OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 419
- 670
Ukiangalia bei za Petroli na Dizeli kwa kipindi cha mwaka mmoja. Yaani ukifananisha Agosti 2021 na Agosti 2022 utaona kuna percentage change ya takribani 50%.
Dizeli ndio imepanda kwa kiasi kikubwa kwa kuwa ni zaidi ya 50% huku petroli imeongezeka kwa zaidi 45% kutegemea na bandari yanapopakuliwa.
Bila ruzuku mafuta yangefika Tsh 4,000 kwa rejareja kwa yanayopokelewa bandari ya Mtwara
Angalia kielelezo cha mabadiliko ya bei.
Dizeli ndio imepanda kwa kiasi kikubwa kwa kuwa ni zaidi ya 50% huku petroli imeongezeka kwa zaidi 45% kutegemea na bandari yanapopakuliwa.
Bila ruzuku mafuta yangefika Tsh 4,000 kwa rejareja kwa yanayopokelewa bandari ya Mtwara
Angalia kielelezo cha mabadiliko ya bei.