Nani mmiliki wa kiwanda kipya cha Tumbaku ndani ya eneo la wazi Morogoro?

robinson crusoe

JF-Expert Member
Oct 22, 2020
740
1,214
Tulianza na shopping mall Dodoma, sasa tena ni kiwanda cha Tumbaku. Yasemekama wahusika ni wale wale!

Ukiingia mjini Morogoro, umbali kidogo kutoka mzunguko wa Msamvu kuelekea Iringa, unakutana na daraja la reli na pembeni yake unakuta shughuli za ujenzi wa kiwanda kipya cha Tumbaku.

Eneo hili kwa miaka mingi lilieleweka ni eneo la wazi, na kwa sheria zetu za ardhi, hakuna aliye na madaraka ya kubadili matumizi ya eneo la wazi.

Naomba kufahamishwa nani mmiliki wa kiwanda hiki kipya ndani ya eneo hili? Huu ni mwenendo mpya wa uporaji wa maeneo ya wazi. Ilifanyika sana wakati wa serikali ya Mwinyi, sasa tena imerudi kwa serikali ya Samia.

Kama kawadia yetu taarifa rasmi huwa ni ngumu na za upotoshaji, lakini taarifa za mtaani zinaonesha ni waziri mmoja mchanga sana ktk uwaziri, tayari ana ubavu wa kujenga kiwanda ambacho sasa kimebatizwa kuitwa MKWAWA!

Mbele zaidi insemekana yupo na mkuu zaidi ndani ya mpango huo. Nchi haina tena uungwana. Kila mtu anaitafuna anavyoweza.
 
Tulianza na shopiing mall Dodoma, sasa tena ni kiwanda cha Tumbaku. Yasemekama wahusika ni wale wale!
Ukiingia mjini Morogoro, umbali kidogo kutoka mzunguko wa Msamvu kuelekea Iringa, unakutana na daraja la reli na pembeni yake unakuta shughuli za ujenzi wa kiwanda kipya cha Tumbaku.

Eneo hili kwa miaka mingi lilieleweka ni eneo la wazi, na kwa sheria zetu za ardhi, hakuna aliye na madaraka ya kubadili matumizi ya eneo la wazi.

Naomba kufahamishwa nani mmiliki wa kiwanda hiki kipya ndani ya eneo hili? Huu ni mwenendo mpya wa uporaji wa maeneo ya wazi. Ilifanyika sana wakati wa serikali ya Mwinyi, sasa tena imerudi kwa serikali ya Samia.

Kama kawadia yetu taarifa rasmi huwa ni ngumu na za upotoshaji, lakini taarifa za mtaani zinaonesha ni waziri mmoja mchanga sana ktk uwaziri, tayari ana ubavu wa kujenga kiwanda ambacho sasa kimebatizwa kuitwa MKWAWA!

Mbele zaidi insemekana yupo na mkuu zaidi ndani ya mpango huo. Nchi haina tena uungwana. Kila mtu anaitafuna anavyoweza.
Samahani ni kiwanda au parking ya magari mkuu

Nilipita juzi naenda Iringa nikaona ukarabati nikafikiri ni kupanua parking ? Kumbe ni ujenzi
 
Kujenga kiwanda na kutoa ajira ndo wizi?

Tukisema wapinzania wa hii nchi hamnaga akili mnasema tunawaonea.

Mnasikitisha sana
Upinzani wake upo wapi we poyoyo.
Au Mnajiona nyie Wafuasi wa Chama Chakavu mnajua kila kitu.
Huyo aliyeleta hoja yawezekana ni Mwana CCM mwenzako mwenye upeo mfupi kama wewe.
Kila maendeleo anajua ni wizi.
Unaweza kuta hajawahi Ata kumiliki genge la nyanya lkn anaona wenzake wezi
 
Tulianza na shopping mall Dodoma, sasa tena ni kiwanda cha Tumbaku. Yasemekama wahusika ni wale wale!
Ukiingia mjini Morogoro, umbali kidogo kutoka mzunguko wa Msamvu kuelekea Iringa, unakutana na daraja la reli na pembeni yake unakuta shughuli za ujenzi wa kiwanda kipya cha Tumbaku.

Eneo hili kwa miaka mingi lilieleweka ni eneo la wazi, na kwa sheria zetu za ardhi, hakuna aliye na madaraka ya kubadili matumizi ya eneo la wazi.

Naomba kufahamishwa nani mmiliki wa kiwanda hiki kipya ndani ya eneo hili? Huu ni mwenendo mpya wa uporaji wa maeneo ya wazi. Ilifanyika sana wakati wa serikali ya Mwinyi, sasa tena imerudi kwa serikali ya Samia.

Kama kawadia yetu taarifa rasmi huwa ni ngumu na za upotoshaji, lakini taarifa za mtaani zinaonesha ni waziri mmoja mchanga sana ktk uwaziri, tayari ana ubavu wa kujenga kiwanda ambacho sasa kimebatizwa kuitwa MKWAWA!

Mbele zaidi insemekana yupo na mkuu zaidi ndani ya mpango huo. Nchi haina tena uungwana. Kila mtu anaitafuna anavyoweza.
Mbona moro nzima wanafahamu mvamisi ni Bashe na mkuu wa nchi? Wana ushirika wa aina fulani. Hata ukiangalia Bashe akiongea ni kama anaongea na rafiki. Kale ka umbali ka rais na waziri ni kadogo sana!

wanajiita MKWAWA na uongozi bandia vile!
 
Naomba kuuliza, kwa nini viwanda vya tumbaku vinajengwa Morogoro na siyo Tabora tumbaku inapolimwa kwa wingi, au Dar, Pwani na Dodoma?
 
ao wanaume wana lexus moja matata V8 sio poa...mwenye nguvu muite power.
 
Kujenga kiwanda na kutoa ajira ndo wizi?

Tukisema wapinzania wa hii nchi hamnaga akili mnasema tunawaonea.

Mnasikitisha sana
Kuna industry and factory. Hapa Tz tuna factory tu!
Tangu wimbo wa ajira uanze, ulishaziona hizo ajira wapi? Viongozi wetu ni wezi na wanaishia kujenga biashara za kifamilia. Wananunua na kujenga mahoteli, vituo vya mafuta,, kupora mashamba. Hapo ajira itoke wapi?
 
Back
Top Bottom