Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,832
- 18,826
Watu wanasema eti Morocco atavunja rekodi na kuingia nusu fainali, lakini baada ya kuiona Ureno jana, waanze kufungasha mabegi tu mapema, na yule mshambuliaji wao butu.
Portugal asipofika fainali, nimekaa palee!
Portugal asipofika fainali, nimekaa palee!