chelsea

  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Xabi Alonso atangazwa kuwa kocha mpya wa Chelsea FC

    Chelsea Football Club is delighted to announce the appointment of Xabi Alonso as Manager of the men’s team. The Spaniard will begin his role on July 1, 2026, having agreed a four‑year contract at Stamford Bridge. One of the most respected figures in the modern game, Alonso arrives at Chelsea...
  2. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Xabi Alonso kuwa Kocha mpya Wa Chelsea

    Chelsea wamefikia makubaliano ya kumsajili Xabi Alonso kama kocha wao mpya Je ni Chaguo Sahihi!? Xabi Alonso ni kocha bora sana kimkakati, na baadhi ya watu wanasema angepaswa kusubiri kazi bora zaidi. Lakini kivutio kikubwa kwake hapa ni kwamba pia anataka kuwa na mamlaka makubwa badala ya...
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania FULL TIME: Chelsea 0-1 Manchester City | FA Cup Final | Wembley Stadium | 16 May 2026!

    Leo mida ya saa 11 jioni, viwanja vya Wembley London, manguli wawili Chelsea na Manchester City wanakutana katika fainali za FA cup. Tukutane hapa kwa live updates! Kocha Pep Guardiola anaelekea kuukamilisha msimu wa 2025/26 vizuri licha ya kuwa alianza kwa kusuasua awali, hiyo ni baada ya...
  4. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Chelsea vs Manchester City | FA Cup Final | Wembley Stadium | 16 May 2026!

    Leo mida ya saa 11 jioni, viwanja vya Wembley London, manguli wawili Chelsea na Manchester City wanakutana katika fainali za FA cup. Tukutane hapa kwa live updates!
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Liverpool, Chelsea na Man U mnajua kujikausha. Leo si mechi zenu?

    Au mnasubiria mechi za kesho?
  6. bwawani90

    JamiiForums Tanzania Chelsea inasikitisha sana ilitakiwa iwe ya 16 hafi jana

    kwa huu msimamo hii timu inapaswa iwe chini sana. kwenye wanasema number don't lie lkn hapa namba zinadanganya
  7. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea wamemfuta kazi kocha Liam Rosenior kufuatia kufungwa na Brighton

  8. Da Dona

    JamiiForums Tanzania Chelsea yamtimua Kocha Liam Rosenior baada ya mfululizo wa matokeo mabovu

    Klabu ya Chelsea FC imemfuta kazi kocha wake mkuu, Liam Rosenior, kufuatia mwenendo mbaya wa matokeo ndani ya klabu hiyo. Uamuzi huo umechukuliwa leo Jumatano Aprili 22, 2026 baada ya Chelsea kupoteza michezo mitano mfululizo ya ligi bila kufunga hata bao moja, hali iliyozua shinikizo kubwa...
  9. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Leo Chelsea vs Man Utd, Stamford Bridge Mashetani hawatoboi!

    Kazi kweli kweli leo. Huku:
  10. R

    JamiiForums Tanzania TANZIA Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Berekum Chelsea, Dominic Frimpong auawa

    Winga wa klabu ya Berekum Chelsea, Dominic Frimpong, ameuawa katika tukio la ujambazi wa kutumia silaha lililotokea ndani ya basi la timu hiyo walipokuwa wakirejea kutoka mechi ya Ligi Kuu ya Ghana dhidi ya Samartex siku ya Jumapili, kwa mujibu wa Ghana Football Association. Inadaiwa majambazi...
  11. M

    JamiiForums Tanzania FT: Chelsea 0 Vs 3 Manchester City | EPL | 12.04.2026 - Stamford Bridge

    Patashika nguo kuchanika inatarajiwa leo wakati Chelsea FC watakapowakaribisha Manchester City katika dimba la Stamford Bridge, kwenye mchezo wa kusisimua wa English Premier League Chelsea wataingia uwanjani wakisaka ushindi muhimu ili kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi, huku Manchester City...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Chelsea yafungiwa kusajili wachezaji kwa mwaka mmoja na kutozwa faini ya Pauni milioni 10.75 na Premier League

    Klabu ya Chelsea yafungiwa kusajili wachezaji kwa kipindi cha mwaka mmoja, pamoja na kutozwa faini ya Pauni milioni 10.75 na Premier League kufuatia ukiukwaji wa kanuni za kifedha uliotokea wakati klabu hiyo ikiwa chini ya umiliki wa Roman Abramovich. Adhabu hiyo pia inajumuisha marufuku ya...
  13. PAYE

    JamiiForums Tanzania FT | Arsenal 1-0 Chelsea | Carabao Cup | Nusu Fainali – Mkondo wa Pili | Emirates Stadium

    Kipa Robert Sanchez alifanya makosa yaliyosababisha mabao mawili kati ya matatu ya Arsenal katika mechi ya kusisimua ya mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Carabao lakini Alejandro Garnacho alifunga mabao mawili na kuiweka Chelsea bado kwenye mchuano. Arsenal wanaingia wakiwa na faida...
  14. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Leo Chelsea, Man City na Man U wapo vikaangoni - EPL!

    Ngoja tusubirie Matokeo.
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Leo kati ya Liverpool, Man City au Chelsea chochote tu kitokee!

    EPL inazidi kunoga. Watetezi wa kombe wanapelekewa moto huko. Wakati City tunategemea leo kusumbuliwa na Chelsea.
  16. Mad Max

    JamiiForums Tanzania What a weekend: Chelsea anampiga Liverpool. Hafu Gunners tunamyonga West Ham na kukaa pale juu!

    Leo ndio tunakaa pale juu na hakuna wa kutushusha tena hadi msimu unaisha. Tuna kikosi bora kabisa, hatuna majeruhi ya kutisha na tupo Emirates. Liverpool wazee wa bahati leo mnatoka kileleni na hamtakaa mrudi huu msimu.
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mara yangu ya kwanza na ya mwisho kubeti ni mechi ya PSG vs Chelsea, mnaobeti mna mioyo ya chuma

    Basi, miaka fulani nilikuwa nimeshawahi kufundishwa kubeti, lakini sikuwa nikibeti, Ila ile mechi ya PSG vs Chelsea fainali… ah! niliiona nitupiemo laki 1 kwa PSG nishinde 160K. Nilijiona usiku ule nikilala na elf 60 nyepesi kuzidi kuchuma mapera, Nilijua nashinda tu! Nikaenda nikafungua...
  18. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Wachout chelsea tday gambler's

    warning Napita tuuuu mue makini na Chelsea tfay drw njemjee
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Chelsea yaingiza dola milioni 150 baada ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia la Klabu, ambalo tiketi zake zote ziliuzwa. Huenda FIFA hawakukosea!

    Wapo waliokuwa wakisema kuwa mashindano ya FIFA Club World Cup hayana mvuto. Lakini je, kauli hizo zilianza kabla au baada ya Chelsea kutwaa ubingwa na PSG kupoteza? Ikumbukwe kuwa kupitia mashindano haya, Chelsea imevuna kiasi cha dola milioni 50, huku mashindano yote yakihitimishwa kwa...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea 3 – 0 PSG: Bahati hupendelea jasiri

    Niseme tuu kuwa matokeo ya mchezo wa jana yalinihuzunisha sana. Miungu ya mpira ilishindwa kumzawadia PSG kombe pamoja na kwamba mchoni pa wengi ndio ilikuwa timu bora. Mpira ni magoli, Chelsea walifunga magoli na hivyo walistahili kushindi mchezo wa jana. Lakini inakuwaje timu ambayo kwa...
Back
Top Bottom