cristiano ronaldo

Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH ComM (European Portuguese: [kɾiʃˈtjɐnu ʁɔˈnaɫdu]; born 5 February 1985) is a Portuguese professional footballer who plays as a forward for Serie A club Juventus and captains the Portugal national team. Often considered the best player in the world and widely regarded as one of the greatest players of all time, Ronaldo has won five Ballons d'Or and four European Golden Shoes, both of which are records for a European player. He has won 30 major trophies in his career, including seven league titles, five UEFA Champions Leagues, one UEFA European Championship, and one UEFA Nations League title. Ronaldo holds the records for the most goals (130) and assists (40) in the history of the UEFA Champions League. He is one of the few recorded players to have made over 1,000 professional career appearances and has scored over 700 senior career goals for club and country. He is also the second player to score 100 international goals, and the first European to achieve the feat.Born and raised in Madeira, Ronaldo began his senior club career playing for Sporting CP, before signing with Manchester United in 2003, aged 18. After winning the FA Cup in his first season, he helped United win three successive Premier League titles, the UEFA Champions League, and the FIFA Club World Cup; at age 23, he won his first Ballon d'Or. In 2009, Ronaldo was the subject of the then-most expensive association football transfer when signed for Real Madrid in a transfer worth €94 million (£80 million). There, he won 15 trophies, including two La Liga titles, two Copas del Rey, and four UEFA Champions League titles, and became the club's all-time top goalscorer. After joining Madrid, Ronaldo finished runner-up for the Ballon d'Or three times, behind Lionel Messi—his perceived career rival—before winning back-to-back Ballons d'Or from 2013–2014 and again from 2016–2017. After winning a third consecutive Champions League title in 2018, Ronaldo became the first player to win the trophy five times. In 2018, he signed for Juventus in a transfer worth an initial €100 million (£88 million), the highest ever paid by an Italian club and the highest ever paid for a player over 30 years old. He won the Serie A title in his first two seasons with the club.
A Portuguese international, Ronaldo was named the best Portuguese player of all time by the Portuguese Football Federation in 2015. He made his senior debut in 2003 at age 18, and has since earned over 160 caps, including appearing and scoring in ten major tournaments, becoming Portugal's most capped player and his country's all-time top goalscorer. He scored his first international goal at Euro 2004 where he helped Portugal reach the final. He assumed full captaincy in July 2008, leading Portugal to their first-ever triumph in a major tournament by winning Euro 2016, and received the Silver Boot as the second-highest goalscorer of the tournament.
One of the most marketable and famous athletes in the world, Ronaldo was ranked the world's highest-paid athlete by Forbes in 2016 and 2017 and the world's most famous athlete by ESPN from 2016 to 2019. Time included him on their list of the 100 most influential people in the world in 2014. Ronaldo is the first footballer, as well as only the third sportsman, to earn $1 billion in their career.

View More On Wikipedia.org
  1. DullyJr

    Cristiano Ronaldo: Saudi Pro League is more competitive than Ligue 1

    [emoji599] Cristiano Ronaldo: “𝐒𝐚𝐮𝐝𝐢 𝐋𝐞𝐚𝐠𝐮𝐞 𝐢𝐬 𝐛𝐞𝐭𝐭𝐞𝐫 𝐭𝐡𝐚𝐧 𝐋𝐢𝐠𝐮𝐞𝟏 already now, I’m sure of that" [emoji1210] ◉ “Saudi Pro League is more competitive than Ligue1, I can say that after one year spent there and I’m sure”. ◉ “We are better than French league already now”. ◉ “I feel so happy at Al...
  2. NEGAN

    Cristiano Ronaldo hatimaye ametupa taulo

    Ule mchuano mkali uliodumu kwa takribani miaka 18 wa wanasoka nguli kuwahi kutokea duniani wenye vipaji vya hali ya juu hatimaye unaelekea ukingoni. Si mwingine bali ni mchuano kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo. https://www.jamiiforums.com/threads/messi-vs-ronaldo-nani-zaidi.13334/...
  3. Greatest Of All Time

    Cristiano Ronaldo: Ligi ya Saudi Arabia ni bora kuliko Ligi ya Marekani (MLS)

    Mshindi wa tuzo za Ballon D’or mara 5, Cristiano Ronaldo amekaririwa akisema Ligi Kuu ya Saudi ni bora kuliko ile ya Marekani (MLS). “Nina uhakika 100% sitarudi tena kuchezea klabu yoyote ya Ulaya kwani nina furaha huku. Mimi nilifungua njia ya kuja huku, na sasa wachezaji wengi wanakuja...
  4. FaizaFoxy

    Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

    Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam. Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)? Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba...
  5. M

    Namba hazidanganyi: Bado Halaand ana safari ndefu sana kuyafikia mafanikio ya Cristiano Ronaldo, japo mwelekeo anao!!

    Tatizo ni kwamba watu warefu kwa kawaida hawakai kwenye form kwa muda mrefu , lakini pia Halaand anatumia mguu mmoja tu wa kushoto wakati R7 mashine inakubali kote kote. Halaand ni mrefu zaidi ya Ronaldo. Nafahamu exceptions huwa zinatokea. Naziachia namba hapa zizungumze!! Domestic Tournaments...
  6. BARD AI

    Cristiano Ronaldo afikisha wafuasi Milioni 550 Instagram

    Mshambuliaji wa klabu ya Al Nassr na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amefikisha wafuasi (followers) Milioni 550+ kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram. Ronaldo ndiyo binadamu wa kwanza kuwa na wafuasi wengi zaidi katika mtandao huo wa Instagram Duniani
  7. THE FIRST BORN

    Cristiano Ronaldo aanza kutimiza ahadi aliyoweka mwaka 2022

    Cristiano Ronaldo moja ya wachezaji bora Duniani ameanza kutimiza Ahadi yake ambayo aliisema Mwaka 2022 mwez wa 4 baada ya kufunga Hat trik ya 60 ambapo ali tweet katika mtandao wa Twitter na kuandika "30 Hat-Tricks before 30 and 30 Hat-Tricks after 30.It's time to...
  8. JanguKamaJangu

    Picha linaanza upya, Kocha mpya wa Ronaldo asema alitaka kumsajili Messi

    Katika kile kinachoonekana anataka ‘kutikisa kiberiti’ japo haijajulikana kama alikuwa anamaanisha au anatania, Kocha huyo wa Al-Nassr, Rudi Garcia ametoa kauli hiyo mbele ya waandishi wa habari wakati alipoulizwa juu ya ujio wa Cristiano Ronaldo kikosini hapo. Amesema “Nilitaka kumsajili...
  9. Poker

    Cristiano Ronaldo kuingizia Billion 1.5 kwa siku huko saudi Arabia

    Umri wake ni miaka 37 mwakani mwezi wa 2 tarehe 5 atakuwa na miaka 38. Amesaini mkataba wa kufuru utakaomfanya kulipwa pesa nyingi kuliko mchezaji yoyote duniani!
  10. Last Seen

    Ronaldo atua rasmi Al Nassr

    Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo amesaini mkataba mpya na klabu ya Al Nassr ya nchini Saudi Arabia. Mkataba huo utamfanya kuwa mchezaji anyelipa zaidi na atasalia klabuni hapo hadi 2025. Ronaldo mwenye umri wa Miaka 37 amekabidhiwa jezi namba 7.Al Nassr ni...
  11. Dj Aiman

    Je, Christiano Ronaldo ananafasi ya kuchuku Kombe la Dunia kupitia kwa mtoto wake almaarufu Cristiano Ronaldo JR?

    Baada ya kumalizika kwa Kombe la dunia nchini Quatar 2022,Baadhi ya mashabiki wa Christiano Ronaldo wamevunjika moyo sana nakuona kama ndoto za mchezaji uyo maarufu Duniani wa Ureno za kutwaa kombe la dunia zimeishia hapo kwani kwasasa anaumri wa miaka 37 hivyo itamuwiya vigumu kushiriki kombe...
  12. Dj Aiman

    Je, CHRISTIANO RONALDO ananafasi ya kuchukua KOMBE LA DUNIA kupitia kwa mtoto wake CRISTIANO RONALDO JR?

    Baada ya kumalizika kwa Kombe la dunia nchini Quatar 2022, Baadhi ya mashabiki wa Christiano Ronaldo wamevunjika moyo sana nakuona kama ndoto za mchezaji huyo maarufu Duniani wa Ureno za kutwaa kombe la dunia zimeishia hapo kwani kwasasa anaumri wa miaka 37 hivyo itamuwiya vigumu kushiriki kombe...
  13. Execute

    Luka Modric apewe Ballon d'Or za mwaka 2014 na 2017 badala ya Cristiano Ronaldo

    Hizi tuzo zilitolewa kwa kuangalia mshindi wa UEFA Champions League (UCL). Ni dhahiri kwamba mchango wa Modric ni muhimu na wakipekee. Kama asingekuwepo Modric wala Real Madrid wasingeshinda hayo makombe. Huyu Modric aliweza kufikia nafasi ya pili (2018) na nafasi ya tatu (2022) Kombe la Dunia...
  14. Obi Wan

    Cristiano Ronaldo kama kulinganishwa alinganishwe na akina Lewandowski na Ibrahmovich

    Cristiano Ronaldo moja ya mafanikio yake makubwa ni kufananishwa na Lionel Messi lakini kiuhalisia huyu Lionel Messi ni wa level za Pele na Maradona. Huyu Ronaldo ni wa kulinganishwa na akina Lewandowski na Ibrahmovic ambao ndio level zake. Kitu pekee team Cr7 walichobakiza ni kumuita Ronaldo...
  15. THE FIRST BORN

    Je, Messi akikosa Kombe La Dunia Atakua Juu ya Cristiano Ronaldo?

    Habarani Wapenda Michezo. Naomba niseme mapema mimi ni shabiki wa Ronaldo the Boy from Madeira CR7 shabiki Kufakufa. Hio haimanishi siwez kusema mazuri ya Messi NO, MESSI is so F*ck*ng Talented Kabisa. Nirud kwenye Mada. Leo ndio ndio ile siku Maalum. Macho Mengi yapo kwa Messi. Dua Nyingi...
  16. A

    Mimi shabiki wa CR7 naomba kombe lisiende Argentina

    Nisimungunye maneno ,kwa moyo wangu wa dhati na kama ningekuwa namjua mganga wa kuloga ningeomba awaloge Argentina wasibebe World Cup. CR7 umri umekwisha hope hataonekana kwenye next world cup, lakini amepambana sana kwa kuipambania Ureno lakini Mungu hajawa upande wake .Sasa naomba Mungu Sana...
  17. JanguKamaJangu

    Cristiano Ronaldo ‘atibuana’ na wakala wake

    Inadaiwa kwa nyota huyo wa Ureno hafanyi kazi kwa ukaribu na wakala wake huyo, Jorge Mendes kutokana na wawili hao kupishana mitazamo juu ya timu ambayo Ronalo anatakiwa kujiunga nayo. Inaelezwa kuwa klabu zinawasiliana na Ronaldo (37) moja kwa moja kwa ajili ya mazungumzo ya kumsajili badala...
  18. BARD AI

    AL Nassr ya Saudi Arabia yamtaka Cristiano Ronaldo kwa Tsh. Bilioni 524.7

    Klabu hiyo imesema iko tayari kumsaini nyota huyo kwa mkataba wa miaka 3 ukiwa na thamani ya Tsh. Bilioni 174.9 kwa mwaka. Aidha AL Nassr kutoka Mashariki ya Kati imesema haina tatizo endapo Ronaldo atataka kuendelea kucheza hata baada ya kufikisha miaka 40. CR7 ndiye mchezaji pekee...
  19. JanguKamaJangu

    Tetesi: Cristiano Ronaldo ajipeleka Real Madrid, aomba mkataba wa miezi 6

    Inadaiwa kuwa Cristiano Ronaldo amewaambia Real Madrid kuwa yupo tayari kujiunga na klabu hiyo kwa muda wa miezi sita. Ronaldo (37) ambaye yupo mbioni kuachana na Manchester United anataka kwenda kuziba nafasi ya Karim Benzema ambaye ni majeruhi. Man United inaendelea kujipanga kisheria ili...
  20. JanguKamaJangu

    Wakala wa Cristiano Ronaldo aanza mazungumzo na Bayern Munich

    Imebainika Cristiano Ronaldo kupitia wakala wake, Jorge Mendes wamehusishwa kufanya mazungumzo na Bayern Munich ikiwa ni moja ya mipango ya kuhamia upande huo kama ataondoka Manchester United. Hakuna tamko rasmi kutoka pande zote lakini Julai 2022, Mtendaji Mkuu wa Bayern Munich, Oliver Khan...
Back
Top Bottom