oil

  1. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kwa nini oil rich gulf islamic states huwa hazichangii bajeti kama msaada?

    Labda nilipitwa lakini sijawahi kusikia hata siku moja wakichangia bajeti kama msaada kwa tanzagiza, ila nasikia USA au EU wakitishia kukata msaada kusaidia bajeti kwa nini oil rich gulf states huwa hazizibi pengo ukichukulia ni marafiki wazuri wa regime iliyopo? huwa nasikia wakitoa fedha kwa...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Ili mtoto aone raha kwenda shule ni lazima aende na hela ya walimu

    Vyuma hivi hata uvipake oil chafu haviwezi legea Chuma cha kwanza Kwa sisi tunaoishi uswahilini ni shule za msingi za serekali, hizi shule sasa wazazi tunawatumikia walimu bila kujua kibri hichi wamekitoa wapi tena Kwa kasi ya ajabu kupitia utafiti niloufanya ndani ya miezi 4 ilopita RAHA YA...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Plans to Commit Public Funds to Dangote-Linked Ksh2.58 Trillion East Africa Oil Refinery

    Kenya is weighing the use of public funds, including pension savings, to help finance a proposed East Africa oil refinery backed by Nigerian billionaire Aliko Dangote, as the project shifts from Tanzania's Tanga port to Mombasa as the preferred site. Dangote told the Financial Times he favours...
  4. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Dangote njoo ujenge Oil Refinery Zanzibar, huko Bara hawapo serious!

    Asalam Aleikum Alhaji Aliko Dangote, Karibu visiwani ujenge Oil Refinery. Hapa utapata ardhi bure, nafuu ya kodi, nafuu ya kodi na soko kubwa Comoro, Kenya, Madagascar, Seychelles, Somalia, Eritrea n.k
  5. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Oil Marketers Deny Fuel Hoarding, Blame shortage to the Middle East Conflict

    The Sustainable Energies and Petroleum Association of Uganda (SEPA-Uganda), the umbrella body of all licensed oil marketing companies in the country, has rejected government's allegations of fuel companies hoarding, manipulating, and smuggling fuel across borders. In a press release issued on...
  6. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Government launches prob into oil firms over fuel hoarding

    Government has launched investigations into Oil Marketing Companies (OMCs) suspected of hoarding fuel and charging exorbitant prices, even as officials insist national stocks remain sufficient. The move follows mounting public complaints of dry pumps, rationing, and selective selling at petrol...
  7. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Serikali inaweza kununua oil tankers?

    Nawaza hapa kwa sauti. Kwa nini tusingenunua oil tankers badala ya ndege za abiria? Leo tungekuwa wachuuzi wakubwa wa mafuta yaliyokuwa refined huu ukanda. Inaweza kuwa na faida tukanunua oil tankers sasa?
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali inaleta Ushindani kwa wazalishaji wa Ndani wa Avocado Oil dhidi ya madalali kutoka Kenya

    Tanzania mpaka sasahv kupitia mikoa ya Njombe, Iringa, Mbeya na Kagera kuna jumla ya Viwanda 12 vya kuchakata mafuta ya Parachichi Ila serikali kupitia wizara ya kilimo na COPRA wameshindwa kuvilinda hivi viwanda na kuamua kuruhusu export ya second grade avocado kwenda Kenya kwa ajili ya...
  9. Morning Joy Motors

    JamiiForums Tanzania Sababu Kwanini ni lazima kutumia Fully Synthetic Oil

    Kuna ambao wanaweza kujiuliza tofauti ni ipi Kati ya Conventional Oil na Fully Synthetic Oil? Kabla ya kukuelezea sababu kwanini unapaswa kutumia Fully Synthetic Oil kwenye engine ya gari lako , na faida zipi utazoweza kuzipata kwakutumia aina hiyo ya oil. Tungependa kwanza tukufahamishe...
  10. Morning Joy Motors

    JamiiForums Tanzania JE WAJUA NI MUDA GANI UNAPASWA KUBADILI OIL FILTER YA GARI YAKO?

    Namna ya kufahamu Oil filter ya Gari yako Oil filters inapaswa kuwa replaced kila baada ya 6,000–8,000 km (ambapo kwa wengi ni 12 months), typically kila unapofanya oil change. Viashiria muhimu vinavyo ashiria oil filter yako kuwa mbovu : Pressure ndogo ya oil Engine kukosa nguvu...
  11. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Kilas iku tutaendelea kuwasanua ndugu zetu kuwa hapa DAR kama unataka oil za kampuni ya TotalEnergies nenda kwenye petrol station zao. Oil za TotalEnergies asilimia 85% ni fake hasa zinazouzwa uswahilini....hivi viwanda bubu zipo pale Tabata dampo na serikali inajua kila kitu.
  12. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Atlantic oil 5W-30 neoteric ultra VS Atlantic oil 5W-30 Quantum ultra

    Atlantic ni kampuni ambayo Kwasasa inafanya vizuri Sana sokoni , Hii ni engine oil yenye viwango vya Hali juu na standard yake inafanaa na Castrol oil na liqui Molly Watumiaji wengi wa magari ya kisasa Atlantic oil ndiyo oil wanayotumia hata mafundi na garage zao nyingi wanapendekeza hii...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Oil sahihi ya subaru SJ5

    Wadau heshima kwenu,mgeni kidogo hapa,msaada tutani nina sj 5 na kwenye kizibo oil inayotakiwa nimeona ni OW 20,na nimekuta kuna kampuni mbili aina ya alphard titanic ila nimeshangazwa sana na utofauti wa bei wa hizi kampuni mbili titanic nimeambiwa ni 150 wakati alphard ni 55,000 naomba...
  14. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Tungekuwa na oil reserve kubwa Samia angeshanyakuliwa mapema sana na US kwa Ukatili.

    GT Angalia hii list..haki tungekuwa na oil reserve kubwa Samia ageshanyakuliwa mapema sana na US kwa mauaji yale makubwa. Pote penye oil reserve kubwa US kapiga hacheki na kima
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mchakato wa utoaji wa tenda ya kujaza gesi kwenye Mabasi ya Mwendokasi kwa Lake Oil ulikuwaje?

    Kampuni ya Lake Oil inatajwa kuwa mshindi wa tenda ya kujaza gesi kwenye magari yote ya mwendokasi yatakayotumia nishati ya gesi asilia. Tayari kampuni hiyo imeanza ujenzi wa vituo vya kujazia gesi katika maeneo mbalimbali ya Jiji, ikiwa ni maandalizi ya kuhudumia mabasi ya mwendokasi...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ridhiwani Kikwete: Nipo tayari kuhojiwa kuhusu tuhuma za Sheli za 'Lake Oil'. Wenye ushahidi waitwa

    Waziri KIKWETE ameongea na Sekretarieti ya Maadili. Akazungumzia ‘Sheli’ za LAKE OIL ambazo anatajwa kuzimiliki. Ameonyesha njia kwa kuwa tayari kuhojiwa na ukweli uwekwe wazi, ushahidi utafutwe kama kuna mwenye nao alete, watu waambiwe ukweli. Pia Soma: Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Lake Oil...
  17. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Huyu ndio mmiliki halisi wa Lake Oil

    Siasa za uchochezi zimetufikisha hapa, leo hii anaanza maisha upya
  18. Think2

    JamiiForums Tanzania Pole kwa mmiliki wa kituo cha mafuta Lake Oil company

    Huyu mmliki amepata hasara kubwa sana sheli zake nyingi zimeharibiwa vibaya kwa moto, watu wamepora mitungi ya gesi yotee yaani kweupe. Lakini pia nitoe pole kwa watz waliouawa kwenye maandamano, pia natoa pongezi kwa JW walikuwa maeneo ya Igoma jijini Mwanza hakuna raia aliyepigwa risasi .
  19. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Car Service Episode 1/10: Engine na Gearbox Oil!

    Wakuu. Poleni na kila kitu. Nimeona leo tuwe na open discussion ya engine na gearbox oil service. Kama kuna mtu ana ujuzi na uzoefu wa aina aliyitumia na mabadiriko aliyoyaona inaweza kua msaada kwa mwingine. Kwa kuanza, mi nitatoa flashback kidogo na experience yangu ndogo kwenye hivyo...
  20. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Angola ni nchi ya tatu kuzalisha crude oil kwa Africa ila wana refinery moja na nyingine ndogo sana

    Africa ni bara lisiloishiwa na maajabu nchi kama Angola ni ya tatu kwa kuzalisha lakini cha ajabu wana-cude oil refinery moja na nyingine ndogo sana kwa maana hiyo crude oil inayochimbwa Angola kwa asilimia kubwa haishafishwi au kuongezewa thaman ndani ya nchi Angola wakihitaji diesel, petrol...
Back
Top Bottom