mfumuko wa bei

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Chadema wana Agenda ya ugumu wa maisha na mfumuko wa bei; safu mpya CCM wana agenda ya kujisifia kuzaliwa Kariakoo na kutokuachia dola

    Hii safu mpya iliyoingia CcM inachokosa ni Agenda. Haiwezekani mkutano wa kwanza kwa umma usiwe na issue za nini watafanya kwa wananchi katika kuzisimamia serikali. Unapokuwa na kikao cha kwanza na wananchi au adhira yoyote agenda kubwa baada ya utambulisho ni maono ya pamoja. Hotuba au...
  2. Dalton elijah

    Riba ya Benki Kuu yaongezwa hadi 6% kukabiliana na Mfumuko wa Bei

    Katika hatua muhimu ya kukabiliana na shinikizo la mfumuko wa bei linalotokana na mwenendo wa uchumi duniani, Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imetangaza ongezeko la Kiwango cha Riba ya Benki Kuu (CBR) kutoka asilimia 5.5 hadi asilimia 6. Uamuzi huu, umefikiwa wakati wa kikao cha MPC...
  3. Mwande na Mndewa

    Mfumuko wa bei wawafukuza wafanyabiashara wa kigeni Kariakoo, wasema wanapata hasara

    Mwaka Mpya wa China umewakutanisha Wachina na kufanya tathmini juu ya mfumuko wa bei Tanzania. Wachina wauza mashuka, mataulo, mapazia, chupa za maji, vyombo vya Udongo, maua, chupi, chupa za chai na vyandarua wamesema bei wanazouza sasa zinawapa hasara kubwa sababu dola imepanda thamani...
  4. Eli Cohen

    Ni comedic-actors gani watano ambao ukiwaangalia angalau wanakupunguzia stress za mfumuko wa bei?

    1: Adam Sandler 2: Jim Carrey 3: Will Ferrell 4: Nick Swardson 5: Katt Williams
  5. Webabu

    Polisi wa Hamas waanza kazi zao jijini Gaza. Wapita masokoni kudhibiti mfumuko wa bei

    Tangu vikosi vya Israel viondoke kaskazini ya Gaza mamia kwa maelfu ya wananchi wamekuwa wakimiminiko kutoka walikojificha na wengine kurudi kutoka kusini na kujaza mitaa iliyojaa magofu na kifusi. Shida kubwa waliyokutana nayo ni ukosefu wa chakula na kwa vile vichache vinavyopatikana masokoni...
  6. Msanii

    Mfumuko wa bei upo juu, Viongozi wapo bize na uchaguzi na kununua makasri Dubai

    Ndugu zangu, Bidhaa ghafi kama sukari inakimbilia TZS 5,000+ halafu Waziri wa Kilimo anatuambia mashamba ya miwa yamejaa maji... ina maana mipango na mikakati ya serikali ni namna wanavyosurvive leo na hawana 10+ years plan. Serikali haina akiba ya chakula ndiyo maana soon watakimbilia...
  7. Immortal Techniques

    Inflation & Unemployment: Mfumuko wa Bei na Ukosefu wa Ajira.Tanzania Wapi tunaelekea?

    Utangulizi: Wabobezi wengi wa uchumi Duniani wanakubaliana adui namba Moja kwenye Uchumi ni Inflation & Unemployment,hakuna uchumi wowote Duniani unaokoa bila kuzalisha ajira Kwa wananchi wake, Tanzania ni nchi yenye watu Estd.63 Million sensa ya mwaka 2022 kati ya hao 70% wako chini ya Umri...
  8. SNAP J

    Serikali ya Samia imejipangaje kukabiliana na mathara ya mfumuko wa bei ya mafuta ili yasije kujirudia yaliyotokea kipindi cha Awamu ya kwanza?

    Kwa wale wahenga nafikiri wote tutakuwa tunakumbuka kilichotokea Mashariki ya Kati tarehe 7 Oktoba mwaka 1973 katika vita iliyojulikana kana Yom Kippur war auvita ya Oktoba ambapo Egypt, Syria, na mataifa mengine ya kiarabu walipoamua kuivamia Israeli kwa kushtukiza. Mgogoro huo ulikuwa na...
  9. Suley2019

    Mwigulu Nchemba: Mfumuko wa bei upo chini ya 5%

    Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba leo Bungeni Dodoma amewasilisha Bungeni taarifa ya Hali ya Uchumi wa Kitaifa kwa Mwaka 2022 na Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa Mwaka 2023/2024 ambapo moja ya mambo aliyoyasema ni kwamba mfumuko wa bei nchini umeendelea kuwa ndani ya lengo la wigo...
  10. J

    SoC03 Changamoto za Uchumi wa Kati

    UTANGULIZI. Uchumi wa kati ni hali ya nchi kupiga hatua ya maendeleo ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kitamaduni,hivyo nchi huweza kujiimarisha yenyewe katika sekta muhimu za uzalishaji mali Kama viwanda,Kilimo, biashara na uchumi na kuongeza pato la nchi kwa haraka,hivyo kuachana na hali ya...
  11. W

    Mfumuko wa bei

    Habarini wana jamii wenzangu, Tangu muda mrefu kumekuwapo na mjadala mrefu juu ya mfumuko wa bei, hasa kwa bidhaa za chakula. Wachambuzi wengi wamekuwa wakilaani jambo hili, hasa ndugu zetu waishio maeneo ya mjini. Sasa mimi naomba kuelimishwa, kwani kila mfumuko wa bei ni hatari katika...
  12. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Malalamiko ya mfumuko wa bei yakizidi maana yake sekta Binafsi sio msaada kwa wananchi! Serikali iingie mzigoni kuleta ushindani!

    We JARIBU kufikiri Eti mafuta juu,vyakula juu kisa sekta Binafsi inatafuta faida kubwa kwa kuwanyonya wananchi! Una jkt,magereza,watoto wa mitaani wanaokua Panyaroad halafu Eti unashindwa kuwatumia hao kuzalisha na kuwa price regulator wa bidhaa nchini!unaachia sekta Binafsi PEKEE uamue hatma...
  13. Analogia Malenga

    NBS: Mfumuko wa bei umeshuka kutoka 4.9 hadi 4.8

    TAARIFA KWENYE VYOMBO VYA HABARI FAHIRISI ZA BEI ZA TAIFA KWA MWEZI FEBRUARI, 2023 Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imepewa mamlaka kwa mujibu wa Sheria ya Takwimu Sura 351 ya kutoa, kusimamia na kuratibu upatikanaji na usambazaji wa Takwimu Rasmi nchini ikiwa ni pamoja na takwimu za Mfumuko...
  14. Black Butterfly

    Hivi Serikali haioni kama Wananchi wanateseka na mfumuko wa Bei, kwanini haiondoi Tozo ili kuwapunguzia mzigo?

    Hivi jamani hii Serikali ya "Anayeupiga mwingi" haitambui kuwa wananchi wanateseka na hali mbaya ya maisha? mbona hatuoni juhudi za makusudi za kuwapunguzia mzigo mzito wa maisha ikiwemo mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa muhimu kama chakula na vifaa vya ujenzi? Badala ya kuwapunguzia wananchi...
  15. Roving Journalist

    Mfumuko wa bei kwa mwezi Desemba/Januari 2023 kwa baadhi ya nchi

    Mfumuko wa bei kwa mwezi Desemba/Januari 2023 kwa baadhi ya nchi: Kenya 9.0% Rwanda 21.6% Uganda 10.4% Nigeria 21.3% Misri 25.8% Ghana 54.1% Uturuki 64.7% Sudan 88.8% Argentina 94.8% Zimbabwe 244% Tanzania 4.9% Kutokana na takwimu hizi, licha ya ongezeko la mfumuko wa bei, Tanzania bado iko...
  16. Lycaon pictus

    Mshahara wa mfanyakazi huwa unapungua kila mwaka bila ya yeye mwenyewe kuelewa

    Mshahara wa mfanyakazi na wengine wenye kipato fixed kama wapokea pension huwa unapungua kila mwaka. Kinachokula mshahara wa watu hawa ni mfumuko wa bei. Kwenye mfumuko wa bei thamani ya pesa huwa inapungua. Mfumuko wa bei wa 5% maana yake pesa imepungua nguvu kwa asilimia tano. Kama unapata...
  17. Sir robby

    Kuendelea kutegemea wakulima wadogo wenye jembe la mkono, mfumuko wa bei ya vyakula hautashuka kamwe CCM imeshindwa kubadili kilimo chetu kwa miaka 61

    Tanzania chini ya CCM imeshindwa kabisa kukibadilisha kilimo cha wananchi wake. Nakiri kusema toka imepata uhuru wake mwaka 1961 imekuwa na wakulima wadogo wadogo wanaolima kwa kutumia jembe la mkono na mbolea ya kubahatisha miaka yote mpaka leo 2023. Kilimo hicho ni kigumu sana kwani...
  18. Lycaon pictus

    Mboga gani unaweza otesha nyumbani ili kukabiliana na mfumuko wa bei na ugumu wa maisha?

    Infaltion inafanya maisha yanakuwa magumu sana. Athari kubwa zinakuwa upande wa lishe. Si vema kupata utapiamlo na hali unaweza solve kwa kuotesha mbogamboga hapo nyumbani. Tushirikishane juu ya mbogamboga na vyakula vingine ambavyo mtu anaweza kuzalisha nyumbani. 1. Kisamvu. Hapa nazungumzia...
  19. S

    Wanasiasa kuweni wakweli katika hili la mfumuko wa bei

    Kama siyo kuchekesha basi mnasikitisha, kama wote mnalalamika nani ana wajibu wa kutatua? Wapinzani wanalalamikia kupanda kwa gharama za Maisha watawala wanalalamikia hilo hilo nani ana wajibu wa kulitatua? Nawaelewa wapinzani juu ya hilo Ila siwaelewi wabunge Wa CCM juu ya hilo. Nilipata...
  20. Msanii

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Mfumuko wa Bei upo, na hauvumiliki

    Leo nimemsikia mubashara mheshimiwa Makamu wa Rais ndugu Philp Mpango alipokuwa anahutubia viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye kilele cha kumbukizi ya kuzaliwa chama chetu CCM. Nilidhani kwenye hotuba yake ataainisha mikakati ya serikali kudhibiti mfumuko na kuboresha ugumu wa maisha unaowakabili...
Back
Top Bottom