Wataalamu wa vikokotoo, Bilioni 100 imepunguza Ukali wa Bei ya Mafuta kwa kiasi Gani? Kuna Haja ya kuendelea na hii Ruzuku?

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Habari JF,

Bei mpya zimetangazwa kuanza kutumika Tar 6/7/2022, hivi hizi pesa tulikopo IFM na Benki ya Dunia bilioni 100 za ruzuku zimepunguza ukali wa bei ya Mafuta kwa kiasi Gani? Ukiringanisha na kabla ya bilioni 100.

Je, kuna Haja ya kuendelea kukopa?​

0003.jpg
0007.jpg
 

Attachments

  • scan.pdf
    1.2 MB · Views: 3
Hizo bilioni 100 lazima zitoke kila mwezi ili kupunguza makali ya tatizo, lakini kwa hali ya mambo inavyokwenda, hazina msaada wa maana kwasababu kama nauli za mabasi tayari zilishapanda, bei za vyakula/nafaka zimepanda na hazijawahi kushuka.

Hii bilioni 100 inawezekana kuna wajanja wanaitafuna taratibu, tatizo Rais wetu anasikiliza ushauri wa wafanyabiashara, au marafiki wa wafanyabiashara kwenye hili.
 
Habari JF,

Bei mpya zimetangazwa kuanza kutumika Tar 6/7/2022, hivi hizi pesa tulikopo IFM na Benki ya Dunia bilioni 100 za ruzuku zimepunguza ukali wa bei ya Mafuta kwa kiasi Gani? Ukiringanisha na kabla ya bilioni 100.

Je, kuna Haja ya kuendelea kukopa?​

View attachment 2282155View attachment 2282159
Hakuna haja kwa sababu Bei za mafuta zinaendelea kupanda kila kukicha..

Serikali ikaongee na Nchi za mafuta moja kwa moja ili watuuzie Kwa bei nafuu.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Hizo bilioni 100 lazima zitoke kila mwezi ili kupunguza makali ya tatizo, lakini kwa hali ya mambo inavyokwenda, hazina msaada wa maana kwasababu kama nauli za mabasi tayari zilishapanda, bei za vyakula/nafaka zimepanda na hazijawahi kushuka.

Hii bilioni 100 inawezekana kuna wajanja wanaitafuna taratibu, tatizo Rais wetu anasikiliza ushauri wa wafanyabiashara, au marafiki wa wafanyabiashara kwenye hili.
Very possible
 
Hakuna haja kwa sababu Bei za mafuta zinaendelea kupanda kila kukicha..

Serikali ikaongee na Nchi za mafuta moja kwa moja ili watuuzie Kwa bei nafuu.
Kwa mfano hii bei iliyoanza leo ni ya mafuta yaliyoingizwa lini?


Kwenye soko la dunia mafuta yanashuku kwa mwezi june wote na bado yanaendelea kushuka, alafu ninyi hapa mnapandisha kisha mnakuja na ngonjera za bilion 100?
20220706_122615.jpg
 
Habari JF,

Bei mpya zimetangazwa kuanza kutumika Tar 6/7/2022, hivi hizi pesa tulikopo IFM na Benki ya Dunia bilioni 100 za ruzuku zimepunguza ukali wa bei ya Mafuta kwa kiasi Gani? Ukiringanisha na kabla ya bilioni 100.

Je, kuna Haja ya kuendelea kukopa?​

View attachment 2282155View attachment 2282159
Kqma si umbumbumbu basi ni upigaji umejaa serikalini. Hiyo ruzuku ya 100B kila mwezi haijakuwa na impact yoyoye kwa Watanzania, hali ya maisha inazidi kuwa ngumu, bidhaa hazishikiki. Bora pesa hiyo izuiwe kulipwa ili pesa ielekezwe ktk ujenzi wa miundombinu ya barabara na kwingineko
 
Kqma si umbumbumbu basi ni upigaji umejaa serikalini. Hiyo ruzuku ya 100B kila mwezi haijakuwa na impact yoyoye kwa Watanzania, hali ya maisha inazidi kuwa ngumu, bidhaa hazishikiki. Bora pesa hiyo izuiwe kulipwa ili pesa ielekezwe ktk ujenzi wa miundombinu ya barabara na kwingineko
Vasco da Gama liko linatalii tu huku nchi inapigwa! Naunga mkono hoja, bora mafuta yapande tu hiyo hela iokolewe, ikafanye kazi nyingine. Kama ulivyopendekeza 100b ni karibia kilomita 100 za lami! Ikifika mahali hatuwezi kumudu bei ya mafuta tutapaki magari!
 
Hii serikali ni wajanja wanjaja sana. Mwezi wa tano walirudisha ile shilingi mia kwa kila lita wakavuna pesa nzuri.

Mwezi wa 6 wakasema utakua na ruzuku ni sawa tuu wanachukua ile ya mwezi wa 5 kufidia ya mwezi wa 6.

Mweiz wa 7 sasa wameamua kupuliza tena kile kidonda kilichowazi huku wakiweka maji baridi “ruzuku” kuficha ukweli kua wanatunyonya. Wanacheza na namba tuone kua wanatupa msaada kumbe janja tuu.

Ruzuku haijwai kua msaada katika serikali iliyojaa kona na janja janja nyingi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom