epl

  1. M

    JamiiForums Tanzania FT: Manchester United 3-2 Liverpool | EPL | Old Trafford | 3 May 2026

    Macho yote leo yako Manchester United na Liverpool watakapokutana katika dimba la Old Trafford kwenye mchezo wa English Premier League. Huu ni mtanange wa kihistoria wenye ushindani mkubwa, kila timu ikihitaji pointi muhimu ili kujihakikishia nafasi ya tatu na kushiriki mashindano ya Ulaya...
  2. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Arsenal wakitwaa ubingwa wa EPL haya yatatokea.

    Endapo Arsenal itatwwa ubingwa wa EPL mambo mengi yanaweza kutokea/kubadilika. Haya 👇ni baadhi tu. 1. Paul kagame atakuwa kibonge maana Arsenal ndo club aioendayo duniani. 3. Mashabiki wa manjesta unaited watazidi kukonda japokuwa uwezekano wa wa kumaliza kwenye top four ni mkubwa kwao. 4...
  3. Khanji kapoor

    JamiiForums Tanzania Arsenal atachukua EPL kwa tofauti ya Point moja tu Manchester City

    Wakuu Mimi ni mkali wa correct scores kwenye mikeka hata ofsini kwangu wananiita Messi wa mikeka Toka huu mwezi uanze Kuna intuition imekaa ndani yangu ikiniambia kuwa Arsenal atabeba ubingwa wa EPL 2025/2026 kwa tofauti ya Point moja tu niliwahi kumtabiria Leicester city January na...
  4. kilosaboy

    JamiiForums Tanzania Web zinzorusha epl

    Habari zenu ndugu zangu. Naomba mnitajie web zinazorusha epl maana kulipia dstv imeshakua balaha. Ahsanteni.
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Full Time: Arsenal 2 - 3 Manchester United | EPL | 25 Januari, 2025

    Mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza kati ya Arsenal na Manchester United umeamalizika kwa ushindi kutoka kwa mashetani wekundu Man United wa goli tatu kwa mbili.
  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Leo Chelsea, Man City na Man U wapo vikaangoni - EPL!

    Ngoja tusubirie Matokeo.
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Opta Supercomputer imetabili matokeo ya EPL 2025/26 yatakavyoisha!

  8. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Weekend nyingine tamu EPL. Pale juu wa kututoa bado hajaonekana

    EPL inaendelea kutupa raha, kuna watu mechi nne hawajashinda ata moja. Arsenal kombe letu huu mwaka. Mnao ogopa makelele nunueni ANC earphones.
  9. willy ze great

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna mtu anadai kuonesha epl na ligi zote kubwa kwa bei ndogo facebook

    Kama picha zinavoonesha hapo anadai kuonesha ligi zote kubwa ulaya kwa bei nafuu tu matangazo yako facebook. Naomba ufafanunuzi kama hii kitu inawezekana anadai king'amuzi kinaitwa premium hd. Kama kuna mtu anafaham hii habari atutoe tongotongo
  10. Scared

    JamiiForums Tanzania Brentford FC ndio mabingwa wa EPL msimu huu anayebisha tukutane Mei siongei sana

    Mimi ni mshabiki wa Brentford na Liverpool damu msimu huu tunaenda kuchukua epl Kwa wote msioamini haya maneno tukutane may ndio mtaamini the bees au the reds ni mabingwa 2025/ 26 tutawatoa manundu sana msimu huu.
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CHAN, Ligi Kuu ya England (EPL), Bundesliga na La Liga: Mechi za moto wikiendi hii

    CHAN: Leo katika dimba la Mandela itapigwa mechi ya mshindi wa tatu kati ya Sudan dhidi ya Senegal Mechi hii itachezwa kuanzia saa 12:00 jioni Jumamosi Fainali ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) Madagascar vs Morocco - 🕕 Saa 12:00 jioni Jumamosi Premier League, mechi kubwa mbili...
  12. PLOII

    JamiiForums Tanzania Kwa 100% bingwa wa EPL ni Arsenal NBC wana Lunyasi bado, MO ana Drama sana kasajili nini? Anavuna asipopanda na ngojera ya 87B

    Habari Wana Sports, Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu. Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE. Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Ligi Kuu ya England (EPL), Bundesliga na CHAN kuendelea leo Agosti 22, 2025

    Ligi Kuu ya England itaendelea leo kwa mchezo kati ya West Ham na Chelsea majira ya saa 4:00 usiku (EAT), ikiwa ni mchezo wa raundi ya pili kati ya raundi 38 zinazotarajiwa kuchezwa msimu huu. Katika raundi ya kwanza: Chelsea walitoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya Crystal Palace. West...
  14. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Huu ni utabiri wangu wa EPL msimu huu wako ni upi?

    BINGWA: liverpool MFUNGAJI BORA: halaand GK BORA: donnaruma YOUNG PLAYER OF THE YEAR: sesko MCHEZAJI BORA WA MWAKA: palmer TOP SIX: liverpool Man city Arsenal Man Utd Chelsea Tottenham
  15. Kinumbo

    JamiiForums Tanzania Tupia top 4 yako EPL kwa msimu wa 2025/26

    Kuelekea msimu mpya wa ligi pedwa na maarufu duniani EPL pale Uingereza inayo tarajia kuanza kutimua vumbi siku ya Ijumaa tarehe 15, Agosti 2025 hii ndio top 4 yangu. 1. Chelsea 2. Liverpool 3. Arsenal 4. Man City Tipia na yako tuone, karibu.
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Ni vita ya mabilioni! hii hapa top 4 ya EPL msimu wa 2025/26 na timu zitakazoshuka daraja

    Zikiwa zimesalia siku chache kurejea kwa ligi mbalimbali duniani, joto la soka linazidi kupanda. Mitandao inachafuka, pesa inamwagika, tambo zinatembea – lakini mwisho wa siku ni uwanjani tu ndipo ukweli utaandikwa! Huko England, usajili umekuwa wa moto wa jiwe! Kuna wanaonunua kwa bei ya...
  17. AskariKanzu

    JamiiForums Tanzania KWA USAJILI HUU LIVERPOOL NI FAVOURITE WA UBINGWA EPL 2025/2026

    Liverpool mabingwa wa msimu 2024-2025 wa ligi ya uingereza nawapa chapuo ya kuchukua tena ubingwa wa msimu ujao. Hii timu bwana imekamilika kila idara licha ya kuondoka baadhi ya nyota wake pia wamefanya maboresho ya kikosi kwa kusajiri wachezaji kama:- Frimpong Kerkez Wirtz Ekitike Msimu...
  18. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Picha za Pacome zinavutia kama zimepigwa huko LA LIGA AU EPL

  19. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Wakati ligi yetu ikiwa haijaisha, EPL watoa ratiba ya msimu mpya, Man Utd Vs Arsenal wiki ya kwanza

    Sisi tunaishi katika dunia yetu. Mpaka leo ligi haijaisha😂 Wenzetu waliopo mbele ya muda wanaendelea na mambo yao. EPL washatoa ratiba ya msimu mpya wa ligi, August 15 ligi inaanza. Weekend hiyo Man Utd na Arsenal watakuwa pale OT kumenyana. Sisi kuna sehemu tunakosea pakubwa sana, au ndio...
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa utengeneze first 11 ya muda wote katika historia ya EPL kuanzia mwaka 2000 utaweka wachezaji gani?

    Mimi nitaenda na formation: 4-3-1-2 1. Cech 2. Neville 3. Vidic 4. Terry 5. Cole 6. Scholes 7. Gerrard 8. Lampard 9.Rooney 10. Ronaldo 11. Henry
Back
Top Bottom