epl

  1. Forest Hill

    Nimeangalia Match ya EPL Bure bila DSTV kwa kutumia kifaa hiki..

    Kwa wapenzi wa soka Weekend tukiwa hatuna mishe tunajifungia ndani tunaangalia mpira au tunasogea vibanda umiza kupata burudani,Mimi binafsi huwa naangalia mechi zote za jumamosi na jumapili,you may call me fanatic but football ndio ulevi wangu, DStv vifurushi daily vinapanda kwa uchumi ulivyo...
  2. Christopher Wallace

    EPL: Liverpool 1-1 Man City, Mbio za ubingwa bado zipo wazi

    Klabu ya Liverpool imetoka sare ya 1-1 dhidi ya Man City katika mchezo mgumu na wenye kutoa uelekeo wa ubingwa wa EPL. Mchezo huo uliopigwa katika dimba la Anfield, Man City ndio walikuwa wa kwanza kupata goli kipindi cha kwanza kupitia John Stones kabla ya Liverpool kusawazisha kipindi cha...
  3. JanguKamaJangu

    Matokeo ya 1-1 Liverpool na Man City yaipa faida Arsenal kwenye EPL

    Mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Manchester City umemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Anfield, matokeo ambayo yanaipa faifa Arsenal kubaki kileleni katika Premier League kwa faida ya magoli mengi ya kufunga Magoli yaliyoamua mechi ya leo Machi 10, 2024 yamefungwa na John Stones kwa...
  4. Christopher Wallace

    EPL: Man City yaibamiza Man Utd 3-1

    Timu ya Man City imezidi kujiwekea mazingira mazuri ya kutetea ubingwa wake wa EPL baada ya kuwafunga wapinzani wao wa Jiji la Manchester timu ya Man Utd kwa magoli 3-1. Man Utd ndio walikuwa wakwanza kupata goli kupitia Rashford dakika ya 8. Man City wakasawazisha dakika 56 kupitia Phil Foden...
  5. JanguKamaJangu

    Erling Haaland amecheza dakika 1,745 katika EPL, amekutwa offside mara moja tu

    Inaweza kukushangaza kiasi lakini huo ndio uhalisia, licha ya kuongoza kwa kufunga magoli 17 katika Premier League 2023/24 hadi sasa, takwimu zinaonesha Mshambuliaji wa ManchesterCity, Erling Haaland ameotea mara moja tu katika dakika 1,745 alizocheza, anayeongoza kwa kuotea ni Darwin Nunez wa...
  6. Mchochezi

    EPL: Mbio za ubingwa, unampa nani karata yako ya kutwaa ubingwa?

    Licha ya ratiba ngumu, nawapa Man City nafasi ya kunyanyua ubingwa mwisho wa msimu. Arsenal kama kawaida yao kuanzia mwezi march tutaona madudu yao, Liverpool ni tishio lakini hawatobeba ndoo. Kutokana na mechi zilizosalia unampa nani nafasi ya kutwaa ubingwa? Tuambie…
  7. Mchochezi

    EPL: Arsenal yashinda 6-0 dhidi ya West Ham

    Klabu ya Arsenal imeibugiza West Ham kwa mabao 6-0 katika mchezo wa ligi kuu england maarufu kama EPL. Mpaka mapumziko Arsenal ilikuwa mbele kwa mabao manne kwa nunge, huku mabao hayo yakifungwa na Saliba dakika 32, Saka dakika ya41 kwq penati, Gabriel 43 na Trossard dakika 45+2. Kipindi cha...
  8. M

    Inonga ana viwango vya Laliga na EPL. Tatizo tupo timu mbovu sana ya Simba

    Nimemfuatilia kwenye hii michuano ya Afcon. Hakika jamaa ni bonge la beki. Sema aliyemshauri kuja Simba kamuharibia sana.
  9. The Boss

    Kutazama EPL Kwa ZUKU fiber internet

    Wataalam kama mtu ana zuku fiber unlimited ndani na anataka tazama Mpira EPL au TV zozote za nje ...inatakiwa afanyaje? Kuna mtu kaniambia lazima nitafute android TV box kwanza?ni kweli? Njia zipi za kupata channel za nje kupitia unlimited internet ndani? Hata kupata sky channels moja Kwa...
  10. Maghayo

    Vita ya Israel na Gaza kuikosesha ubingwa liverpool EPL

    Mzuka wanajamvi. Vita inayoendelea sasa hivi Gaza kati ya Israeli na Hamas itaikosesha ubingwa wa ligi kuu ya uingereza mpira liverpool. Liverpool ambayo imeishinda usiku huu Newcastle United kwa magoli 4-2 nakuongoza kwa point 3 mbele ya Aston villa ambayo ni ya pili inahofia sana hii vita ya...
  11. JanguKamaJangu

    Arsenal yashika usikani wa EPL kwa kuifunga Brighton, leo Desemba 17, 2023

    Arsenal imefanikiwa kuwa namba moja katika Premier League baada ya ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Brighton huku Aston Villa ambayo nayo imekuwa na msimu mzuri ikishika nafasi ya pili kwa kuifunga Brentford magoli 2-1. Arsenal imefikisha pointi 39, Aston Villa ikiwa na 38, zote zikiwa zimecheza...
  12. JanguKamaJangu

    Ndugu zangu Arsenal mpooo? Aston Villa wameshafanya yao EPL

    Timu ya Aston Villa imeendelea kuonesha kuwa msimu huu haina utani kwenye Premier League, hiyo ni baada ya kuichapa Arsenal goli 1-0 kwenye Uwanja wa Villa Park. Matokeo hayo yanaifanya Villa kubaki nafasi ya tatu ikiwa na pointi 35 wakati Arsenala ambayo huo ni mchezo wao wa pili kupoteza...
  13. Mbu

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Full name: Liverpool Football Club Nickname(s): The Reds Founded: 3 June 1892 League: Premier League Website: LiverpoolFC.com Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m Principal Owner: John W. Henry Chairman: Tom Werner Manager: Jürgen Norbert Klopp Liverpool...
  14. BRN

    Pre Season 2024/2025 Simba inaweza kuileta klabu kubwa ya soka kutoka EPL

    Leo tarehe 31 Octoba, 2023 Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concar amefanya ziara ya kutembelea timu ya Simba na kufanya mazungumzo na viongozi na watendaji wa timu ya Simba. Kwa namna Simba walivyo na mikakati naona moja ya mazungumzo/maombi ya Simba kwa Mhe. Balozi itakuwa...
  15. Suley2019

    Yanayojiri Ligi Kuu za Ulaya. Ligi ya Uingereza (EPL), Hispania (Laliga), leo Septemba 30, 2023

    Habari, Karibu tupeane updates ya mechi mbalimbali za Ligi za Ligi Kuu za nchi za Ulaya leo Septemba 30, 2023. EPL Aston Villa 6 - 1 Brighton (FT) Bournemouth 0 - 4 Arsenal (FT) Everton 1 - 2 Luton (FT) Man U 0 - 1 Crystal Palace (Cont) New Castle 2 - 0 Burnley (FT) West Ham 2 - 0...
  16. JanguKamaJangu

    EPL: Man. United yashinda kibabe Od Trafford, Arsenal yashikwa na Fulham

    Dakika 4 za awali, Manchester United ilikuwa nyuma kwa magoli 2-0 dhidi ya NottinghamForest wakati Arsenal ilikuwa nyuma kwa goli 1-0 dhidi ya Fulham. Hadi filimbi ya mwisho ya michezo hiyo ya Premier League, Man United imepata ushindi wa magoli 3-2 ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Old Trafford...
  17. JanguKamaJangu

    Klabu za Premier League zaonywa kuhusu Wadukuzi kuvamia mifumo ya usajili

    Imebainika kuwa Klabu za England zinalengwa na wadukuzi, ambao wanatuma ankara za ulaghai kuhusu uhamisho wa wachezaji wa nje ya Nchi hiyo. Suala hilo ni zito, Chama cha Soka Cha England (FA) kimetuma onyo kwa Klabu na kuzitaka kupitia barua pepe zao za usalama na kuzitaka idara zao za fedha...
  18. Nehemia Kilave

    Ufafanuzi wa ninacho kifahamu kuhusu JamiiForums Fantasy League

    Habari, mnamo tar 6/8/2023 nlianzisha uzi huu Kuna haja ya kuwa na JF Fantasy EPL ambao ulikuwa unahusu haja ya kuanzishwa FPL ya Jamii Forums. Kufuatia uzi huo members mbalimbali walipata muamko wa kuhitaji kupatikana ligi hiyo, wengine walikwenda mbali na kufungua leagues. Jitihada...
  19. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Sasa ni Rasmi Liverpool ni epl tittle contender!

    Niliwapa man city kutetea na Arsenal kuwa challenger mzuri msim Huu 2023/2024,lakin KWA usajili wa moises caicedo KWA pound million 106 kwenda liverpool,sasa majogoo wa jiji liverpool ni team ya kuogopwa na vigogo wote pale epl! Midfield ya caicedo,macalister na Dominic szoboslai ni combination...
  20. Nehemia Kilave

    Kuna haja ya kuwa na JF Fantasy EPL

    Epl ndiyo ligi pendwa kwa ukanda wa Africa mashariki hivyo watu wengi wanaifuatilia. JF fpl kwanza itangaza zaidi Forum lakini pia itakuwa burudani kwa members pia. Anaweza tafutwa mdhamini kila gw winner akapata 100k kwa week 38 ni 3.8M wa jumla 1M na utaaribu wa mshindi wa mwezi ukaangaliwa...
Back
Top Bottom