Bei ya mafuta ndani ya mwaka mmoja imepanda kwa takribani 50%

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
670
Ukiangalia bei za Petroli na Dizeli kwa kipindi cha mwaka mmoja. Yaani ukifananisha Agosti 2021 na Agosti 2022 utaona kuna percentage change ya takribani 50%.

Dizeli ndio imepanda kwa kiasi kikubwa kwa kuwa ni zaidi ya 50% huku petroli imeongezeka kwa zaidi 45% kutegemea na bandari yanapopakuliwa.

Bila ruzuku mafuta yangefika Tsh 4,000 kwa rejareja kwa yanayopokelewa bandari ya Mtwara

Angalia kielelezo cha mabadiliko ya bei.

1659510244941.png
 
Ukiangalia bei za Petroli na Dizeli kwa kipindi cha mwaka mmoja. Yaani ukifananisha Agosti 2021 na Agosti 2022 utaona kuna percentage change ya takribani 50%.

Dizeli ndio imepanda kwa kiasi kikubwa kwa kuwa ni zaidi ya 50% huku petroli imeongezeka kwa zaidi 45% kutegemea na bandari yanapopakuliwa.

Bila ruzuku mafuta yangefika Tsh 4,000 kwa rejareja kwa yanayopokelewa bandari ya Mtwara

Angalia kielelezo cha mabadiliko ya bei.

View attachment 2312710
INASIKITISHA SANA, ILA NO WAY LIFE LAZIMA LISONGE
 
Ukiangalia bei za Petroli na Dizeli kwa kipindi cha mwaka mmoja. Yaani ukifananisha Agosti 2021 na Agosti 2022 utaona kuna percentage change ya takribani 50%.

Dizeli ndio imepanda kwa kiasi kikubwa kwa kuwa ni zaidi ya 50% huku petroli imeongezeka kwa zaidi 45% kutegemea na bandari yanapopakuliwa.

Bila ruzuku mafuta yangefika Tsh 4,000 kwa rejareja kwa yanayopokelewa bandari ya Mtwara

Angalia kielelezo cha mabadiliko ya bei.

View attachment 2312710
Rais alishasema kila kitu kitapanda bei! Na bado mpaka yafike Tshs 9,000
 
Back
Top Bottom