Shadida Salum
Journalist at JamiiForums
- Sep 11, 2020
- 69
- 104
Mchezo wa fainali ya kuwania Kombe la Klabu Bingwa Ulaya kati ya Manchester City na Chelsea utahamishiwa Ureno kutokana na UEFA na Serikali ya Uingereza kutofikia muafaka wa mchezo huo kuchezwa Wembley
-
UEFA ililazimika kutafuta uwanja mbadala kutokana na mlipuko wa ugonjwa #COVID19 katika nchi ya Uturuki uliosababisha Uingereza kuiweka nchi hiyo katika nchi hatari za kutembelea