Gari yako inakula lita ngapi?Hii hapa ni summary ya hotuba ya Waziri kuhusu Mafuta. Mnaonaje? Mnaielewa ama tumechezewa tu?
View attachment 2220833
Kama una Toyota starlet, full tank ni lita 45, kwa hiyo utapata nafuu ya Shs1,305 lakini utalipia TSh 141,660. Yaani unasevu asilimia 0.731%Gari yako inakula lita ngapi?
Chukua hizo lita zidisha na 29. Hilo ndilo punguzo lako!
Karibu ulambe asali mkuu kama ukoo wa akina Makamba!
Toka wapandishe kwenda 3150 sijawahi kujaza mafuta kwenye gari. Kesho asubuhi natakiwa nikajaze full tank, hapa nawaza sana. Kwa hiyo lita 60 itabidi niandae 200k? Aisee.