story of change

Toy Story is a Disney media franchise that commenced in 1995 with the release of the animated feature film of the same name, produced by Pixar Animation Studios and released by Walt Disney Pictures. The franchise is based on the anthropomorphic concept that all toys, unknown to humans, are secretly alive and the films focus on a diverse group of toys that feature a classic cowboy doll named Sheriff Woody and a modern spaceman action figure named Buzz Lightyear, principally voiced by Tom Hanks and Tim Allen. The group unexpectedly embark on adventures that challenge and change them.
The franchise consists mainly of four CGI animated films: Toy Story (1995), Toy Story 2 (1999), Toy Story 3 (2010), and Toy Story 4 (2019), with a spin-off prequel film, Lightyear (2022), currently in development. The first Toy Story was the first feature-length film to be made entirely using computer-generated imagery. The first two films were directed by John Lasseter, the third Toy Story by Lee Unkrich, who acted as the co-director of the second Toy Story (together with Ash Brannon), the fourth Toy Story by Josh Cooley, and Lightyear by Angus MacLane.
Produced on a total budget of $520 million, the Toy Story films have grossed more than $3 billion worldwide, becoming the 20th-highest-grossing franchise worldwide and the fourth-highest-grossing animated franchise. Each film set box office records, with the third and fourth included in the top 50 all-time worldwide films. All four Toy Story films have received critical acclaim from critics and audiences. The first two Toy Stories were re-released in theaters as a Disney Digital 3-D "double feature" for at least 2 weeks in October 2009 as a promotion for the then-upcoming third Toy Story.

View More On Wikipedia.org
  1. Y

    SoC03 Siasa, Uongozi, Utawala na Uwajibikaji: Nini hatima ya Tanzania yetu?

    Siasa, uongozi, na utawala ni mada ambazo zinaweza kuwa ngumu kuzungumza juu yake kwa sababu zinahusisha masuala magumu ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Hata hivyo, mada hizi zina umuhimu mkubwa katika jamii kwa sababu zinaweza kusababisha athari za kudumu kwa raia wote. Katika makala hii...
  2. F

    SoC03 Jinsi ya kuwa na Elimu yenye mafanikio kwa nchi ya Tanzania

    Elimu ni nini? Ni ujuzi ambao kitu chochote au mtu yeyote mwenye ufahamu anaupata ambao atamsaidia katika maisha yake ya kila siku. Unapopata ujuzi katika maisha ni moja ya njia ya kujikomboa na kujua nini kifanyike katika mazingira yanayokuzunguka. Ukiwa na ujuzi wa elimu mbalimbali hapa...
  3. M

    SoC02 Afya ya Mama na Mtoto

    Habari, jina langu ni Miriam, na leo ningependa kuzungumza na wanajamii kuhusu afya ya uzazi kwa wakina Mama na watoto. Kumekua na wimbi kubwa la wanawake/mabinti wanaopata ujauzito kwa miaka ya hivi karibuni, kutokua na elimu sahihi juu ya makuzi ya mtoto tumboni. Moja kati ya eneo ningependa...
  4. B

    SoC02 Sayansi na teknolojia

    SAYANSI NA TEKNOLOJIA UTANGULIZI Sjui ni Mimi tu au Kuna wenzangu ambao pia hukerwa na baadhi ya tabia mtandaoni kutokana na matumizi mabaya ya mtandao. kupitia maarfa ya Sayansi na Teknolojia tumeona Faida nyingi ambazo zimesaidia mtu mmoja mmoja au kundi la watu kuweza kunufaika na maarfa...
  5. Gigo

    SoC02 Ile ndoto

    'Mama Kibandiko Unajua kupika kila kitu!'-" Pishi la Leo Maharagwe tena yame changanywa na Tui la Nazi!!'. ..."Basi Shibe yangu imekua Balaa". "Huwa nahisi raha Sana, pia najisikia Amani kula Chakula kilicho pikwa na Mke Wangu"- Nakumbuka nilimsifia Mkwe wangu kwa maneno hayo Mara Badaa ya...
  6. Isaya J Elisha

    SoC02 Tozonia, unyongofu wa mfumuko wa bei na dira ya Tanzania

    DENI LA TAIFA NA UNYONGOFU WA MFUMUKO WA BEI Mikopo inatoa uwezo wa kununua baada ya ahadi ya kurejesha, ambapo deni linazaliwa. Uzuri wa deni au ubaya unaamuliwa kwa uzalishaji uliosimamiwa na mkopo huo pamoja na jinsi deni linavyo lipwa. Mfano: Kukopa fedha kwa ajili ya elimu ambayo...
  7. S

    SoC02 Kilimo cha parachichi ni fursa

    Uhitaji ya zao la parachichi unazidi kuongezeka siku hadi siku kutokana na kuwepo kwa viwanda vingi vinavyotumia zao hili la parachichi kama moja ya malighafi za kutengenezea bidhaa mbalimbali kama mafuta na bidhaa nyingine nyingi. Lakini pia zao la parachichi limekuwa hitaji kubwa sana...
  8. N

    SoC02 Afya: Tango na faida zake mwilini

    Mara kadhaa tumekua tukitumia Tango kama moja ya matunda yetu. Lakini je umepata kujua kazi za Tango mwilini? Makala hii itaangazia faida kedekede za Tango katika mwili wa binadamu. Wengi wetu tumekua tukila matunda kwa kupenda ladha yake lakini hatujapata bahati ya kujua kwa undani faida za...
  9. N

    SoC02 Maendeleo katika Sekta ya Elimu Tanzania

    Siasa za upatikanaji wa elimu nchini Tanzania Inaletwa kwenu nami Kelvin Nyagawa Je, kuna sababu za uchaguzi katika kuongeza upatikanaji wa elimu ya sekondari? Katika makala hii, tunauliza na kujibu swali hili katika muktadha wa sera ya kiprogramu ya kuongeza upatikanaji wa elimu ya sekondari...
  10. Theresia Don jh

    SoC02 Changamoto ya Magonjwa ya Afya ya Akili: Tuchukue hatua

    Habari Tanzania, leo nina habari njema sana, lakini kabla haujajua nini hasa nataka kukueleza ni muhimu ukajua kwamba habari hii huenda unaifahamu , unaishi nayo, unaiona kwa watu wengine ama ndio kwanza, unaisikia kutoka kwangu . Natumia wino huu kukujulisha juu ya ‘AFYA YA AKILI’ . Mwaka...
  11. M

    SoC01 African agriculture

    AFRICA AND AGRICULTURE. Agriculture as a science is defined as growing of crops and animal husbandry. It’s definition may vary since it sometimes include the aspects of nature conservation and it’s sustainability. Agriculture is by far the single most important economic activity in Africa...
  12. Otaigo1

    SoC01 Sintofahamu ya hatima ya Mfumo wa Elimu wa Taifa na Utashi Wa serikali

    Serikali Imewekeza sana kwenye miundombinu ya sekta ya elimu kwa miaka sasa, uwekezaji huo unaanzia Elimu ya msingi, sekondari za kata, vyuo vya ufundi na vyuo vikuu na kumekuwa na ongekezo kubwa la idadi ya wanafunzi unaojiunga mashuleni na vyuoni. Lakini elimu wanayoipata haiakisi uhalisia wa...
  13. Boniface Evarist

    SoC01 Usitafute ajira bali tengeneza ajira

    Daima wazo la mtu ndiyo kitu pekee anachoweza kutumia kubadilisha mfumo mzima wa maisha yake, ninaandika andiko hili nikiwaangalia vijana kama Maxence Melo aliyeanzisha JamiiForums na Milladi Ayo mwanzilishi wa Ayo Tv, hawa ni baadhi ya watu walioamua kutengeneza ajira za wengine badala ya wao...
  14. M

    SoC01 Tanzanite kama Sarafu Mtandao Afrika

    WATU maeneo mbalimbali duniani wamekuwa wanasumbuka kupata 'kiwakilishi' sahihi na bora kwenye kubadilishana bidhaa toka dunia kuumbwa. Baada ya uwepo wa DOLA ya Kimarekani na EURO ya Ulaya watu wakadhani mapambano hayo yamefikia tamati. La hasha, bado yanaendelea ! Baada ya majaribio ya kadi...
  15. M

    SoC01 Kiswahili Afrika na jinsi ya kukifanza kukua kiurahisi na kiulaini hali tunaongeza ajira kwa Vijana

    TUSIJIDANGANYE kutaka Kiswahili kuenea fumba na kufumbua duniani. Tutosheke na kukiona Kiswahili kinatawala Afrika hatua kwa hatua. KOKOTE Afrika viongozi, wanasiasa, wasomi na jamii kwa ujumla watu wanazungumzia juu ya fursa za ajira na 'baibai kwa umasikini' kwa vijana. Ila hakuna...
  16. Glory Tausi

    SoC01 Kisa cha Aisha

    AISHA Aisha anajitizama kwa chati kwenye kioo kidogo kilichoko chumbani kwake, anashusha pumzi hafifu kwa anachokiona mbele yake. "Kweli nimechunda Aisha mimi," Anakiri kimyakimya. Tayari uso ulikuwa umekomaa mithili yaajuza aliyemaliza miongo kadhaa ilhali umri wake ni miaka 24 tu. Binti...
  17. Ntaganda boy

    SoC01 Magonjwa ya haiba yanavyoathiri mahusiano

    MAHUSIANO YANAVYOATHIRIWA NA MAGONJWA YA HAIBA (PERSONALITY DISORDERS AND RELATIONSHIP) Habari zenu JamiiForums, hususani jukwaa hili la stories of change. Ni tumaini langu nyote ni wazima Haiba: Ni urithi au vitu unavyozaliwa navyo na baadhi kutoka kwenye mazingira na kukufanya au kumfanya...
  18. P

    Wazazi na mfumo wa malezi

    Wazazi ni watu muhimu sana kwani wao ndio chanzo cha watoto ambao ndo utajiri wa Mungu, lakini haimaanishi kwamba kila wasemacho, wafanyacho na waamuacho ni sawa kwa sababu huwa wana tabia ya kuamulia vitu watoto hao ambapo ni jambo zuri ila endapo amuzi ni sahihi. Malezi ya mtoto huonyesha...
  19. NAXFRA

    You are a Silent Leader

    Happily, I would like to extend my salutation to you as my friend (s) whom you are passing through this article. It has been said that leaders give people their life. Everyone is a leader because everyone was created to lead and designed to dominate. Leadership begins with how you think...
  20. Mr No fair

    SoC01 Historia ya Mzee Kamachi inatupa funzo

    Nianzie mkoani Kigoma Mzee Kamachi ni Muha mzaliwa wa Kigoma Mjini Gungu Kamachi alizaliwa miaka ya 1960 mkoani kigoma alikuwa mtoto wa kwanza kwenye familia ya Saidy Kumachi Mzee Saidy alimzaa Kumachi baada ya kumpa mimba mama yake Kumachi wakati huo akiwa bado mwanafunzi jambo lililopelekea...
Back
Top Bottom