tumbaku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. robinson crusoe

    Nani mmiliki wa kiwanda kipya cha Tumbaku ndani ya eneo la wazi Morogoro?

    Tulianza na shopping mall Dodoma, sasa tena ni kiwanda cha Tumbaku. Yasemekama wahusika ni wale wale! Ukiingia mjini Morogoro, umbali kidogo kutoka mzunguko wa Msamvu kuelekea Iringa, unakutana na daraja la reli na pembeni yake unakuta shughuli za ujenzi wa kiwanda kipya cha Tumbaku. Eneo hili...
  2. Hamza Nsiha

    Nini mbadala wa Nishati ya kuni katika kilimo cha tumbaku?

    Habari ndugu wana JamiiForums, nimekuwa nikijiuliza maswali kadhaa kuhusiana na jitihada za sekta yetu ya Nishati katika kuibua njia mbalimbali ambazo zimekuwa na tija katika utunzaji wa mazingira kama vile Makaa ya mawe, Gesi asilia n.k. Njia hizi zimeleta mapinduzi katika kuinua Tanzania ya...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Cherehani Aishauri Serikali - Punguzeni Kodi Zinazowabana Wanunuzi wa Tumbaku

    MBUNGE CHEREHANI AISHAURI SERIKALI IPUNGUZE KODI ZINAZOWABANA WANUNUZI WA TUMBAKU Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameiomba serikali kuendelea kupunguza kodi zinazowabana wanunuzi wa tumbaku nchini ili wakulima wa zao hilo waendelee kupata faida kubwa. Mheshimiwa Cherehani...
  4. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Aloyce Andrew Kwezi Aishauri Wizara ya Kilimo Kujenga Kiwanda cha Kuchakata Tumbaku Kaliua

    MBUNGE ALOYCE KWEZI AISHAURI WIZARA YA KILIMO KUJENGA KIWANDA CHA KUCHAKATA TUMBAKU KALIUA Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Tabora Aloyce Andrew Kwezi wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Kilimo amewaomba wabunge wote kuunga mkono hoja ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo iliyosomwa Bungeni na...
  5. Stephano Mgendanyi

    Serikali Iondoe Makato ya Miti Kilimo cha Tumbaku

    MHE. EMMANUEL CHEREHANI - SERIKALI IONDOE MAKATO YA MITI KILIMO CHA TUMBAKU Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Kahama-Shinyanga Mhe. Emmanuel Cherehani katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni ameuliza swali Wizara ya Kilimo na kujibiwa na Naibu Waziri Kilimo Mhe. Anthony Mavunde. "Wakulima wa...
  6. Kingfish23

    Je, nini kinasababisha Wakulima wa Tumbaku kutofanikiwa katika maisha?

    Nipo mkoa wa Tabora kwa kipindi cha takriban miaka 10 sasa. Nimebaini wananchi wanalima sana zao la Tumbaku kila mwaka na wanalipwa vizuri tu lakini ukiangalia mambo ya maendeleo kwa wakulima husika siyaoni zaidi ya kusubiria miradi ya Serikali kupata huduma kama afya, elimu na maji vilevile na...
  7. J

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wanunuzi wa tumbaku ambao hawajawalipa wakulima wachukuliwe hatua

    WANUNUZI WA TUMBAKU AMBAO HAWAJAWALIPA WAKULIMA WACHUKULIWE HATUA - MAJALIWA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza wanunuzi wote ambao wamechukua tumbaku za wakulima na hawajawalipa fedha zao wachukuliwe hatua za kisheria ikiwemo kufikishwa mahakamani kwani Serikali inataka kuona wakulima...
  8. JanguKamaJangu

    Watu milioni 8 wanafariki kila mwaka kutokana na matumizi ya Tumbaku

    Utafiti wa Shirikisha la Afya Duniani (WHO) umebaini utumiaji wa bidhaa za Tumbaku hausababishi magonjwa ya kuambuliza lakini asilimia 50 ya watumiaji wake wanafariki. Kwa mwaka watu zaidi ya milioni 8 hufariki kwa sababu ya matumizi ya tumbaku, vifo milioni 7 ya vifo hivyo hutokana na matumizi...
  9. beth

    Mei 31: Siku ya Kimataifa ya Kupinga Matumizi ya Tumbaku (World No Tobacco Day)

    Matumizi ya Tumbaku yanatajwa kuwa miongoni mwa matishio makubwa ya Afya ya Umma. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tumbaku huua takriban nusu ya Watu wanaoitumia Inakadiriwa kuwa, zaidi ya Watu Milioni 8 hufariki dunia kila Mwaka. Vifo vipatavyo Milioni 7 kati ya hivyo ni Matokeo ya...
  10. Rusumo one

    Ukaguzi wa madaraja ya tumbaku

    Habari za asubuhi wakulima wenzangu wa tumbaku. Mimi ni mkulima na pia nafanya biashara ya mazao yatokanayo na tumbaku Mkoa Tabora na Mpanda. Kwa Sasa tupo kwenye msimu wa soko la tumbaku Kama ratiba ilivyo. Kuna tatizo Sana kipindi hiki Cha upangaji wa madaraja kwakuwa Rushwa imetamalaki kwa...
  11. Analogia Malenga

    Rais Samia: Kiwanda cha tumbaku Morogoro kitafufuliwa mwaka 2023

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna mwekezaji amejitokeza ili kukifufua kiwanda cha tumbaku kilichopo Morogoro ambapo amesema kufufua kiwanda hicho kutakuza uhitaji wa soko la tumbaku na kuwataka wakulima wa tumbaku kuendelea na kilimo hicho. Ameyasema hayo mkoani Tabora akizindua Barabara ya...
  12. Victor Mlaki

    Watu milioni 1.7 kila mwaka hufa kutokana na matumizi ya bidhaa za tumbaku

    Matumizi ya tumbaku na bidhaa za tumbaku unazidi kuwa mwiba wa Dunia. Tafiti zinaonesha magonjwa mengi yasiyo ya kuambukiza yanasababishwa na matumizi ya bidha za tumbaku.
  13. J

    Waziri Bashe, ukijikita kwenye zao la Tumbaku na kusahau Mahindi na Mpunga mwakani utatumbuliwa

    Jana kupitia ITV habari tumeshuhudia viwavi jeshi vimeteketeza hekari zaidi ya 4500 za mpunga na mahindi huko Kilombero na wakulima wale wamedai hawana madawa kabisa. Najua mkuu wa wilaya katoa lita 50 za dawa ya kuua wadudu na RC katoa lita 40 jumla lita 90 kwa hekari 4500 Nakushauri Waziri...
  14. T

    Naomba kujuzwa mishahara ya Bodi ya Tumbaku Tabora kwa nafasi ya Mhasibu mwenye degree

    Kwa anayejua mishahara ya bodi ya tumbaku Tabora kwa nafasi ya mhasibu mwenye degree na afisa tehama tafadhali naomba kujuzwa
  15. OLS

    Saratani ni tishio, bado bei ya tumbaku ni kubwa kuliko pamba, chai na katani

    Wizara ya Afya imetaja matumizi ya tumbaku kama moja ya sababu ya watu kupata saratani. Hata hivyo bei ya zao la tumbaku ni kubwa kuliko mazao mengine ya biashara katika soko la dunia Kwa takwimu za kuanzaia Januari 2015 hadi Septemba 2021, wastani wa bei ya tumbaku ni Dola 4.7 kwa Kilogram...
  16. OLS

    Je, wajua bei ya Tumbaku kwenye soko la duni ni kubwa kuliko chai

    Kama unataka kuingia kwenye kilimo ni muhimu kujua bei za soko za bidha unazotaka kujihusisha nazo ili kujua zao ambalo litakulipa zaidi na ukajikwamua kiuchumi Kwa takwimu zilizopo bei ya Kilo moja ya Tumbaku ni kubwa kuliko bei ya Chai. Kwa kipindi cha 2002 hadi 2021 Tumbaku iliuzwa kwa...
  17. T

    Kilimo na matumizi ya bidhaa za tumbaku upigwe Marufuku

    Ikiwa madhara ya matumizi ya tumbaku/sigara ni makubwa kwa kiwango tunachoambiwa na wataalamu wa afya; kwanini Serikali isichukue hatua za kupiga marufuku kabisa uvutaji na ulimaji wa zao la tumbaku ili kuwanusuru Watanzania na vifo vinavyotakana na matumizi yake? Kama tumepiga marufuku...
  18. Frumence M Kyauke

    TMDA sheria ya udhibiti wa bidhaa za tumbaku

    Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imekasimishwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto jukumu la kudhibiti bidhaa za tumbaku kuanzia tarehe 30 Aprili, 2021 kupitia Tangazo la Serikali Na. 360. Kifungu cha 12 cha Sheria ya Udhibiti wa Bidhaa za Tumbaku, Sura 121...
  19. L

    Mafanikio na changamoto za China katika vita dhidi ya matumizi ya tumbaku

    Ripoti iliyotolewa kwa pamoja na Kamati ya afya ya taifa ya China (NHC) na Ofisi ya mwakilishi wa Shirika la Afya duniani (WHO) wakati wa maadhimisho ya 34 ya siku ya kupambana na matumizi ya tumbaku duniani, inaonyesha kuwa China ina watumiaji tumbaku zaidi ya milioni 300, na watu milioni 1...
  20. Miss Zomboko

    New Zealand kupiga marufuku uuzwaji wa sigara na bidhaa za tumbaku kwa Mtu aliyezaliwa baada ya mwaka 2004

    New Zealand ipo kwenye mchakato wa kupiga marufuku uuzwaji wa sigara na bidhaa nyingine za tumbaku kwa Mtu yoyote aliyezaliwa baada ya mwaka 2004 Ni juhudi za kuondokana kabisa na matumizi ya sigara ikiwezekana hadi kufikia 2025 Mtu yeyote asivute sigara Nchini humo. ================= New...
Back
Top Bottom