kombe la dunia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Messi aumia kwenye mchezo wa ligi wiki chache kuelekea Kombe la Dunia, Waargentina wajawa na hofu

    Lionel Messi, nahodha wa Inter Miami na Argentina jana aliumia kwenye mchezo wa ligi ya MLS. Messi alitolewa dakika ya 73 na kuelekea moja kwa moja kwenye vyumba vya kubadilishia nguo huku akishika mguu wake. Hii inatokea wiki chache kabla ya mashindano makubwa ya World Cup. Jeraha la Messi...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kisa Ebola, Kikosi cha DR Congo cha Kombe la Dunia kukaa Karantini kwa Siku 21 ili kuruhusiwa kuingia Marekani

    Kikosi cha Kombe la Dunia cha DR Congo kitalazimika kujitenga kwa uangalizi maalum wa afya nchini Ubelgiji kwa siku 21 mfululizo ili kuruhusiwa kuingia Marekani. Hatua hiyo ya kiusalama imewekwa na maafisa wa Marekani kutokana na mlipuko unaoendelea wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya...
  3. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Kikosi cha wachezaji 26 cha Uingereza ( England ) Chini ya Thomas Tuchel kuelekea kombe la Dunia 2026 ( USA , Mexico , Canada )

    Tayari mkufuzi Tuchel kataja majina ya wachezaji watakao wakilisha Taifa la Uingereza ( England ) kwenye mashindano ya Kombe la Dunia Kikosi hiki kimepokelewa kwa mitazamo tofauti na wapenzi wa soka ulimwenguni ( mashabiki ) kukosekana kwa Wharton toka Cyrstal Palace , Levi Colwill toka...
  4. Inside10

    JamiiForums Tanzania Akufukuzae Akwambii Toka, Kundi la Tanzania Kombe la dunia wanawake 2026 Poland

    Tanzania imepangwa Kundi B kwenye fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake U20 Poland 2026 #fifawomensworldcup @fifawomensworldcup @tanfootball
  5. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Ni Timu gani ya Taifa utakuwa unaishabikia katika Kombe la Dunia 2026?

    Brazil🇧🇷
  6. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Tanzania Yafuzu Kombe La Dunia la Wanawake U-20 Baada ya Kuwatandika Cameroon 2-0

    Congrats nyingi sana Kwa Timu ya Tanzania. Hongera Rais Samia na Mwinyi Kwa kuwanunulia mashabiki tiketi za Bure waje kushangilia timu yetu na hawajatuangisha. https://www.instagram.com/p/DYKofFiDbNy/?igsh=MTU3dHI1NGR2em04Ng== https://www.instagram.com/p/DYKismUjUz1/?igsh=MTcybGsycHV4NGxlcw==
  7. K

    JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA: Nimeonana na Iran, itashiriki Mechi za Kombe la Dunia 2026 zilizoandaliwa Marekani licha ya vita

    Akizungumza katika jukwaa la CNBC la Invest in America, Infantino, Aprili 15, 2026, alisema ni muhimu kwa Iran kushiriki michuano hiyo hata kama ushiriki wake umekuwa na mashaka tangu Marekani na Israel zilipoanzisha mashambulizi ya anga nchini humo. "Timu ya Iran inakuja bila shaka, ndiyo,"...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Nike yakiri jezi za England za Kombe la Dunia 2026 zinazouzwa Tsh 408,324 zina kasoro baada ya kutumia AI kwenye usanifu

    Kampuni ya vifaa vya michezo ya Nike imekiri kuwa na kasoro katika jezi mpya za timu za taifa kwa ajili ya Kombe la Dunia, zikiwemo zile za England zinazouzwa kwa takriban Pauni 135. Tatizo hilo linahusisha mshono wa mabega ambao unajivuta na kutengeneza uvimbe usio wa kawaida (bulging), hali...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Amnesty: Kombe la Dunia kuwa jukwaa la ukandamizaji

    Imeonya kwamba mashindano ya mwaka 2026 yanaweza kugeuka kuwa jukwaa la ukandamizaji na matendo ya kidikteta. Ripoti mpya ya shirika la haki za binaadamu iliyotolewa Machi 30, 2026 imeonya kwamba mashindano ya Kombe la Dunia mwaka huu yanaweza kugeuka kuwa jukwaa la ukandamizaji na matendo ya...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Wachezaji na mashabiki wa Nchi 5 Afrika kulipia Dola elfu 15 (Tshs.milioni 38 hadi 39) kuhudhuria Kombe la Dunia 2026 Marekani

    Serikali ya Marekaninchini ya Rais Donald Trump inaweza kuwalazimu wasafiri kutoka nchi tano zilizofuzu Kombe la Dunia kulipa dhamana ya hadi Dola 15,000 ili kuruhusiwa kuingia nchini Marekani kwa ajili ya michuano hiyo. Jinsi Dhamana Hizi Zinavyofanya KaziDhamana za viza zinafanya kazi kama...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mataifa matano Afrika yanapaswa kuilipa Marekani dola 15,000 kwa shabiki mmoja Kombe la Dunia

    Kwa mujibu wa The Athletic FC wanaripoti kuwa Mashabiki kutoka nchi za Algeria, Ivory Coast, Cape Verde, Senegal na Tunisia wanapaswa kila mmoja kulipa kiasi cha dola 15,000 za Kimarekani ambayo ni sawa na Tsh. Milioni 38 kama kianzio kama wanataka uhakika wa kwenda Kombe la dunia 2026...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FIFA yakataa ombi la Iran la kucheza mechi za Kombe la Dunia nje ya Marekani

    FIFA imeripotiwa kukataa pendekezo la Iran la kuhamisha mechi zake za Kombe la Dunia 2026 kutoka Marekani hadi Mexico. Ombi hilo limekuja baada ya Maofisa wa Iran kuibua wasiwasi wa kiusalama na kueleza upendeleo wa kuepuka kucheza kwenye ardhi ya Marekani huku kukiwa na mvutano wa kisiasa wa...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Iran yataka kucheza mechi za Kombe la Dunia nje ya Marekani

    Iran's embassy in Mexico on Tuesday said the country is negotiating with FIFA to move Iran's World Cup matches from the U.S. to Mexico after President Donald Trump discouraged the team from attending the tournament, citing safety concerns. It was already unclear whether such talks were even...
  14. PAYE

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Waamuzi wa Afrika watakaochezesha mechi za FIFA World Cup 2026

    Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), limetoa orodha ya Waamuzi wa Afrika na Maafisa wa VAR waliochaguliwa kuchezesha Kombe la Dunia la FIFA 2026, huku maafisa kadhaa wenye uzoefu wakipata fursa ya kuwakilisha bara kwenye Mashindano makubwa zaidi ya Kandanda. Michuano hiyo ya Kombe la Dunia...
  15. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Naona kama Kombe La Dunia la mwaka huu halina 'mzuka'. Ni mimi peke yangu?

    Wakuu, Kombe la Dunia nimejulishwa ni mwezi wa 6 hapo lakini tofauti na miaka mingine kama 2010 au 2014 au 2018 ambapo miezi miwili au 3 kabla unaona kabisa kuna heka heka na shamrashamra lakini so far naona kimya Sioni nyimbo za World Cup zikitrend. Nakumbuka kipindi kile kulikuwa na ule...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Trump: Kwa kweli ‘sijali’ kama Iran itashiriki Kombe la Dunia 2026

    Donald Trump amesema ‘hajali’ iwapo timu ya taifa ya Iran itashriki katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, michuano itakayofanyika majira ya joto mwaka huu. Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ‘hajali’ kama Iran itashiriki katika Kombe la Dunia mwaka 2026 litakalofanyika majira ya joto mwaka...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia la FIFA 2026

    Kombe la Dunia la FIFA 2026, mashindano makubwa ya kimataifa ya soka, yanaanza rasmi Juni 11, 2026 na kuleta pamoja timu bora za Taifa kutoka duniani kote. Kwa mara ya kwanza katika historia, mashindano haya yanaandaliwa kwa ushirikiano wa nchi tatu: Marekani, Canada, na Mexico. Idadi ya timu...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Kenya, Tanzania kufuzu kwa raundi inayofuata ya mchujo wa kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake U-20

    Luanda, Angola Septemba 28, 2025 Tanzania imesonga mbele kwa jumla ya mabao 7-0 dhidi ya Angola. Baada ya kushinda 4-0 katika mechi ya kwanza, Tanzania ilipata ushindi wa 3-0 katika mechi iliyochezwa Jumamosi mjini Luanda. Winfrida Hurbert Gerald, Asha Omary Ramadhani na Neema Paul Kinega...
  19. Zacht

    JamiiForums Tanzania Hispania yatishia kususia Kombe la Dunia la 2026 endapo Israel itaruhusiwa kushiriki kombe hilo

    Kutokana na msimamo wa kisiasa wa Hispania kuhusu mgogoro wa Gaza na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya Israel. Serikali ya Hispania, chini ya uongozi wa Waziri Mkuu Pedro Sánchez, imesema kuwa inaweza kuondoa timu yake ya taifa kutoka kwenye mashindano ya Kombe la Dunia la 2026...
  20. Richard

    JamiiForums Tanzania Cape Verde kisiwa chenye watu wapatao 600,000 kufuzu kwenda kucheza kombe la Dunia ikishinda mechi moja ijayo

    Carpe Verde ni kisiwa kilichopo kwenye Bahari ya Atlantiki, magharibi mwa pwani ya Afrika, likiwa ni taifa dogo lenye wakazi wapatao 600,000. Juzi kati Cape Verde aliifunga Cameroon mabingwa wa mara tano wa fainali za mataifa huru ya Afrika goli 1-0 katika mechi ilofanyika katika mji wa kisiwa...
Back
Top Bottom