fikra

  1. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Waislamu na fikra finyu za kuifanya Tanzania kuwa dola ya Kiislamu

    Jana nimecheka sana, nikiwa katika kijiwe kimoja hivi katika mikoa ya kusini, wanazuoni (wao hujiita wanachuoni) wa dini ya kiislamu wakiongozwa na wahitimu wawili kutoka chuo cha MUM walikuwa wakijadili kwa kujigamba kuwa mkakati wao unaelekea kukamilika. Mkakati wenyewe ni kuhakikisha 51% ya...
  2. Thinker96

    JamiiForums Tanzania Tukae upande wa "Ceteris Paribus", Sijui tunaruhusiwa

    Chaguzi za kidemokrasia zimeanza 1995 na zitaendelea ila ushindi mkubwa katika historia mpaka wa leo ni 2025 kwa aslimia 96.7%. na walioshindwa ni asilimia 3.3%. Kwa akili za wataalamu wetu wanaotuaminisha:- 1) Kulitokea mpango wa vurugu za mapinduzi yaani hiyo asilimia 3.3% ina mwamko mkubwa...
  3. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ukishaona utu, logic na reasoning umemzidi haina haja kuendelea kubishana naye tofauti na hapo unapambana uige fikra tasa zake au unakaribia kuwa yeye

    Mnawafahamu humu waimba pambio wa upande ule kama wanahaga haga kama kuku aliekatwa kichwa. Wamejawa matusi maana hawana facts. Wamejawa maandishi ya kutunga maana itikadi zao na waliowatuma wenyewe ni wa kutunga. Mnawajua wako radhi kuchagua dini dhidi ya uhai wa watu. Watasapoti chochote...
  4. Tanganian

    JamiiForums Tanzania Ukweli juu ya fikra duni za maisha, kunyanyaswa kwa watu na kujipa moyo ''wapambanaji'' ni uzwazwa

    Habari wanaJF . Niende moja kwa moja kwenye mada kuu . katika kile kinachoendelea hasa huko south , ukweli ni kwamba lazima mkubali nyie ni wakimbizi , kuujua ukweli ni kupona: kwa nn ulazimishe kuishi kwa watu na wenyewe hawakutaki? Kumekuwa na kasumba kwamba eti ni ''wapambanaji '' ukweli ni...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania CCM badilisheni mbinu. Hawa GenZ fikra zao zipo mbali na fikra za CCM(Conservativeness)

    Mpo salama! 1. CCM ni chama Dola, kikongwe na ambacho kimefanyia mambo mengi mazuri nchi yetu ikiwemo Umoja wa kitaifa tangu 1961 mpaka hivi karibuni ambapo kidogo mambo ndio yameanza kukorogana. Umoja wa kitaifa hapa tunazungumzia kiwango kidogo cha Ubaguzi wa kikabila na udini. Kwa hilo CCM...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Tutambue umaskini wa wananchi na vijana ni janga

  7. Paul Da Ud

    JamiiForums Tanzania Kwanini fikra zetu kuhusu pesa ni hasi?

    Kama ilivyo picha ya huyo mwanamke hapo juu, ndo zilivyo fikra za watu wengi linapokuja swala zima la kuwa tajiri. Ukisikia neno tajiri nini kinakuja kichwani kwako haraka? Kila Muda neno tajiri linapotajwa watu hufikiria kuhusu mtu mwenye mavazi ya kisasa, anaye miliki saa ya milioni kadhaa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tusipinge kukosoana kwa kuwakosoa wanaokosoa. Tusiwateke, kuwatesa wala kuwaua wakosoaji. Tuteke fikra zao

    UZALENDO SI NINI? Leo 5/2 ni siku ya kukumbuka kuzaliwa kwa chama tawala cha CCM. Kina rekodi nchini na barani Afrika lakini kubwa, ndicho chama kilichoasisi na kuhubiri UZALENDO katika taifa hili. Bado wanao au hawana, lakini neno UZALENDO lilikuwa ni tunu ya TANU na CCM: Havikuachana. Neno...
  9. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Tatizo letu watanzania siyo rangi ya mtu, bali uduni wa fikra

    Kuna rafiki yangu analalamika kuwa uchumi wa nchi yetu umemilikiwa na watu ambao kwa mtazamo wake anadai siyo watanzania. Anadai miradi yote mikubwa kwa sasa nchini inafanywa ama kumilikiwa na Waarabu, wahindi, wazungu na hivi karibuni na wachina na wale weusi wachache wanaoonekana ama ni...
  10. Desierto

    JamiiForums Tanzania Zamani ukisikia mjane fikra inakutuma ni mama wa makamo

    Hata vitabu tulivosoma au majarida yalikuwa yanatuonesha kwamba ni mama watu wa miaka kuanzia 35 huko. Ila sasahivi wajane ni vibinti vya umri mdogo kabisa yaani vingine hata 18 havina kabisaa.
  11. CHAGOSI GERALD

    JamiiForums Tanzania MAKALA YA SABA “JKT na Vita Dhidi ya Uporaji wa Fikra za Vijana”

    Ndugu zangu, Kizazi cha taifa hakipotei kwa njaa, hakipotei kwa maradhi, hakipotei kwa umasikini tu. Kizazi cha taifa hupotea pale fikra zake zinapotekwa na kupotoshwa. Hii ndiyo hatari kubwa inayotukabili leo. Tazameni vyombo vya habari vilivyotujaa ndani ya nyumba zetu. Vijana wetu wakiwasha...
  12. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Wamezuia wajibu wetu wa Kikatiba, lakini hawawezi kuzuia fikra zetu

    Leo hii, vijana nguvu kuu ya taifa, chemchemi ya matumaini tumezuiliwa kutimiza wajibu wetu wa kikatiba. Tumezuiwa kuzungumza, kuuliza, kushiriki, na hata kufikiri kwa uhuru tuliozaliwa nao. Swali linabaki: Nchi hii ni ya nani? Kwa nini tunaishi kama wageni katika ardhi tuliyoirithi kwa damu na...
  13. C

    JamiiForums Tanzania CCM msitupigie kelele mnapo kuwa mnagonga meza kwa shangwe pale bungeni huwa mnaona mnatunga sheria za kuwakomoa CHADEMA na fikra zinakomea hapo

    Mkiwa na viongozi wasio na maono haya ndio madhara yake, mnapo kuwa kwenye vikao vya chama mnapitisha mambo huwa hamuwazi nje ya kikao hicho , na manapo kuwa mnapitisha sheria za hovyo pale bungeni kwa umoja na mshikamano mkubwa kabisa huwa hamuwazi nje ya pale.sasa mnatulalamikia nini huku...
  14. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Deusdedith Soka: Unaweza ukamuua Soka Lakini huwezi ukauwa fikra ambazo mimi ninafikiri, March 13, 2024

    Leo nimewaza tu nakumkumbuka kijana Deusdedith Soka ambaye aliwahi kusema "Unaweza ukamuua Soka Lakini huwezi ukauwa fikra ambazo mimi ninafikiri. Kwa sababu fikra zangu ni kupigania haki. Hata kama nikifa leo, kesho au kesho kutwa, ninaamini Fikra zangu zitaendelea kuishi. Wako mamilioni ya...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa fikra Kwa wachumi

    Hivi kama una mkopo bank, na hiyo bank ikafilisika. Ni Nini hatima ya mkopo uliokuwa nao?
  16. D

    JamiiForums Tanzania Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Wapenda katika bwana salam kwa jina la bwana wetu yesu kristo!! Ukihisi hujakua kihisia, au huwezi kushkilia Mihemko, au re avaluate mapokeo yako Logically tafadhali pita nimelileta kwenu kwasababu binafsi limenishinda!! Nimekuwa na mwanafunzi wa Bible kwa muda sasa karibu miaka mitano au...
  17. papag

    JamiiForums Tanzania Fikra hadidu ya Masoud Kipanya

    Unasemaje?
  18. KENZY

    JamiiForums Tanzania Watanzania badilisheni mitazamo kwenye fikra ndo mpate mabadiliko!

    Wanasema "Mali bila daftari huisha bila habari!". Leo ngojeni niwachane watanzania wenzangu acheni kukaa kizwazwa!, kuna watu mmekaa humu kufuatilia nini kinajili nakusubiri upate taarifa mbaya kwa yale usiyoyapenda na usiempenda!. Kama unayahitaji mabadiliko kwa namna hiyo ndugu saa inafanya...
  19. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania JAMII CHAT: Uchawi ni sayansi ya kuunda miujiza au ni technique ya kufanya akili kuamini matokeo yametokana na miujiza?

    Karibuni:
  20. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Waandishi waliomuhoji ndg. H. Polepole ni wapuuzi , walidhihirisha ufinyu wa fikra za watanzania wengi

    Kulikua na maswali mengi mazuri ya kumuhoji ndg polepole ila waandishi walituangusha hasahasa yule zungu. Nimesikitika sana
Back
Top Bottom