokuwa na chuki za kidini mbinu hiyo ilifanikiwa kuungusha utawala wa kiislamu uliojulikana kama Ottoman Empire kipindi cha vita kuu ya mwanzo ya dunia.
Inakisiwa wareno ni miongoni mwa watu wenye ukatili zaidi katika utawala wao na hasa kwa waislamu kati ya wakoloni waliowahi kuzitawala nchi za waislamu.Na hata Vasco da Gama hakuwa mvumbuzi bali alikuwa muwindaji wa maendeleo ya waislamu popote duniani baada ya waislamu kushindwa kule kwao na kuuliwa kwa wingi.Alikusudia kuwanyan'ganya waislamu uchumi na udhibiti wao wa biashara ya viungo kutoka India ambayo ilikuwa imeshamiri sana.
Pamoja na kuongozwa kiteknolojia na nahodha mahiri wa kiislamu Majid kutoka Oman kufika India lakini Vascoda Gama hakuwacha kinyongo chake.Katika moja ya safari yake iliyofuata Vascoda Gama aliweza kuichoma meli ya waislamu iliyokuwa imebeba mahujaji kuwarejesha makwao na kuwauwa wote.
Hii leo kule Ureno waislamu wamebaki asilimia 0.5 tu kati ya watu milioni 10 kutokana na kuuliwa na kulazimishwa kuingia Ukristo.Hali ni tofauti kidogo na eneo la Spain ambayo baadae ilikuwa kitovu cha utawala wa kiislamu enzi hizo,kwani nchini Uhispania waislamu ni wengi zaidi na nembo za kiislamu zimebaki hadi leo na kubaki kuwa fakhari ya dunia yanapotajwa maendeleo ya kisayansi na kielimu kwa ujumla.

Pamoja na yote yaliyotokea siku za nyuma utafiti sasa umegundua lugha ya kireno imejaa maneno yenye asili ya lugha ya kiarabu iliyotumiwa na waislamu wakati wakiwa watawala wa Andalusia kwa karne kadhaa.Vile vile watafiti wa mambo ya kale ambao ni wazaliwa wa Ureno wamegundua majengo mengi na vitu vya kihistoria ambavyo haviwezi kutenganishika na historia ya Uislamu katika nchi hiyo.Historia kama hiyo imekuwa wazi zaidi katika mji wa Mertola. Hata misikiti iliyosalimika kuvunjwa na iliyogeuzwa kuwa makanisa pia imebaki na athari zake za nembo za kiislamu.
The Portuguese rediscovering their country's Muslim past

View attachment 1476629

View attachment 1476632

Hadithi yako inatufundisha nini zaidi sisi ambao hatuna dini zaidi ya upendo na kujali mayatima na wajane! Uislamu wa Ureno una maana gani kubwa hasa kwangu.
 
Umeshaenda Uturuki kwa taarifa yako ingawa Uturuki inajulikana kama taifa la kiislamu kuna maeneo mengi matakatifu ya wakiristo pamoja na makanisa mengi yaliyogeuzwa misikiti
 
I


Hadithi yako inatufundisha nini zaidi sisi ambao hatuna dini zaidi ya upendo na kujali mayatima na wajane! Uislamu wa Ureno una maana gani kubwa hasa kwangu...
Hao mayatima na wajane huwa unawafanya nini.Kama huna dini bora ukae mbali nao na mimi siwezi kumleta mjane wangu kwako.

Hadhithi hii inakuhimiza daima uwe mkweli na upendo wako uwe wa dhati isiwe kama Vasco da Gama ambaye aliongozwa safari kwa teknolojia ya dira kutoka kwa waislamu lakini hatimae akawa anawaafuata waislamu kila kona na kuwafitini.Hata huku kwetu Afrika Mashariki alitua maeneo kadhaa.
 
Hao mayatima na wajane huwa unawafanya nini.Kama huna dini bora ukae mbali nao na mimi siwezi kumleta mjane wangu kwako.
Hadhithi hii inakuhimiza daima uwe mkweli na upendo wako uwe wa dhati isiwe kama Vasco da Gama ambaye aliongozwa safari kwa teknolojia ya dira kutoka kwa waislamu lakini hatimae akawa anawaafuata waislamu kila kona na kuwafitini.Hata huku kwetu Afrika Mashariki alitua maeneo kadhaa.
Dini yangu ni Upendo na kuwajali mayatima na wajane. Utachelewa kuelewa maana ya dini kama utakuwa bado umefungwa na mitazamo ya taasisi za kizungu na taasisi za kiarabu. Alichokuwa anakifanya Vasco da Gama, kwa mujibu wa maandishi yako, ni kuendeleza taasisi zao za kizungu, kwa lengo hasa ya kutimiza ahadi zao. Na alifanikiwa kwa sababu hizo taasisi za kiarabu zililala ama kusinzia.

Badilisha mitazamo ya kizee, na jaribu kutumia akili zako ambazo umejaaliwa ili uweze kuona usahihi wa hitaji la maisha pamoja na watu wenzako hapa Duniani. Ukichelewa kufanya hivyo, utaendelea kuwa mtumwa mtiifu wa akili na mawazo. Na mbinguni hawaendi wajinga!
 
Ureno kwa nchi za Afrika Mashariki iko pembe ya mbali sana na mbele ya kaskazini magharibi ya Afrika.Hata hivyo eneo hili la Afrika limejaa historia inayofungamana na Ureno kuanzia Kenya mpaka Msumbiji.Hii nchi inayojulikana rasmi kama Porugal kwa sasa inajinasibu sana na Ukristo wa madhehebu ya kikatoliki.Pamoja na kwamba kwa sasa ni moja ya nchi maskini za Ulaya na yenye watu wachache lakini watu wake hapo mwanzoni mwa karne ya 19 waliweza kusafiri mbali kwa nia tofauti na hatimaye kumudu kuwa na makoloni Afrika kama wenzao wengine wa Ulaya.
Mmoja ya raia wa Ureno anayetajwa kama mvumbuzi ni Vascoda Gama.Lakini ukweli ni kuwa yeye alikuwa na kinyongo sana na waislamu ambao walikuwa wameitawala Ureno na Uhispania kwa karne kadhaa kuanzia mwaka 711 AD wakiwa katika himaya moja ya kiislamu iliyojulikana kama Andalusia.Katika mwaka huo jeshi la waislamu chini ya Tariq bin Ziad waliweza kupenya ngome za utawala wa Visigoths na kuanzisha utawala ambao ulikuwa neema kubwa kwa ulimwengu mzima na Andalusia ikawa sehemu ambayo maendeleo ya kila aina ya kisayansi kutawanywa kuingia nchi za Ulaya ya leo.
Utawala huo wa waislamu pamoja na kutokuwa na uadui na yoyote lakini kulikuwa na mbinu za kichichini kwa hamasa za kidini.Hii ilipelekea kutokea kwa vita vingi na mauwaji ya waislamu na hata mayahudi .Kila wareno waliposhinda walifanya ukatili mkubwa na kujaribu kujitanua kwenye maeneo ya waislamu mpaka pale mwaka 1578 waliposhindwa vibaya kule Maghrib (Morocco ya leo).Hata hivyo mbinu hizo hazikusimama moja kwa moja na hatimaye kwa kukua kwa uadui na ushirikiano wa mataifa mbali mbali yaliyokuwa na chuki za kidini mbinu hiyo ilifanikiwa kuungusha utawala wa kiislamu uliojulikana kama Ottoman Empire kipindi cha vita kuu ya mwanzo ya dunia.
Inakisiwa wareno ni miongoni mwa watu wenye ukatili zaidi katika utawala wao na hasa kwa waislamu kati ya wakoloni waliowahi kuzitawala nchi za waislamu.Na hata Vasco da Gama hakuwa mvumbuzi bali alikuwa muwindaji wa maendeleo ya waislamu popote duniani baada ya waislamu kushindwa kule kwao na kuuliwa kwa wingi.Alikusudia kuwanyan'ganya waislamu uchumi na udhibiti wao wa biashara ya viungo kutoka India ambayo ilikuwa imeshamiri sana.
Pamoja na kuongozwa kiteknolojia na nahodha mahiri wa kiislamu Majid kutoka Oman kufika India lakini Vascoda Gama hakuwacha kinyongo chake.Katika moja ya safari yake iliyofuata Vascoda Gama aliweza kuichoma meli ya waislamu iliyokuwa imebeba mahujaji kuwarejesha makwao na kuwauwa wote.
Hii leo kule Ureno waislamu wamebaki asilimia 0.5 tu kati ya watu milioni 10 kutokana na kuuliwa na kulazimishwa kuingia Ukristo.Hali ni tofauti kidogo na eneo la Spain ambayo baadae ilikuwa kitovu cha utawala wa kiislamu enzi hizo,kwani nchini Uhispania waislamu ni wengi zaidi na nembo za kiislamu zimebaki hadi leo na kubaki kuwa fakhari ya dunia yanapotajwa maendeleo ya kisayansi na kielimu kwa ujumla.
Pamoja na yote yaliyotokea siku za nyuma utafiti sasa umegundua lugha ya kireno imejaa maneno yenye asili ya lugha ya kiarabu iliyotumiwa na waislamu wakati wakiwa watawala wa Andalusia kwa karne kadhaa.Vile vile watafiti wa mambo ya kale ambao ni wazaliwa wa Ureno wamegundua majengo mengi na vitu vya kihistoria ambavyo haviwezi kutenganishika na historia ya Uislamu katika nchi hiyo.Historia kama hiyo imekuwa wazi zaidi katika mji wa Mertola. Hata misikiti iliyosalimika kuvunjwa na iliyogeuzwa kuwa makanisa pia imebaki na athari zake za nembo za kiislamu.
The Portuguese rediscovering their country's Muslim past

View attachment 1476629

View attachment 1476632
Yaan shida yako shule yako imepelea hujui uislam uliingiaje Spain na ureno na ukatokaje.....
Enzi za jihadi waislam wa mashariki ya kati walipokua wanavamia nchi mbalimbali kueneza uislam kwa Vita ya jihadi ambayo waliweza kuteka Misri,Libya,Tunisia,Morocco actually nchi za north Africa walivuka kuingia ulaya na wakafanikiwa Vita zao na kuwalazimisha wareno na wahispania wabadili dini kutoka ukristo kuingia uislam.

Nao wengi walibadili kwasababu ya kuhofia kufa.

Baadaye alitokea mtawala mmoja ambae aliichukua empire hyo ya uhispania na ureno na alikua mkristo so nayy akatoa Sheria hyohyo n either ubadili dini au uondoke ,uuawe au kufungwa so waliotimuka wakatimka na waliobaki wakabadili dini....ndyo maana unaona Leo zile nchi syo za kiislam wakat ziltakiwa ziwe Kama north africa
 
Yaan shida yako shule yako imepelea hujui uislam uliingiaje Spain na ureno na ukatokaje.....
Enzi za jihadi waislam wa mashariki ya kati walipokua wanavamia nchi mbalimbali kueneza uislam kwa Vita ya jihadi ambayo waliweza kuteka Misri,Libya,Tunisia,Morocco actually nchi za north Africa walivuka kuingia ulaya na wakafanikiwa Vita zao na kuwalazimisha wareno na wahispania wabadili dini kutoka ukristo kuingia uislam.

Nao wengi walibadili kwasababu ya kuhofia kufa.

Baadaye alitokea mtawala mmoja ambae aliichukua empire hyo ya uhispania na ureno na alikua mkristo so nayy akatoa Sheria hyohyo n either ubadili dini au uondoke ,uuawe au kufungwa so waliotimuka wakatimka na waliobaki wakabadili dini....ndyo maana unaona Leo zile nchi syo za kiislam wakat ziltakiwa ziwe Kama north africa
Hilo la pili ulilolisema ni kweli kuwa watawala walijitwisha ukristo baada ya kuonea wivu maendeleo yaliyoletwa na waislamu waliwalazimisha waislamu wabadili dini kuwa wakristo.Lakini kwa waislamu walipoingia huko na kwengine kote hakuna pahala watu wanalazimishwa kuwa waislamu au wauwawe.

Ukiwa una tafsiri kama hizo ama umeelewa vibaya au huujui uislamu au umezusha kutoka kichwani kwako na wala si historia ya kweli.Haya ninayoyasema sasa hivi ndio ushahidi unaotolewa na wanahistoria wakweli na wakristo na wanaotoka nchi hizo hizo za Ureno na Uhispania.
 
Siyo kweli.Unamzungumzia Mehmet ambaye alikuwa mtawala katika dola ya Ottoman empire iliyokuwa na makao makuu Uturuki ya leo.

Pamoja na kuwa ushahidi mwengine wa Uislamu kuwepo Ulaya lakini tunapozungumzia Andalus tunarudi nyuma sana kuliko utawala wa Ottoman.

Katika kipindi hicho tunaweza kusema ilikuwa ni dola iliyoongozwa na waislamu zaidi kama raia wa eneo hilo lakini haikuwa utawala wa kikoloni wa kulazimisha watu mambo ikiwemo kubadili dini.

Watu walikuwa waislamu kikawaida kwa kuzaliwa au kuvutiwa na nidhamu za kiislamu bila kutumia nguvu yoyote.
Hakukua na njia nyengine ya kueneza hii dini miaka hiyo zaidi ya kumwaga damu za wale waliokataa,wachache sana vichwa panzi husoma na kuingia humo bila shuruti,dunia ya sasa kwa baadhi wanamwaga damu kama Boko Haram ISISIS etc ila hawa walio kwenye nchi ambazo hawawezi kueneza kwa vitisho kama hapa Tanzania wana style mpya.

Kuwa-favor kwa vitu vidogo vidogo kama pesa,ajira na kuwapa wake wanaowatamani,yupo Mkigoma mmoja mweusi tii Kangi Lugola mweupe jamaa tunafamiana amepewa mke wa kiarabu japo ni mkubwa kwake na ni single mom ila ulimbukeni wake tu kamuokota wanafanya maisha,K/Koo wapo waarabu na wapakistan incl Waswahili wachache wana hii tabia kuajiri kwa kigezo cha dini,badili dini upate kazi au baki na Ukristo wako ukose kazi hawa huwanasa sana Wamalawi kutokana na kwao njaa kali kila anachoambiwa anafanya ila unawakuta mchana wanaingia misikitini jioni unakutana nao bar za Chang'ombe na Keko wanakula nguruwe ukiwauliza wanakuwaje waislam huku hawaachi hayo mambo wanakwambia wakiwa na maboss zao wana-act tu imani yao wanayo moyoni na wakienda kwao Malawi wanaingia Makanisani kama kawaida.

Huwezi kumlazimisha mtu kubadili kile anachokipenda,hili somo wengi hamlielewi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakukua na njia nyengine ya kueneza hii dini miaka hiyo zaidi ya kumwaga damu za wale waliokataa,wachache sana vichwa panzi husoma na kuingia humo bila shuruti,dunia ya sasa kwa baadhi wanamwaga damu kama Boko Haram ISISIS etc ila hawa walio kwenye nchi ambazo hawawezi kueneza kwa vitisho kama hapa Tanzania wana style mpya.

Kuwa-favor kwa vitu vidogo vidogo kama pesa,ajira na kuwapa wake wanaowatamani,yupo Mkigoma mmoja mweusi tii Kangi Lugola mweupe jamaa tunafamiana amepewa mke wa kiarabu japo ni mkubwa kwake na ni single mom ila ulimbukeni wake tu kamuokota wanafanya maisha,K/Koo wapo waarabu na wapakistan incl Waswahili wachache wana hii tabia kuajiri kwa kigezo cha dini,badili dini upate kazi au baki na Ukristo wako ukose kazi hawa huwanasa sana Wamalawi kutokana na kwao njaa kali kila anachoambiwa anafanya ila unawakuta mchana wanaingia misikitini jioni unakutana nao bar za Chang'ombe na Keko wanakula nguruwe ukiwauliza wanakuwaje waislam huku hawaachi hayo mambo wanakwambia wakiwa na maboss zao wana-act tu imani yao wanayo moyoni na wakienda kwao Malawi wanaingia Makanisani kama kawaida.

Huwezi kumlazimisha mtu kubadili kile anachokipenda,hili somo wengi hamlielewi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wale waliokuwa wanaimba UISLAMU NI DINI YA KIGAIDI , SASA HIVI WANASILIMU KILA KUKICHA . NA HUO HIVYO VIKUNDI VILIVYOKUWA WANAVITENGENEZA ILI KUWAAMINNISHA WATU KUWA UISLAMU NI DINI YA VURUGU HIVI SASA VIMEKUFA VYENYEWE BAADA YA KUKOSA UFADHILI. WAZUNGU WENU WANASOMA NA KUUJUA UKWELI . ALHAMDULILHAA
 
Hakukua na njia nyengine ya kueneza hii dini miaka hiyo zaidi ya kumwaga damu za wale waliokataa,wachache sana vichwa panzi husoma na kuingia humo bila shuruti,dunia ya sasa kwa baadhi wanamwaga damu kama Boko Haram ISISIS etc ila hawa walio kwenye nchi ambazo hawawezi kueneza kwa vitisho kama hapa Tanzania wana style mpya.

Kuwa-favor kwa vitu vidogo vidogo kama pesa,ajira na kuwapa wake wanaowatamani,yupo Mkigoma mmoja mweusi tii Kangi Lugola mweupe jamaa tunafamiana amepewa mke wa kiarabu japo ni mkubwa kwake na ni single mom ila ulimbukeni wake tu kamuokota wanafanya maisha,K/Koo wapo waarabu na wapakistan incl Waswahili wachache wana hii tabia kuajiri kwa kigezo cha dini,badili dini upate kazi au baki na Ukristo wako ukose kazi hawa huwanasa sana Wamalawi kutokana na kwao njaa kali kila anachoambiwa anafanya ila unawakuta mchana wanaingia misikitini jioni unakutana nao bar za Chang'ombe na Keko wanakula nguruwe ukiwauliza wanakuwaje waislam huku hawaachi hayo mambo wanakwambia wakiwa na maboss zao wana-act tu imani yao wanayo moyoni na wakienda kwao Malawi wanaingia Makanisani kama kawaida.

Huwezi kumlazimisha mtu kubadili kile anachokipenda,hili somo wengi hamlielewi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unazungumza kama kwamba umeshakula hicho kitimoto.Habari za kuoa na kuolewa ondoa kwenye shuruti za imani.Watu huowana kwa mapenzi yao.Ukiwa na wivu na chuki kama Trump za kuchukia kabila fulani na watu wa asili fulani utakufa kwa uchungu bure na hutoweza kubadili kitu kwani Mwenyezi Mungu hajaumba mbora kuliko mwengine.Hata hivyo ili kulinda faida za akhera uislamu umeweka masharti bora kwa wanaotaka kuolewa au kuowa.Ukipenda jifunze fiqhi ya ndoa katika uislamu ili usiwe unaropoka ovyo.

Unapozungumzia wamalawi wanaoswali mchana na usiku mnakunywa nao bia uislamu hauna haja na wanafiki wa aina hiyo na watakaopata madhara ni wao na wala hawaukomoi uislamu.Halafu unazungumzia kwamba wamalawi wakirudi makwao wanaingia makanisani kama kwamba hiyo Malawi ni nchi ya makanisa pekee.Ukisoma historia ya uislamu Malawi basi ni kongwe kuliko ukristo kama ilivyo kwa Msumbiji iliyotawaliwa na wareno na kwa Tanzania ni zaidi.
 
Unazungumza kama kwamba umeshakula hicho kitimoto.Habari za kuoa na kuolewa ondoa kwenye shuruti za imani.Watu huowana kwa mapenzi yao.Ukiwa na wivu na chuki kama Trump za kuchukia kabila fulani na watu wa asili fulani utakufa kwa uchungu bure na hutoweza kubadili kitu kwani Mwenyezi Mungu hajaumba mbora kuliko mwengine.Hata hivyo ili kulinda faida za akhera uislamu umeweka masharti bora kwa wanaotaka kuolewa au kuowa.Ukipenda jifunze fiqhi ya ndoa katika uislamu ili usiwe unaropoka ovyo.
Unapozungumzia wamalawi wanaoswali mchana na usiku mnakunywa nao bia uislamu hauna haja na wanafiki wa aina hiyo na watakaopata madhara ni wao na wala hawaukomoi uislamu.Halafu unazungumzia kwamba wamalawi wakirudi makwao wanaingia makanisani kama kwamba hiyo Malawi ni nchi ya makanisa pekee.Ukisoma historia ya uislamu Malawi basi ni kongwe kuliko ukristo kama ilivyo kwa Msumbiji iliyotawaliwa na wareno na kwa Tanzania ni zaidi.
Kama vile povu hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom