Uhispania ilisherehekea ushindi wa kihistoria wa Kombe la Dunia, lakini zawadi yao ya dola milioni 50 inakuja na bili ya kodi huku Mamlaka ya Mapato ya Marekani (IRS) ikidai sehemu ya mapato yaliyopatikana katika ardhi ya Marekani.
Wataalamu wa kodi wanasema matokeo ya mwisho hayangebadilisha...
1. Lamine Yamal – mshambuliaji (FC Barcelona)
2. Pau Cubarsí – beki wa kati (FC Barcelona)
3. Gavi (Pablo Martín Páez Gavira) – kiungo (FC Barcelona)
4. Dani Olmo – kiungo mshambuliaji (aliwahi kuwa La Masia kabla ya kwenda Dinamo Zagreb)
5. Eric García – beki (aliwahi kuwa La Masia)
6...
GIRISHONI kanichapa BLOCK usiku wa manane, baada ya kumtaka atupe ufafanuzi wa kwanini anatumia chaneli za MABEBERU kuangalia WEDIKAPU wakati TBC UKWEL na UHAKIKA ipo lele-lele. Anamuachia nani ‘kwaliti’ mbovu ya TBC. Uzalendo nje, ndani kwake aaah!🤣
Katika Kombe la Dunia 2026, maelfu ya picha zimeonyesha matukio makubwa, furaha, huzuni na kumbukumbu ambazo zimebeba hadithi za mashindano haya na kila picha ina simulizi yake.
Hizi Ndizo "Facts" 12 za Ajabu Zinazowashangaza Wengi Kabla ya Fainali ya Kombe la Dunia 2026 zikionyesha kwamba argentina atakuwa bingwa mwaka huu
Facts hiz ni mfululizo wa coincidences, historia na ulinganifu wa namba (numerology) ambao umevutia mjadala mkubwa miongoni mwa wapenzi wa soka...
Spain ambayo ambayo imesheni wchezaji wa Barca ishatinga fainali.
Furaha iliyoje.
Argentina yenye Greatest Of All Time(GOAT) La Pulga ambaye ni pure cule yupo fainali.
Furaha iliyoje.
Ureno yenye goti wa kuvundika out tushasahau kama walishiriki hizi fainali za kombe la dunia.
Furaha...
Kwa heshima na taadhima naomba huu uzi usihamishwe.
Wakuu nataka kujaribu bahati yangu, nina kiasi hiko cha fedha nikigawanye
Nikigawanye mara tatu, nusu fainali kati ya Argentina na England 20,000
Ufaransa na uhispania 20,000
Na finali yenyewe 20,000
Naamini kwenye jukwaa hili wapo wadau...
Hapa hata Taifa Stars itapata nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia au Wadau mnasemaje?
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amesema shirikisho hilo litajadili uwezekano wa kuongeza idadi ya timu zitakazoshiriki Kombe la Dunia la mwaka 2030 kutoka timu 48 hadi 64. Amesema pendekezo hilo litajadiliwa na...
Timu zote ambazo zina wachezaji wengi wanaosali sana kabla ya kuingia viwanjani, kwenye mechi na baada ya mechi zimetolewa, imebaki Argentina na zile tu ambazo zina mchezaji mmoja au wawili wanaofanya ibada viwanjani.
Mpaka sasa katika Kombe la Dunia 2026, mbio za Kiatu cha Dhahabu (Golden Boot) zinaongozwa na wachezaji hawa:
Kylian Mbappé (Ufaransa) – mabao 7.
Lionel Messi (Argentina) – mabao 7.
Erling Haaland (Norway) – mabao 7.
Harry Kane (England) – mabao 6.
Wakiwa na mabao 4kila mmoja:
Jude Bellingham...
Ngoja apumue Pumue Kidogo Twende sehem yaitwa the Penny Black mtaa wa Robertson Quay baada ya mechi sasa twaenda Rooftop ipo Marina Bay Financial Centre ,
Maana masaa kadhaa yalopita shughuli ilikuwa moto
Uzuri huyu aliielewa mwenyewe show show na anajiletaga
Juzi nilimtembelea kwake leo...
Wana timu nzuri mno, haizungumzwi wala kufuatiliwa sana, lakini ina uwezo na uwezekano mkubwa sana wa kutwaa kombe hilo la dunia katika mpira wa miguu duniani.
Ni wazi Rais Donald J. Trump atapendelea zaidi kukabidhi kombe hilo la dunia kwa timu ya mpira wa miguu ya taifa lake na si vinginevyo...
Nadharia mpya mtandaoni inadai kuwa mshindi wa Kombe la Dunia la FIFA 2026 anaweza kutabiriwa kupitia rangi rasmi za nembo ya mashindano. Mashabiki wanaamini rangi hizo zinaweza kutoa ishara ya mapema kuhusu taifa litakalotwaa ubingwa.
Hoja hiyo inatokana na matokeo ya matoleo matatu...
Dada yake Cristiano Ronaldo, Katia Aveiro, amesema kuwa nahodha huyo wa Ureno anakaribia kuaga rasmi timu ya taifa baada ya Kombe la Dunia 2026.
Akizungumza na Sport TV, Katia amesema:
“Kwa taarifa nilizonazo, huu utakuwa mwisho wake. Furahieni kumtazama akiwa bado uwanjani. Sio kwamba ataaga...
Uchawi na uganga unaaminiwa sana Africa ila ajabu pale uchawi unapohitajika zaidi kufanikisha mambo kama kwenye hili kombe la dunia hauonekani kabisa kuleta matokeo,
Hii inathibitisha uchawi ni porojo tu, ni kama Nyuki wa mashineni.
Endapo wachezaji wawili au zaidi watafunga idadi sawa ya mabao kwenye Kombe la Dunia, mshindi wa Golden Boot (Mfungaji Bora) hupatikana kwa vigezo vifuatavyo, kwa mpangilio huu:
Aliyetoa pasi nyingi za mabao (assists) ndiye hushinda. Idadi ya assists huhesabiwa na kikosi cha uchambuzi cha FIFA...
Ronald Koeman amejiuzulu rasmi kama kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uholanzi baada ya timu hiyo kutolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 katika hatua ya 32 bora kufuatia kufungwa na Morocco kwa mikwaju ya penalti.
Koeman ametangaza uamuzi huo siku moja baada ya kipigo hicho kilichokatisha safari ya...
Timu za Afrika kwenye Kombe la dunia zimeonesha tabia zetu halisi kwenye mashindano ya Kombe la dunia.
1. Wachoyo wa kupasiana (ubinafsi)
2. Wazito wa kufanya maamuzi Kwa wakati.
3. Kila anayepata mpira anatamani yeye pekee ndiyo afunge.
4. Uvivu kwenye kukaba adui.
5. Kutokufuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.